Rais ambaye hajawahi kugombea, ilitokea Marekani, itatokea tena huku

Rais ambaye hajawahi kugombea, ilitokea Marekani, itatokea tena huku

Wakuu,

Mwaka 1973 Spiro Agnew alijiuzulu nafasi ya makamu wa Rais wa Marekani kufuatia skendo ya rushwa na matumizi mabaya ya ofisi ikiwemo kukwepa kodi alikofanya wakati ni governor wa Maryland. Rais Richard Nixon akamteua Gerald Ford kuchukua nafasi yake.

August ya mwaka 1974, Rais Richard Nixon alijiuzulu kufuatia skendo ya Watergate. Hapo ikabidi makamu wa Rais, bwana Gerald Ford aapishwe kuwa Rais wa Marekani.

Unaweza kuona jinsi Ford alivyokuwa na bahati. Hakuwahi kugombea umakamu wa Rais au Urais wenyewe lakini alishika vyeo vyote hivyo kwa nyakati tofauti zinazofuatana.

Nimeandika hii habari kuonyesha yanayokuja soon.

Endelea kusubiri!
YAANI Dr Tibazonkiza ajiuzulu KWA kasfa ya Tozo na ushauri mbaya unaoendelea!

Mama ateue makamu Mwingine AMBAYE ndio huyu ninaemfikiria!

Halafu Mama ajiuzulu KWA kushindwa kuendelea KWA kuzira au vinginevyo halafu makamu mpya aapishwe kuwa ndie!!

"Ilitokea Marekani itatokea na huku kwetu"

Na huyo ndio FDR sio!?bas Sawa!!
 
YAANI Dr Tibazonkiza ajiuzulu KWA kasfa ya Tozo na ushauri mbaya unaoendelea!

Mama ateue makamu Mwingine AMBAYE ndio huyu ninaemfikiria!

Halafu Mama ajiuzulu KWA kushindwa kuendelea KWA kuzira au vinginevyo halafu makamu mpya aapishwe kuwa ndie!!

"Ilitokea Marekani itatokea na huku kwetu"

Na huyo ndio FDR sio!?bas Sawa!!
Tough game mwanangu ila inawezekana kama ni mipango ya the supreme God
 
Kwamba mama atateua mtu kushika uVP, then Mama nae atangulie/atangulizwe mbele za haki au ajiuzuru (kwa kulazimishwa nyuma ya pazia) ili huyo VP wa mfukoni atwae Nchi?

Hii Thread ni ya May 2020. Wagagagigikoko! 🙂
Loh😯 bt naamini s100 ndo alitabiriwa.
 
Kama nimekusoma unamaanisha atakaeteuliwa umakamu wa Rais kumsaidia mama atakuwa Rais kabla ya mama kukamilisha hii miaka 4 na ushee?

Kama ndio hivyo nitamuomba Mungu abatilishe hii kitu ila tu kwa mapenzi yake basi angalau mama amalizie miaka 5 japo binafsi napenda aende hadi 2030

Sitaki kabisa tuingie kwenye historia ya Zambia
Sikubali Wala sikatai.

Utulivu ktk mchakato wa kumpata VP unafikirisha sana pia.🙃🙃.

Bt mwonaji anasema Marekani VP aliukwaa U-CEO Kwa KASHFA ya CEO alieondoshwa.

Muda ni mwalimu. Tusubiri.
 
Ni sahihi
Uongozi wa Mama ni wa mpito.
Mwanamume wa SHOKA ATACHUKUA HATAMU NA ROHO YA MAGUFULI na Uweza wa Mungu UTAKUWA JUU YAKE kuikomboa TANZANIA

NCHI HII IMEJALIWA RASLIMALI NYINGI....lazima zinufaishe Watanzania wote
Ameeeeeeeeeeeeeeen.
 
Wakuu,

Mwaka 1973 Spiro Agnew alijiuzulu nafasi ya makamu wa Rais wa Marekani kufuatia skendo ya rushwa na matumizi mabaya ya ofisi ikiwemo kukwepa kodi alikofanya wakati ni governor wa Maryland. Rais Richard Nixon akamteua Gerald Ford kuchukua nafasi yake.

August ya mwaka 1974, Rais Richard Nixon alijiuzulu kufuatia skendo ya Watergate. Hapo ikabidi makamu wa Rais, bwana Gerald Ford aapishwe kuwa Rais wa Marekani.

Unaweza kuona jinsi Ford alivyokuwa na bahati. Hakuwahi kugombea umakamu wa Rais au Urais wenyewe lakini alishika vyeo vyote hivyo kwa nyakati tofauti zinazofuatana.

Nimeandika hii habari kuonyesha yanayokuja soon.

Endelea kusubiri!
Kuna watu wachawi sana
 
Sikubali Wala sikatai.

Utulivu ktk mchakato wa kumpata VP unafikirisha sana pia.[emoji854][emoji854].

Bt mwonaji anasema Marekani VP aliukwaa U-CEO Kwa KASHFA ya CEO alieondoshwa.

Muda ni mwalimu. Tusubiri.
Utabiri si wa 2020 na tayari imetukia?
 
Back
Top Bottom