Nawatania
Senior Member
- Jul 13, 2021
- 148
- 549
Rais Samia awe makini kukwepa kusema uongo mbele ya umma
Rais Magufuli alipenda propaganda ndio maana watu werevu walimchoka mapema kwa propaganda
Alichukua pesa za michango ya rambirambi Bukoba na kwenda kufanyia mambo mengine kabisa. Mara tunajenga kwa pesa zetu
Sasa na Samia ameanza kuingia kwenye mtego wa uongo kama mtangulizi wake. Wiki iliyopita akienda Bagamoyo alisimama Tegeta na kuwaaminisha watanzania kwamba tozo zinahitajika ili kujenga madarasa.
Na akasisitiza misaada na mikopo sio mizuri kutoka kwa wazungu.
Ila Leo kashachukua pesa za IMF za kupambana na athari za covid 19 kwenda zaidi ya trilioni moja baada ziende kwenye athari za covid kama kuimarisha sector ya utalii na kukopesha wafanyabiashara waliopoteza mitaji yeye anapeleka pesa kwenye madarasa?
Kipaumbele Cha tozo ni madarasa na kipaumbele Cha mkopo wa IMF ni madarasa.
Tozo hazitoshi? Wakati ndani ya wiki nne zinakusanywa zaidi ya billion 50 maana yake kwa mwaka ni billion 600 hizi pesa zote zitaenda wapi?
Allocation of resources hakuna tena wakati Rais Mchumi, Makamo wake Mchumi, Waziri wa fedha yupo ila bado wanachukua pesa kwa ajiri ya athari za Corona wao wanapeleka kwenye madarasa kumbukeni Kila kitu ni muhimu.
Kuna wafanyakazi kwenye hoteli za kitalii wanadai bado mishahara ya mwaka Jana.
Kuna makampuni yalikopa mikopo mikubwa benk na mdororo wa kiuchumi umewafanya kupunguza wafanyakazi.
Kuna sector ya anga kesho mtakuja tena kusema ITCL imepata hasara wakati hamuwezi hata kulinda makampuni ya umma.
Rais unatukwaza Sana acha kudanganya umma kwamba madarasa yanajengwa na tozo wakati unakopa pesa nje kujenga madarasa.
Rais Magufuli alipenda propaganda ndio maana watu werevu walimchoka mapema kwa propaganda
Alichukua pesa za michango ya rambirambi Bukoba na kwenda kufanyia mambo mengine kabisa. Mara tunajenga kwa pesa zetu
Sasa na Samia ameanza kuingia kwenye mtego wa uongo kama mtangulizi wake. Wiki iliyopita akienda Bagamoyo alisimama Tegeta na kuwaaminisha watanzania kwamba tozo zinahitajika ili kujenga madarasa.
Na akasisitiza misaada na mikopo sio mizuri kutoka kwa wazungu.
Ila Leo kashachukua pesa za IMF za kupambana na athari za covid 19 kwenda zaidi ya trilioni moja baada ziende kwenye athari za covid kama kuimarisha sector ya utalii na kukopesha wafanyabiashara waliopoteza mitaji yeye anapeleka pesa kwenye madarasa?
Kipaumbele Cha tozo ni madarasa na kipaumbele Cha mkopo wa IMF ni madarasa.
Tozo hazitoshi? Wakati ndani ya wiki nne zinakusanywa zaidi ya billion 50 maana yake kwa mwaka ni billion 600 hizi pesa zote zitaenda wapi?
Allocation of resources hakuna tena wakati Rais Mchumi, Makamo wake Mchumi, Waziri wa fedha yupo ila bado wanachukua pesa kwa ajiri ya athari za Corona wao wanapeleka kwenye madarasa kumbukeni Kila kitu ni muhimu.
Kuna wafanyakazi kwenye hoteli za kitalii wanadai bado mishahara ya mwaka Jana.
Kuna makampuni yalikopa mikopo mikubwa benk na mdororo wa kiuchumi umewafanya kupunguza wafanyakazi.
Kuna sector ya anga kesho mtakuja tena kusema ITCL imepata hasara wakati hamuwezi hata kulinda makampuni ya umma.
Rais unatukwaza Sana acha kudanganya umma kwamba madarasa yanajengwa na tozo wakati unakopa pesa nje kujenga madarasa.