Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Acha kushabikia ujinga . Zuzu weweAtake asitake tutamshinikiza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kushabikia ujinga . Zuzu weweAtake asitake tutamshinikiza
Acha kushabikia ujinga . Zuzu wewe
Sisi tutamuongezea kwa lazimaMagufuli hataki maadui wa kudumu na uchaguzi huo unakaribia napia siumeona anavyo wakataa vibaraka wake wasimuingize Choo cha kike kwa Masirahi ya matumbo yao na familia zao Magufuli anajielewa mkuu hataki maadui na hataki kuongeza muda anaheshimu katiba ya nchi yetu na chama chake. Pongezi kwake viva magufuli Safi kwa point ulizoongea leo
Pale mnapodanganya watu hakuna zaidi ya magufuliAtake asitake tutamshinikiza
Hizo fedha za kununulia vifaa vya zimamoto zilikuwa mali ya Magufuli au za Serikali ya watanzania?Leo Akifungua ofisi za kikosi Cha Zimamoto Dodoma,ametamka kuwasamehe maofisa waliohusika na utiaji saini wa tender ya kununuliwa vifaa vya Zimamoto toka kwa Wakoloni.Maana yake Kange Lugola saa hizi ni kicheko,hakuna Cha takukuru wala harufu ya Ukonga.Ila najiuliza huruma hii ya Magu imeanza lini?
Mbona ana saving ya maadaui wa kutosha na wengine wanatoa interest!Magufuli hataki maadui wa kudumu na uchaguzi huo unakaribia napia siumeona anavyo wakataa vibaraka wake wasimuingize Choo cha kike kwa Masirahi ya matumbo yao na familia zao Magufuli anajielewa mkuu hataki maadui na hataki kuongeza muda anaheshimu katiba ya nchi yetu na chama chake. Pongezi kwake viva magufuli Safi kwa point ulizoongea leo
Kangi lazima atakuwa wa kanda ya nyumbani...Kuna watu Wana zali utawala huu
Ova
Yaani sisi wa kanda pendwa.... hii ni zamu yetuAtake asitake tutamshinikiza aendelee kuwa Rais ili kuhakikisha wenye akili na maarifa na mafanikio kama Nyinyi muishi kwa huzuni na sie Mafala wajinga wajinga tuendelee ku enjoy
Hujaongelea ile sumu aliyopewa mangulaMagufuli hataki maadui wa kudumu na uchaguzi huo unakaribia napia siumeona anavyo wakataa vibaraka wake wasimuingize Choo cha kike kwa Masirahi ya matumbo yao na familia zao Magufuli anajielewa mkuu hataki maadui na hataki kuongeza muda anaheshimu katiba ya nchi yetu na chama chake. Pongezi kwake viva magufuli Safi kwa point ulizoongea leo