Rais awasamehe Makamishina walioshirikiana na Kangi Lugola uliokuwa na viashiria vya ufisadi

Rais awasamehe Makamishina walioshirikiana na Kangi Lugola uliokuwa na viashiria vya ufisadi

[emoji125][emoji125][emoji125]
Tumemsikia wenyewe Rais Magufuli siku ya Jana kuwa amemsamehe aliyekuwa Kamishna Mkuu wa kikosi cha Zimamoto, Thobias Andengenye kwa madai kuwa amemuomba msamaha.

Tukumbuke kuwa mwanzoni mwa mwaka huu, Rais Magufuli alimtumbua Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola na Kamishna huyo, Thobias Andengenye kwa madai kuwa wameingia mkataba unaokadiriwa kuwa wa Eoro mikioni 408, sawasawa na shilingi za kitanzania trillion moja., kinyume cha taratibu kwa kuwa mkataba huo haujapitia Bungeni kama zinavyoagizwa na sheria za nchi yetu.

Baada ya kutumbuliwa huko kwa Waziri Kangi Lugola na Kamishna huyo Thobias Andengenye, tukaambiwa kuwa TAKUKURU wanawachunguza watu hao na ikithibitika kuwa waliingia mkataba huo kinyume cha taratibu, basi wataburuzwa mahakamani ili wakajibu mashitaka yao.

Hata hivyo imepita takribani miezi 5 hatujasikia taarifa yoyote ya uchunguzi huo wa TAKUKURU unavyoendelea na ndiyo hiyo Jana tememsikia Rais Magufuli akidai kuwa amemsamehe huyo Kamishna Thobias Andengenye!

Swali tunalojiuliza hivi Rais Magufuli ana uwezo wa kuwasamehe hao kina Kangi Lugola ambao yeye mwenyewe alidai waliingia mkataba ulioliingizia Taifa letu hasara ya shilingi trillion moja?

Je uchunguzi wa TAKUKURU hivi sasa unaendeshwa na Rais Magufuli, kwa kuwaelekeza hao TAKUKURU wa-STOP kuendelea na uchunguzi, pale anapojisikia kufanya hivyo?

Tunajua kuwa kwa tuhuma nzito hiyo ya kuingia mkataba uliolitia hasara Taifa hili la takribani shilingi trillion moja, ni wajibu wetu sisi wananchi kushinikiza kuwa kama kweli watu hao wamelitia hasara Taifa hili kiasi hicho kikubwa sana cha pesa, basi wawajibishwe wakajibu tuhuma hizo mahakamani na siyo kwa Rais wetu kutoa msamaha wa kienyeji.

Kwa kuwa pesa hiyo tuliyoambiwa na Rais wetu kuwa watu hao wamelitia hasara Taifa hili ni pesa za walipa kodi wa nchi hii na.wala siyo pesa za Rais Magufuli.

Tutambue kuwa wapo watanzania wengi ambao wapo magerezani kwa kesi ndogo ndogo za kuiba kuku, iweje kwa hao tulioambiwa na Rais wetu kuwa wamelitia hasara Taifa hili kiasi kikubwa hicho cha pesa zinazokadiriwa kuwa shilingi trillion moja wapewe msamaha kirahisi rahisi hivyo?

Naomba wasomaji wa JF, tudadavue kama ni sahihi kwa Rais wetu kutoa misamaha ya aina hiyo wakati vyombo vya uchunguzi vya ulivyoambiwa vya TAKUKURU vinavyoshughulikia tuhuma hizo kabla havijatoa taarifa yao ya namna uchunguzi wao ulipofikia tamati.
Screenshot_20200612-094059.jpg
 
ESCROW wallipiga TSHS 340 billions, lakini wakina kangi tunaambiwa waliingiza taifa hasara ya Bills 1000, mpaka leo akina Rugemalira wako ndani lakini hawa wamesamehewa.

Hapo ndipo utajua kuwa dunia ina mambo mpaka jogoo anaweza taga.
Mkuu mkataba huo ulikuwa bado upo kwenye mchakato raisi akaona mapema kwa hiyo hakuna hasara yoyote iliyotokea maana mkataba ulikuwa bado hujatekelezeka
 
Retired
Halafu bado wapo wanamuomwamini akisimama juu ya majukwaa na kudai kuwa MAENDELEO HAYANA CHAMA!

Wakati yeye mwenyewe ndiye kinara wa kuvichukia vyama vya upinzani, especially Chadema!
nashukuru umeliona hilo. Very sad!
 
Raisi ameonyesha wapo watu wa kupelekwa mahakamani wanapofanya uhalifu na wapo watu ambao hata wakifanya uhalifu mkubwa kiasi gani kwa amri yake hawatashitakiwa, hii inaitwa DOUBLE STANDARD.
 
Msamaha haumaanishi kuwa kosa halikutendeka.
 
ESCROW wallipiga TSHS 340 billions, lakini wakina kangi tunaambiwa waliingiza taifa hasara ya Bills 1000, mpaka leo akina Rugemalira wako ndani lakini hawa wamesamehewa.

