Rais atoe taarifa za kweli juu ya tozo na fedha za IMF

Rais atoe taarifa za kweli juu ya tozo na fedha za IMF

Kwa hiyo sasa hivi mmeghairi kujenga barabara za lami vijijini?
Maana mwanzo mlisema ni kwa ajili ya barabara za vijijini
Si umeona mafanikio makubwa ya shule za kata, watoto ni werevu mno siku hizi, hivyo basi tumeona tukazie humo humo, ule ushauri wa ELIMU, ELIMU, ELIMU ndo huo.

Kama kuna sehemu yoyote umeona ujenzi wa darasa jipya ambao wanakijiji hawajachangishwa unishtue mkuu, upige na picha ya ushahidi, uiweke hapa.
 
We kweli una matatizo, kwa hiyo pesa ya tozo kama inajenga madarasa, hatakiwi kuongezea nyingine,

vipi ulikuwa unahitaji mkopo?
Maskini ndiyo huwa wanawaza hivyo, akishapata kamshahara kake mwisho wa mwezi anaridhika mwenyewe
 
Wangerudisha utaratibu rais kuhutubia taifa kila mwisho wa mwezi ata mwanzo sio mbaya. Hii ata tukio la kuchimba mtaro wa kupitisha maji ya ukoko wa jikoni tunaruka laivu haifai.
 
Kuwa karibu jikoni hakumaanishi unaweza kushiba zaidi kuliko aliye nje ya jiko,

Waliokuwa karibu sana na mwendazake hawakunielewa na waliowekewa mwendazake ni wale waliokuwa mbali sana na mwendazake.

Mungu kwanini ulituchukulia mtu wetu?
 
hawa jamaa kila kitu wanasema ni tozo..lakini ndai ya miezi sita kapata mikopo ya word bank na imf zaidi ya trillon 4 sasa zote hizo Inaenda kufanya nink..wakati hazihusian na sgr au bwawa la umeme
Wanashindwa tu kusema ukweli Magufuli alimaliza fedha zote kwa miradi ya hovyo na bila kufuata ushauri wa wataalamu.
 
Si kasema miezi sita alikuwa darasani kuwasoma mawaziri wake, huenda hata alikuwa akiyasoma au yungali anayasoma mambo mengine ikiwemo hilo la uchumi na namna ya kuweka mikakati...
 
Ina maana mkuu kweli unatutania? Eti kanajiita "Nawatania". Ila mkuu umesema kweli kama kuna mahali amesema hela ya IMF iende kwenye madarasa basi serekale hii bado inapenda mambo ya uongo uongo, wakituona sisi Watanzania ni mazombie!
 
Tanzania ni "donor country" haikuwa uongo. Mwenyezi Mungu ampe pumziko jema.
 
Uongo gani sasa kasema hapo wewe kima?

Seems huna akili za kufikiria vizuri,Rais alisema pesa yote itakayopatikana kwa tozo kwa miezi ijayo zielekezwe kwenye ujenzi wa miundombinu ya madarasa na kununua samani..

Bado miezi 4 tuu shule zifunguliwe na je itaendelea kusubiria makusanyo ya kila mwezi hadi lini ikiwa tayari kuna pesa iko mkononi? Unadhani na pesa za kununulia mahindi zimetoka wapi?

Kuna mazingira ya dharura lazima u act kidharura.Tozo zitaendelea na lazima ziwe endelevu,toka zeanza hata miezi 4 bado ..

Alafu usijitoe ufahanu wakikamilisha madarasa zinarudi kwenye afya maana ndio kwanza wametoa pesa za majengo ya awali 3, Kazi ya ujenzi Ili angalau majengo ya kutoa huduma yafanyike ni majengo jumla 7
 
Halafu acha kuropoka hivyo,mojawapo ya matumizi ya hizo pesa za covid kwa mujibu wa serikali ni kusapoti utalii,kununua Vifaa tiba kwenye sekta ya Afya na miundombinu na kusaidia kaya maskini kupitia tasaf..

Hata zingepelekwa NRFA ni sawa maana Mazao ya kilimo yameanguka na kununua ndio kusapoti kwenyewe sasa wewe sijui unaongea nini au ulitakaje.

Kwanza ningekuwa mimi ndio serikali ndio kwanza hizo pesa zote ningesipeleka kujenga miundombinu ya barabara angalau km 400 alafu zingine ndio nizitawannyishe but seems zina miongozo ya IMF
 
Back
Top Bottom