Rais anavyotembea na walinzi waliobeba mitutu anaonesha nini wananchi?

Rais anavyotembea na walinzi waliobeba mitutu anaonesha nini wananchi?

Sasa unafikiri usalama wetu wameshindwa kuwa diplomatic na kujificha hadharani kama unavyoelezea hapo???? Ngoja mama akiwa anafanya kampeni utanieleza kama majamaa yatakuwa yamevaa combat na mi himars mkononi.
Na hiyo ndio maana ya mimi kutumia neno "Very Advanced."
Je unadhani sisi tupo Advanced vya kutosha kwenye sector ya usalama wa Kitaifa ukilinganisha na Marekani?
 
Kwa hiyo we,ndiyo mara yako ya kwanza kuona kiongozi wa nchi
Tz akilindwa na mtutu...ehhh

Ova
Boss, nimeshasema ni kwa wote wanaofanya hivi, na mnajua hii tabia ilianzia wapi... na ni kwamba inafanywa kimaksudi ili kuleta fear!!! Kitu ambacho narudia tena, hakiendani na hali ya 'kiongozi aliyechaguliwa na wanachi' kwa sababu anatakiwa ku appear approachable kwa wananchi.
 
Boss, nimeshasema ni kwa wote wanaofanya hivi, na mnajua hii tabia ilianzia wapi... na ni kwamba inafanywa kimaksudi ili kuleta fear!!! Kitu ambacho narudia tena, hakiendani na hali ya 'kiongozi aliyechaguliwa na wanachi' kwa sababu anatakiwa ku appear approachable kwa wananchi.
Kiongozi tuliyenaye sasa hivi hakuchaguliwa na wananchi bali ameingia kwenye nafasi ya urais kama replacement. Hiyo ni sababu tosha ya kuongeza ulinzi. Bado, ukilinganisha hali ya kiuchumi na kisiasa kwa sasa nchini ni wazi Rais ameongeza maadui wengi zaidi kuliko kipindi ameingia madarakani au kipindi chochote kile.
Sababu wananchi wengi wana maumivu ya maamuzi dhaifu kutoka juu. Hizo ni sababu chache kati ya nyingi za kuboresha na kumuongezea ulinzi.
 
Na hiyo ndio maana ya mimi kutumia neno "Very Advanced."
Je unadhani sisi tupo Advanced vya kutosha kwenye sector ya usalama wa Kitaifa ukilinganisha na Marekani?
Definately not, ila usalama wanapatia mafunzo huko, usalama ni very very highly trained officers, best of the best nchini....point is, kwa Tanzania, rais akitaka kufanyiwa baya, hawatamtungua kwa marisasi...hapo ni unachezewa na kemikali....sasa mi himars na kemikali ni wapi na wapi.
 
Kiongozi tuliyenaye sasa hivi hakuchaguliwa na wananchi bali ameingia kwenye nafasi ya urais kama replacement. Hiyo ni sababu tosha ya kuongeza ulinzi. Bado, ukilinganisha hali ya kiuchumi na kisiasa kwa sasa nchini ni wazi Rais ameongeza maadui wengi zaidi kuliko kipindi ameingia madarakani au kipindi chochote kile.
Sababu wananchi wengi wana maumivu ya maamuzi dhaifu kutoka juu. Hizo ni sababu chache kati ya nyingi za kuboresha na kumuongezea ulinzi.
Baaaaaas! Sasa tuko pamoja....katika hali ya kuwa sarcastic, ningekujibu kwamba, alichaguliwa maanake, alikuwa kwenye kampeni na mwendazake kama mgombea mwenza.
Sasa nachomaanisha ni kwamba, ule ulinzi ni wa mikwara....yani kuinstall fear kwa wananchi, ili wasilalamike....wala haihusiani na kwamba kaongeza maadui ambao wanaweza kumvamia na mi himars.

Maadui alioongeza, ni wananchi wa hali ya kawaida.
 
Mpaka hapo uzi kamili....

Nimeona mama yuko ziara, halafu majamaa yamepiga combat, na mitutu juu, halafu ziara yenyewe ni kaenda kuona wananchi wake.

Hii ina effect gani kisaikolojia kwa wananchi? Na inamaanisha nini? Maanake sio kwamba usalama wameshindwa kuweka usalama pasipo 'ku send message'....sijui kama naeleweka lakini.
Umeishawahi kuona jinsi pesa na sigara zinavyosafirishwa?
Raisi wa nchi sio kstibu kata,ukimuua Raisi,nchi inaingia kwenye msuko suko,Raisi wa nchi,amebeba Siri nyingi za nchi,akipata shida nchi inayumba,lazima apewe ulinzi mzito.
Sasa kwenye uhalisia kwa hapa bongo,hao walinzi wake,ni swaga tu wanaonyesha ni wepesi kama mrenda,watu wakiamua kumpopoa Raisi wa Tz,wanampata faster sana,
Rushwa imechsngia,kuingiza watoto wa wakubwa,wasio jua kitu,wapo pale kula bata tu,wakija kitaa tunagombea nao madem
 
Moja kati ya kukosa uelewa wa vipngozi wankiafrika ni kuwa na fikra za kizamani Sana kuhusu kuuawa!!