Hapo ndipo utajua kuwa dunia ina mambo mpaka jogoo anaweza taga.
Hasara ya bilioni 1000 ilitokana na nini
 
upinzani wanajitahidi sana.

tatizo ni sisi wananchi wenyewe kutokusimama na upinzani.
Upinzani huu wa akina Mbowe wa kubadili gia angani? Watanzania tulisimama nao 2015 wakatuangusha, itachukua miaka mingi upinzani kuhaminika
 
Tumemsikia wenyewe Rais Magufuli siku ya Jana kuwa amemsamehe aliyekuwa Kamishna Mkuu wa kikosi cha Zimamoto, Thobias Andengenye kwa madai kuwa amemuomba msamaha.

Tukumbuke kuwa mwanzoni mwa mwaka huu, Rais Magufuli alimtumbua Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola na Kamishna huyo, Thobias Andengenye kwa madai kuwa wameingia mkataba unaokadiriwa kuwa wa Eoro mikioni 408, sawasawa na shilingi za kitanzania trillion moja., kinyume cha taratibu kwa kuwa mkataba huo haujapitia Bungeni kama zinavyoagizwa na sheria za nchi yetu.

Baada ya kutumbuliwa huko kwa Waziri Kangi Lugola na Kamishna huyo Thobias Andengenye, tukaambiwa kuwa TAKUKURU wanawachunguza watu hao na ikithibitika kuwa waliingia mkataba huo kinyume cha taratibu, basi wataburuzwa mahakamani ili wakajibu mashitaka yao.

Hata hivyo imepita takribani miezi 5 hatujasikia taarifa yoyote ya uchunguzi huo wa TAKUKURU unavyoendelea na ndiyo hiyo Jana tememsikia Rais Magufuli akidai kuwa amemsamehe huyo Kamishna Thobias Andengenye!

Swali tunalojiuliza hivi Rais Magufuli ana uwezo wa kuwasamehe hao kina Kangi Lugola ambao yeye mwenyewe alidai waliingia mkataba ulioliingizia Taifa letu hasara ya shilingi trillion moja?

Je uchunguzi wa TAKUKURU hivi sasa unaendeshwa na Rais Magufuli, kwa kuwaelekeza hao TAKUKURU wa-STOP kuendelea na uchunguzi, pale anapojisikia kufanya hivyo?

Tunajua kuwa kwa tuhuma nzito hiyo ya kuingia mkataba uliolitia hasara Taifa hili la takribani shilingi trillion moja, ni wajibu wetu sisi wananchi kushinikiza kuwa kama kweli watu hao wamelitia hasara Taifa hili kiasi hicho kikubwa sana cha pesa, basi wawajibishwe wakajibu tuhuma hizo mahakamani na siyo kwa Rais wetu kutoa msamaha wa kienyeji.

Kwa kuwa pesa hiyo tuliyoambiwa na Rais wetu kuwa watu hao wamelitia hasara Taifa hili ni pesa za walipa kodi wa nchi hii na.wala siyo pesa za Rais Magufuli.

Tutambue kuwa wapo watanzania wengi ambao wapo magerezani kwa kesi ndogo ndogo za kuiba kuku, iweje kwa hao tulioambiwa na Rais wetu kuwa wamelitia hasara Taifa hili kiasi kikubwa hicho cha pesa zinazokadiriwa kuwa shilingi trillion moja wapewe msamaha kirahisi rahisi hivyo?

Naomba wasomaji wa JF, tudadavue kama ni sahihi kwa Rais wetu kutoa misamaha ya aina hiyo wakati vyombo vya uchunguzi vya ulivyoambiwa vya TAKUKURU vinavyoshughulikia tuhuma hizo kabla havijatoa taarifa yao ya namna uchunguzi wao ulipofikia tamati.

Nchii hii imekuwa ya mauza uza mno. utakumbuka kuna polisi walishiriki kutorosha dhahabu ya mabilioni kule Mwanza. walikamatwa na baadae mh Rais alisema amewasamehe!!!!!
umetaja Takukuru, nakuhakikishia TAKUKURU inafanya vizuri ikiwa ni watuhumiwa ni vyama vya upinzani au kwa mtu yeyote asiye na itikadi ya CCM, na watumishi wengine wadogo wadogo wasio wanachama wa CCM.
Unakumbuka issue ya Nasari na Lema dhidi ya biashara ya udiwani?
ya kushangaza ni mengi, kuliko kinyume chake.
 
Mkuu mkataba huo ulikuwa bado upo kwenye mchakato raisi akaona mapema kwa hiyo hakuna hasara yoyote iliyotokea maana mkataba ulikuwa bado hujatekelezeka
RWANDES
Kama mkataba ule ulikuwa katika hatua za awali na hakuna hasara yoyote iliyopatikana kwa Taifa, ni kwanini basi siku ile Rais Magufuli alionekana "kufura" sana hadi kusababisha amfukuze kazi waziri wa mambo ya ndani, Kangi Lugola, tena hadharani mbele ya waandishi wa habari??
 
ESCROW wallipiga TSHS 340 billions, lakini wakina kangi tunaambiwa waliingiza taifa hasara ya Bills 1000, mpaka leo akina Rugemalira wako ndani lakini hawa wamesamehewa.

