FourTwoNet
JF-Expert Member
- Aug 4, 2022
- 1,236
- 2,512
- Thread starter
- #41
Haya bana...ni kama hujanielewa lakini.Umemjibu vyema,maana tusijekufikia kuchukia hata tembea ya mama wa watu tukadai atembelee mguu mmoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya bana...ni kama hujanielewa lakini.Umemjibu vyema,maana tusijekufikia kuchukia hata tembea ya mama wa watu tukadai atembelee mguu mmoja
Sasa hoja ndio kama hizi, wengine humu ni ubishi tu. Na hawaelewi mada. Hiyo 'Deterrence' ni dhidi ya kina nani? Kama ni wananchi wake, kwa nini?Mikwala ni Deterrence ya gharama nafuu mkuu
Nimekuelewa mkuu,umeuliza ujibiwe...usikasirike yakija positive au negativeHaya bana...ni kama hujanielewa lakini.
Mmmhhh! Hii mbona kali, na vyombo vya habari vikakaa kimya?Mkuu rejea ile video ya issis wa Msumbiji walisema wanataka kumla kichwa Rais wa TZ.
maadui wapo wa nje na ndani uwezi kuwa Rais kwa nchi zetu hizi za matopeni alafu ukaacha kujilinda,hata uwe unagawa mamilioni kwa wanachi bado kuna maadui watakuwepo tu.
Mkuu, umepotea kabisa! Sijui kama unaweza saidiwa hapa.Niambie wewe ni nchi zipi Duniani zilizoendelea Rais akakosa ulinzi madhubuti?
ntajie nchi isiyo na wajinga,maradhi na umasikini alafu Rais alindwi?
Boss, hapa sio instagram.Pictures
Nakaziaaa!!!Usalama wenye akili walishawekwa kando.
Sasa ni matumizi ya nguvu kisha akili baadaye
Haitaki makasiriko...ila katika kupinga, uwe umeelewa hoja, halafu ukaipinga kwa hoja.Nimekuelewa mkuu,umeuliza ujibiwe...usikasirike yakija positive au negative
Labda wewe, Ndyo unaitaji hurumaNyie ni wa kuhurumiwa.
Haswa kichwani.Ukweli usemwe. Jamaa alikuwa na shida zake pia.
Yani hapo ni wananchi wananyamzishwa, hakuna cha usalama wa mibunduki kama ile.Moja kati ya kukosa uelewa wa vipngozi wankiafrika ni kuwa na fikra za kizamani Sana kuhusu kuuawa!!
KWA teknolojia ya kisasa haihitaji wadunguaji kuua mtu mkubwa kama kennedy wa america bali technology ya mauaji ya kemikali sumu na mionzi,
Ni vizuri tukajikita kwenye ulinzi wa klteknolojia kuliko kuleta taharuki kwenye JAMII kama hivyo!!
Hiwezi kuyaona uote hayo KWA nchi zilizopiga hatua,kiongozi anapaswa kulindwa KWA vifaa maalumu kilomita kadhaa toka aliepo na sio kulindwa na watu!!
Mungu aibariki nchi yangu Tanzania!!
Ninawapenda Viongozi wetu wote ila sio Magufuli.Hii sio kauli nzuri kwa Rais wa nchi yako, tujaribu kuwa waungwana na tuwapende viongozi wetu.
Tumia akili yako hata kwa sekunde mbili tu kabla hujaja kuandika upuuzi humu.Kila nchi inataratibu zake za ulnzi kulingana watakavyoona wao na taratibu zao.
SawaHaitaki makasiriko...ila katika kupinga, uwe umeelewa hoja, halafu ukaipinga kwa hoja.
Sasa unafikiri usalama wetu wameshindwa kuwa diplomatic na kujificha hadharani kama unavyoelezea hapo???? Ngoja mama akiwa anafanya kampeni utanieleza kama majamaa yatakuwa yamevaa combat na mi himars mkononi.Huo ulinzi uliouna bado hautoshi. Rais ni taasisi sio mtu mmoja, ni uso wa Nchi. Kwa wenzetu kwakua wapo very advanced kwenye sector ya ulinzi sometimes inakuwa ngumu kuona idadi yao kamili. Lakini kuna uwezekano walinzi wapo kila sehemu na wengine huwezi kuwadhania. Dunia sio pepo na hata iweje hauwezi pendwa na kila mtu especially ukiwa uso wa Nchi.
Uvivu wako wa kusoma utakuponza mkuu...mada imejibu swali lako, kama utakuwa makini.Wewe ulitakaje labda?
Kwa hiyo we,ndiyo mara yako ya kwanza kuona kiongozi wa nchiMpaka hapo uzi kamili....
Nimeona mama yuko ziara, halafu majamaa yamepiga combat, na mitutu juu, halafu ziara yenyewe ni kaenda kuona wananchi wake.
Hii ina effect gani kisaikolojia kwa wananchi? Na inamaanisha nini? Maanake sio kwamba usalama wameshindwa kuweka usalama pasipo 'ku send message'....sijui kama naeleweka lakini.