KWA teknolojia ya kisasa haihitaji wadunguaji kuua mtu mkubwa kama kennedy wa america bali technology ya mauaji ya kemikali sumu na mionzi,

Ni vizuri tukajikita kwenye ulinzi wa klteknolojia kuliko kuleta taharuki kwenye JAMII kama hivyo!!

Hiwezi kuyaona uote hayo KWA nchi zilizopiga hatua,kiongozi anapaswa kulindwa KWA vifaa maalumu kilomita kadhaa toka aliepo na sio kulindwa na watu!!

Mungu aibariki nchi yangu Tanzania!!
Hata kama atalindwa na watu, wavae mavazi ya kawaida, waweke mitutu ndani ya makoti
 
Umeishawahi kuona jinsi pesa na sigara zinavyosafirishwa?
Raisi wa nchi sio kstibu kata,ukimuua Raisi,nchi inaingia kwenye msuko suko,Raisi wa nchi,amebeba Siri nyingi za nchi,akipata shida nchi inayumba,lazima apewe ulinzi mzito.
Sasa kwenye uhalisia kwa hapa bongo,hao walinzi wake,ni swaga tu wanaonyesha ni wepesi kama mrenda,watu wakiamua kumpopoa Raisi wa Tz,wanampata faster sana,
Rushwa imechsngia,kuingiza watoto wa wakubwa,wasio jua kitu,wapo pale kula bata tu,wakija kitaa tunagombea nao madem
Mimi ni mlipa kodi mashuhuri tu kwenye sekta ya pombe na sigara....bila shaka zipewe ulinzi wa kupindukia...hatuna shida maanake saa ya kununua hakuna kona nyingi.
Rais hata atembee na watu elfu wenye mihimars, lakini wamejiweka strategically hadi mwananchi hapati presha ya kumuona raisi...hapo sawa.
 
Sasa hoja ndio kama hizi, wengine humu ni ubishi tu. Na hawaelewi mada. Hiyo 'Deterrence' ni dhidi ya kina nani? Kama ni wananchi wake, kwa nini?
Kiongozi mkubwa wa nchi au taifa lolote lazima ana adui sababu yeye kwa nafasi yake hawezi kumridhisha kila mtu.
Kuna ambao wana tamaa ya madaraka wanaweza kutaka kumuondoa wachukue nafasi.
Kuna wenye hisia za kizalendo kupitiliza wanaweza kuona hafanyi kwa maslahi ya nchi wakataka kumuondoa.
Kuna wahalifu kama wauza dawa za kulevya wanaweza kutaka kumuondoa waweke mtu atakaye waachia wafanye biashara yao bila kusumbuliwa. .... n.k.

Usijidananye atakuja kutokea au alitokea kuwepo raisi au kiongozi yeyote duniani atapendwa/alipendwa na kila mtu anaye muongoza au na watu wa nchi za nje wanaotaka maslahi yao flani yatekelezwe na nchi nyingine. Lakini kiuhalisia watakacho hao wa nchi za nje kitaathiri maslahi ya nchi nyingine.
Kuna watu wanaohisi hafuati maslahi ya dini flani, n.k. Mfano kuna dini au tamaduni hazitaki kuongozwa na mwanamke.
Fikiri kwa upana usiwaze kiushabiki wa kisiasa.
 
Kiongozi mkubwa wa nchi au taifa lolote lazima ana adui sababu yeye kwa nafasi yake hawezi kumridhisha kila mtu.
Kuna ambao wana tamaa ya madaraka wanaweza kutaka kumuondoa wachukue nafasi.
Kuna wenye hisia za kizalendo kupitiliza wanaweza kuona hafanyi kwa maslahi ya nchi wakataka kumuondoa.
Kuna wahalifu kama wauza dawa za kulevya wanaweza kutaka kumuondoa waweke mtu atakaye waachia wafanye biashara yao bila kusumbuliwa. .... n.k.

Usijidananye atakuja kutokea au alitokea kuwepo raisi au kiongozi yeyote duniani atapendwa/alipendwa na kila mtu anaye muongoza au na watu wa nchi za nje wanaotaka maslahi yao flani yatekelezwe na nchi nyingine. Lakini kiuhalisia watakacho hao wa nchi za nje kitaathiri maslahi ya nchi nyingine.
Kuna watu wanaohisi hafuati maslahi ya dini flani, n.k. Mfano kuna dini au tamaduni hazitaki kuongozwa na mwanamke.
Fikiri kwa upana usiwaze kiushabiki wa kisiasa.
Uko sahihi kabisa, na kuhusu suala la usalama, ni paramount. Lazma watu wa kadhia hii wapewe ulinzi bora kuliko yeyote nchini.....
Nachojaribu kuput across ni kwamba, wakati wa kampeni, mama atakuwa na ulinzi mkali tena huenda ikawa maradufu ya ule wa leo....lakini utaona watakavyokuwa 'subtle'....ili wananchi wajiskie comfortable... point yangu ni kwamba kwa leo, ilifanya wananchi wakajiskia uncomfortable. Kisaikolojia wanajiskia ni kama anajihami against wao....kitu ambacho hakisaidii kidemokrasia. Na amini usiamini, hili limefanywa maksudi, yani its a political move.
 
Bora ss walinzi wake ni watanzania kabisa. Kuliko yule w kuja
 
Back
Top Bottom