Hapo ndipo utajua kuwa dunia ina mambo mpaka jogoo anaweza taga.
Nafaka
Haya mazingaombwe yanapatikana katika nchi moja tu hapa duniani, nayo si nyingine bali Tanzania!
 
Ile ni Siahasa sio Siasa elewa hapo mkuu...ukitaka kuthibitisha hilo wale wote tuliombiwa wameingia miktataba ya hovyo hakuna aliyepelekwa mahakamani.
 
RWANDES
Kama mkataba ule ulikuwa katika hatua za awali na hakuna hasara yoyote iliyopatikana kwa Taifa, ni kwanini basi siku ile Rais Magufuli alionekana "kufura" sana hadi kusababisha amfukuze kazi waziri wa mambo ya ndani, Kangi Lugola, tena hadharani mbele ya waandishi wa habari??
Hii ni wazi kuwa kama huyu amesamehewa mbele ya kadamnasi kama alivyowatamka awali. Inamaanisha kazi iliyofanywa na Takukuru haikuwa na maana na Kangi pia ameshasamehewa hivyo hakuna kesi kamwe. Na wala hutasikia hatua kuchukuliwa. Sasa yanayoendelea kwa CDM kuhoji hela walizokubaliana kujichangisha kwa manufaa ya kuendeleza chama ndio mtaji uliopo. Tuna safari ndefu kufika.
 
Lugola kajifunga mabomu, dikteta anamuogopa kumgusa. Kamwambia NIGUSE NIKINUKISHE hahahahaha

2425812_ETQKOp_WsAEtvLN.jpg



Tumemsikia wenyewe Rais Magufuli siku ya Jana kuwa amemsamehe aliyekuwa Kamishna Mkuu wa kikosi cha Zimamoto, Thobias Andengenye kwa madai kuwa amemuomba msamaha.

Tukumbuke kuwa mwanzoni mwa mwaka huu, Rais Magufuli alimtumbua Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola na Kamishna huyo, Thobias Andengenye kwa madai kuwa wameingia mkataba unaokadiriwa kuwa wa Eoro mikioni 408, sawasawa na shilingi za kitanzania trillion moja., kinyume cha taratibu kwa kuwa mkataba huo haujapitia Bungeni kama zinavyoagizwa na sheria za nchi yetu.

Baada ya kutumbuliwa huko kwa Waziri Kangi Lugola na Kamishna huyo Thobias Andengenye, tukaambiwa kuwa TAKUKURU wanawachunguza watu hao na ikithibitika kuwa waliingia mkataba huo kinyume cha taratibu, basi wataburuzwa mahakamani ili wakajibu mashitaka yao.

Hata hivyo imepita takribani miezi 5 hatujasikia taarifa yoyote ya uchunguzi huo wa TAKUKURU unavyoendelea na ndiyo hiyo Jana tememsikia Rais Magufuli akidai kuwa amemsamehe huyo Kamishna Thobias Andengenye!

Swali tunalojiuliza hivi Rais Magufuli ana uwezo wa kuwasamehe hao kina Kangi Lugola ambao yeye mwenyewe alidai waliingia mkataba ulioliingizia Taifa letu hasara ya shilingi trillion moja?

Je uchunguzi wa TAKUKURU hivi sasa unaendeshwa na Rais Magufuli, kwa kuwaelekeza hao TAKUKURU wa-STOP kuendelea na uchunguzi, pale anapojisikia kufanya hivyo?

Tunajua kuwa kwa tuhuma nzito hiyo ya kuingia mkataba uliolitia hasara Taifa hili la takribani shilingi trillion moja, ni wajibu wetu sisi wananchi kushinikiza kuwa kama kweli watu hao wamelitia hasara Taifa hili kiasi hicho kikubwa sana cha pesa, basi wawajibishwe wakajibu tuhuma hizo mahakamani na siyo kwa Rais wetu kutoa msamaha wa kienyeji.

Kwa kuwa pesa hiyo tuliyoambiwa na Rais wetu kuwa watu hao wamelitia hasara Taifa hili ni pesa za walipa kodi wa nchi hii na.wala siyo pesa za Rais Magufuli.

Tutambue kuwa wapo watanzania wengi ambao wapo magerezani kwa kesi ndogo ndogo za kuiba kuku, iweje kwa hao tulioambiwa na Rais wetu kuwa wamelitia hasara Taifa hili kiasi kikubwa hicho cha pesa zinazokadiriwa kuwa shilingi trillion moja wapewe msamaha kirahisi rahisi hivyo?

Naomba wasomaji wa JF, tudadavue kama ni sahihi kwa Rais wetu kutoa misamaha ya aina hiyo wakati vyombo vya uchunguzi vya TAKUKURU vinavyoshughulikia tuhuma hizo kabla havijatoa taarifa yao ya namna uchunguzi wao ulipofikia tamati.
 

Attachments

  • ETQKOp_WsAEtvLN.jpg
    ETQKOp_WsAEtvLN.jpg
    84.5 KB · Views: 1
Back
Top Bottom