Kwani posho ni nin mkuu? Me nazani chadema walijua kabisa kujiisolet watakosa posho na wamekubaliana na hilo, nachojua unalipwa posho baada ya kusaini mahudhilio pindi uingiapo bungeni sio otherwise. Jiwe anatafuta kiki tu za.kishamba kwenye hilii.
Anauwezo huo kama head of state na sio kama head of government, hayo ni mamlaka yake ya kikatiba.Tatizo limeanzia hapo Mkuu, kama serikali inauwezo wa kuliamuru Bunge kufanya inavyotaka basi hilo ni tatizo.
Ingependeza kama speaker wa bunge amjibu rais kama alivyofanya speaker wa Uganda juzi kwa rais Museven ili kuonesha nguvu ya bunge kama mhimili unaojitegemea na wenye maamuzi yake so rais auheshimu.
Atakuwa na maisha magumu mbeleni Dunia hadaaMagu yupo juu ya Katiba.
Hakuna cha aibu yuko sahihi 100℅Magufuli amejiabisha mno leo, ameuonesha Ulimwengu namna ambavyo Bunge letu lilivyo dhaifu.
Unahoji mamlaka ya mkuu wa nchi!!? hauko vizuri upstairs, nchi inamkuu wa nchi mmoja tu.
Umeandika nini wewe boyadunia ni kina nani mkuu? ni kweli sisi tunadanganya sana wazungu kwenye check and balance ni executive inaburuza wenzake openly, bongo hatuna uhuru wa kukashifu na kupinga serikali kwenye public, uchaguzi wetu chenga chenga tu, watoto wenye mimba kurudi skuli hatuafiki ila tunasaini na kuchukua mpunga, ushoga hatutakaa tuukubali ila tunasaini kuwa hatuna shida na mashoga!!
kitu kizuri wazungu hutudanganya mengi zaidi ya tunayowadanganya sie!!! Mungu akupe nafasi uishi na wazungu uzunguni hutaamini utakayojionea!!! hali ya hewa ni mbaya mno huko miezi mingi, ni miezi mitatu au minne tu ya summer ndio huenjoy ila muvi zao nyingi ni za summer bata kama zote basi kila mtu mweusi ataka akaishi huko hawajui ukienda uzunguni unaishia ndani miezi nane baridi kali!! wazungu omba omba barabarani na mateja kama wote! wazungu ni watu feki mno , asilimia 80 ni vilaza, form six mtu kasoma balaa! kila mtu ni mdeni wa benki, kampuni ya cm, supermaket na manispaa!! wazungu ni wabaguzi wa rangi openly, nao husema mengi tofauti na wanayotenda kwa watu weusi!! mi sioni dhambi kuwazuga mambo yetu labda tujisikie vibaya kudanganya weusi wenzetu si wazungu i talk from experience trust me!!
Unajua maana ya serikali au umekariri tu ?Mkuu, hoja hapa si posho. Serikali inawezaje kuliamuru Bunge? Bunge hili ni dhaifu kiasi hicho?
Wakuu, ile dhana ya uwepo wa Mihimili Mitatu inayojitegemea ni DANGANYA TOTO TU. Magufuli amedhihirisha hilo leo kwa kuagiza Ndugai asilipe posho za Wabunge walioamua kujiweka "karantini".
Kama Rais ana mamlaka ya kuliingilia Bunge, vipi kuhusu Mahakama? Atashindwaje kutoa maagizo yanayofanana na hayo kwenye Tume yake ya Uchaguzi hapo Oktoba?
My take: Tuna utawala wa Mkono wa Chuma, tusitarajie Uchaguzi Huru hapo Oktoba mwaka huu.
Wakuu, ile dhana ya uwepo wa Mihimili Mitatu inayojitegemea ni DANGANYA TOTO TU. Magufuli amedhihirisha hilo leo kwa kuagiza Ndugai asilipe posho za Wabunge walioamua kujiweka "karantini".
Kama Rais ana mamlaka ya kuliingilia Bunge, vipi kuhusu Mahakama? Atashindwaje kutoa maagizo yanayofanana na hayo kwenye Tume yake ya Uchaguzi hapo Oktoba?
My take: Tuna utawala wa Mkono wa Chuma, tusitarajie Uchaguzi Huru hapo Oktoba mwaka huu.
Alafu anatokea mjinga eti bora niende nikaishi Ulaya, wakuu tukomaeni tuiendeleze na tuinue uchumi wa nchi yetu.dunia ni kina nani mkuu? ni kweli sisi tunadanganya sana wazungu kwenye check and balance ni executive inaburuza wenzake openly, bongo hatuna uhuru wa kukashifu na kupinga serikali kwenye public, uchaguzi wetu chenga chenga tu, watoto wenye mimba kurudi skuli hatuafiki ila tunasaini na kuchukua mpunga, ushoga hatutakaa tuukubali ila tunasaini kuwa hatuna shida na mashoga!!
kitu kizuri wazungu hutudanganya mengi zaidi ya tunayowadanganya sie!!! Mungu akupe nafasi uishi na wazungu uzunguni hutaamini utakayojionea!!! hali ya hewa ni mbaya mno huko miezi mingi, ni miezi mitatu au minne tu ya summer ndio huenjoy ila muvi zao nyingi ni za summer bata kama zote basi kila mtu mweusi ataka akaishi huko hawajui ukienda uzunguni unaishia ndani miezi nane baridi kali!! wazungu omba omba barabarani na mateja kama wote! wazungu ni watu feki mno , asilimia 80 ni vilaza, form six mtu kasoma balaa! kila mtu ni mdeni wa benki, kampuni ya cm, supermaket na manispaa!! wazungu ni wabaguzi wa rangi openly, nao husema mengi tofauti na wanayotenda kwa watu weusi!! mi sioni dhambi kuwazuga mambo yetu labda tujisikie vibaya kudanganya weusi wenzetu si wazungu i talk from experience trust me!!
Wewe ndio unajiabisha kwa kupinga kila kituRais amejiaibisha sana kwa kuonesha ubabe wake hadharani.
Kwanini lisifutwe basi tukabakia na hiyo serikali pekee? Kwanini tuidanganye dunia kwamba tuna Bunge huru wakati ukweli ni kinyume chake?
Bora uhai mkuu...au wew unaonaje?Mishahara ,Siku 14 walizojiaisoleti zitakuwa eksikuludedi kwenye malipo yao
Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
Kama uchaguzi siyo huru CHADEMA na wapinzaniwaliingiaje bungeni ? Acha kujitekenya.Lakini pia ni kiashirio cha kutokuwepo kwa Uchaguzi huru hapo baadaye Oktoba.