Rais ambaye hajawahi kugombea, ilitokea Marekani, itatokea tena huku

Rais ambaye hajawahi kugombea, ilitokea Marekani, itatokea tena huku

Wakuu,

Mwaka 1973 Spiro Agnew alijiuzulu nafasi ya makamu wa Rais wa Marekani kufuatia skendo ya rushwa na matumizi mabaya ya ofisi ikiwemo kukwepa kodi alikofanya wakati ni governor wa Maryland. Rais Richard Nixon akamteua Gerald Ford kuchukua nafasi yake.

August ya mwaka 1974, Rais Richard Nixon alijiuzulu kufuatia skendo ya Watergate. Hapo ikabidi makamu wa Rais, bwana Gerald Ford aapishwe kuwa Rais wa Marekani.

Unaweza kuona jinsi Ford alivyokuwa na bahati. Hakuwahi kugombea umakamu wa Rais au Urais wenyewe lakini alishika vyeo vyote hivyo kwa nyakati tofauti zinazofuatana.

Nimeandika hii habari kuonyesha yanayokuja soon.

Endelea kusubiri!
Wewe jamaa ni kiboko.ebu tujuze mengine yanayokuja.big up sana mkuu
 
Sijawahi kuujua huu uzi..
Ni hatari sana... kwamba yatatokea huku kwetu... kuna operation imeanza..
Aisee ni hatari tupu
 
Duh! Kwamba makamu wa rais atakayeteuliwa hivi karibuni ndio rais atakayeingia kwa mfumo wa 37(5) kabla ya 2025! Mama waachie urais wao. Mwakani jiuzulu waambie una matatizo ya kiafya unaenda kulea wajukuu. Kama historia utakuwa umeandika.

Tuendelee kulisubiri hili coz ndio lililobakia kuja kutokea
 
Wejamaa huna ujualo na wala hakuna wakufanya hayo mnazimishwa mmoja mmoja au hukuenda kuzika mwenzio
 
Back
Top Bottom