Rais awasamehe Makamishina walioshirikiana na Kangi Lugola uliokuwa na viashiria vya ufisadi

Kumchoma mwizi moto ni kujichukulia sheria mkononi, CHADEMA acheni tabia hii mara moja, mliyoitendea familia ya Akwilina inatosha!
 
Hivi raisi anaweza kumsamehe mtu ambaye ndo yupo katika uchunguzi!!! Na hela zetu walipa kodi nani atazirudisha??
mkataba ulivunjwa kwa makubaliano ya pande zote zinazohusika.
 
Ndugu yako ni miongoni mwa 3,000 na ushehe waliopewa msamaha Rais Magufuli, ebu kuwa mpole basi!
Kumbe Sio Mahakama Tena inayowatia watu hatiani au kuwafutia mashitaka bali ni rais? Majizi Yanajuana Na Kusameheana
 
Mie nilisema tangu mwanzoni kwamba suala hili lilikuwa ni kukurupuka tu kwa Magufuli, hakuna kesi hapa. Kile kilichosainiwa hakikuwa Mkatama ilikuwa MOU ambayo haina nguvu kisheria. Baada ya MOU ndio ungefuata Mkataba. MOU inaweka mazingira ya kujadiliana tu kuelekea mkataba.

Hapa Magufuli kusema anawasamehe anakwepa aibu na kudhalilika kwamba hajui maana ya MOU
 
Andengenye huko aliko anafurahia tu
 
Attorney General AG / Mwanasheria Mkuu wa Serikali abebe mzigo wa kushitakiwa Serikali kwa kufanya makosa ya kuwatuhumu, kuwaharibia sifa mbele ya jamii n.k hawa maafisa.
Shida ni nini hapo, mbona haueleweki? WAKATI WA KUTUMBULIWA ILIKUWA HADHARANI, LEO KAWASAMEHE HADHARANI, ulitaka awasamehe kimya kimya au unataka nini?
 
Hivi raisi anaweza kumsamehe mtu ambaye ndo yupo katika uchunguzi!!! Na hela zetu walipa kodi nani atazirudisha??
Kwa katiba yetu Rais Ana power mzee yuko juu ya sheria naona Rais anakwenda kutokana na katiba iliyopo

Ova
 
Kawasamehe kwani walishahukumiwa na mahakama? Sheria za nchi zinavunjwa jamani
 
Hivi raisi anaweza kumsamehe mtu ambaye ndo yupo katika uchunguzi!!! Na hela zetu walipa kodi nani atazirudisha??
Katia hali halisi hakuna kesi tena. Msamaha kwa Andengenye na makamishna wote ni msamaha kwa Kangi. Kwa ufupi Lugola leo anakuja mwili wa Uno uno
 
Ni kama Mussa yule kiongozi wa waisraeli ... nabii yeye ...daktari yeye... mchungaji yeye...n.k
Musa yalimshinda mpaka akafanya UGATUZI wa madaraka baada ya kushauriwa na mkewe Yethro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…