Rais Dkt. Hussein Mwinyi kumuwakilisha Rais Samia Suluhu kwenye mkutano wa Wakuu wa nchi SADC

Makamu wa rais hayupo, au sarakasi ndo zimeanza mapema..

Mmeanza,wengine hamkawii kusema kwamba kampa nafas ya kwenda kuwakilisha mwinyi KWA kuwa ni Muislam wenzake,hamna jema nyinyi..!!

Ila poa tuh,tutaenda hivyo hivyo mtake msitake
 
Mwinyi hana kazi za kufanya huko Znz? au ndio wameanza kufanya kazi kishkaji hawa waswahili?

Kwani Dr. Mpango ana kazi gani? naona hii nchi sasa inaanza kujiendea tu kama gari bovu mtaroni.

Hao unaowaita waswahili siku zote wakiingia MADARAKANI ndiyo unafuu wa maisha hupatikana,hatuna roho za kukunja kama nyinyi,
Nyerere kawapa watu msoto san,alipokuja mwinyi watu wakapumua,

Mkapa kawapa watu msoto Sana akaja kikwete watu wakapumua,

Huyu Hayati mwendazake akichokifanya KWA watanzania umekiona,had kufikia hatua nyinyi wenyewe kumuombea aondoke zake,sasa kaja mama SAMIA hebu mwacheni tupumue nyinyi wasukuma,

Mbona kazi zipo nyingi tuh?After all msukuma na uongoz wap na wap?

Kazi yenu ni kuchunga mbuzi na kondoo,go back to your comfort zone
 
JPM hakuwatuma akina JK kumwakilisha kwenye mambo ya kikazi. Hii issue ni ya wakuu wa nchi .... kwenye serikali ya Tanzania Mwinyi hana wadhifa wowote ule zaidi ya kuwa mjumbe kwenye vikao vya Balaza la Mawaziri .... Makamu wa Rais au Waziri yeyeote kwenye serikali ya Tanzania akitumwa kumwakilisha ... it's fine. Ila hii ya Mwinyi, binafsi naona ina walakini!!
 

Kwenye serikali ya Tanzania au Tanganyika?

KWA sababu hii ni serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania,mwinyi ni part and parcel of serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania na anaingia kama mjumbe wa baraza la mawazir,

Kuna shida gan kumwakilisha RAIS wa jamhuri ya muungano wa Tanzania??

RAIS,ana washaur hawez kufanya mambo KWA kukurupuka tuh
 
Hajaenda pale kuwakilisha zanzibar,ameenda kuwakilisha jamhuri ya muungano wa tanzania
 
Kiprotokali imekaaje ? triple down kuna VP na PM wa JMT hao walitakiwa wawakilishe imeshindikana saaaana, MFA yaani mambo ya nje au imekaaje hii
 
Huu ndio muda muafaka wa Zanzibar kudeal na zile kero za Mungano zimezodumu tangu mwaka 1964.

Nadhani Mama anaweza kuamua kuwapa wakitakacho ili isionekane na yeye ni dictator.
Hilo ni gumu sana
 
Hapa Serikali ya Muungano iko rehani.

Hata hiko kikao mbona kimedharaulika hivyo?
 
Hayo yote nimekubali
Swali ni kwanini hajaenda mwenyewe?
Au anaanza kuwa paranoid of coup d'etat kama mwendazake?
MKUTANO UNAHUSU MASUALA YA ULINZI NA USALAMA, HUSSEIN MWINYI ANA UZOEFU NA MASUALA HAYO KWANI AMEKUWA WAZIRI WA ULINZI KWA MUDA MREFU.HIVYO ATAKUWA NA MTAZAMO MPANA WA MASUALA YATAKAYOJADILIWA HUKO.
 

Who is JPM by the way,unaweza kuongea vitu vya maana KWA kumfanyia Reference Huyo Jamaa yako?

You can't be serious
 
Hili nililitamani saana nilishuhudie maishani mwangu. Sasa huu ndo muungano halisi.
 
Hayo yote nimekubali
Swali ni kwanini hajaenda mwenyewe?
Au anaanza kuwa paranoid of coup d'etat kama mwendazake?
Bado anamambo muhimu ya kuyashughulikia kwanza mbona mnakerekwa na mambo madogo
 
Who is JPM by the way,unaweza kuongea vitu vya maana KWA kumfanyia Reference Huyo Jamaa yako?

You can't be serious
Mkuu, mimi nilikuwa najibu hoja ya mtu mwingine. Sasa wewe kuingilia kunijibu bila kujua comment imetokana na nini .... ni sawa na kudandia mbele ya train.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…