Rais Dkt. John Pombe Magufuli, Rais ndiyo Nembo

Rais Dkt. John Pombe Magufuli, Rais ndiyo Nembo

Kwani huu Msafara wake wa hapa hapa Nchini na Helkopter juu unajua anatumia kiasi gani Mkuu !?
Sasa kwa uelewa wako, gharama ya safari zake za ndani Ina weza kuwa sawa na safari zake za nje[emoji848]?
 
Sasa kwa uelewa wako, gharama ya safari zake za ndani Ina weza kuwa sawa na safari zake za nje[emoji848]?

Kwa nini isiwezekane Mkuu !?.Kwani huko nje ya Nchi anakwenda na Watu wengi kama anao andamana nao akiwa ndnai ya Nchi.Hebu tuainishie basi hizo gharama ili twende sawa.
 
Akili za wanachadema ni kama za mgombea wao kwamba bila wazungu tz haiwezi kusavaivu
 
"Mtu anasimama analalamika eti sina mahusiano mazuri na Nchi za Ulaya kwani ni lazima mtu kwenda huko Ulaya, hata sasa kuna mkutano wa umoja wa mataifa nimesema siendi nitatuma Mabalozi wetu wakatuwakilishe huko na ndiomaana tukawaweka huko watuwakilishe"

"Ningekuwa sina mahusiano mazuri je ningechaguliwa kuwa mwenyekiti wa SADC, mimi nitabakia hapa hapa kuwapambania Watanzania wanyonge walionipigia kura sio lazima kwenda huko Ulaya " Dr Magufuli CHATO


Wewe ndiye Rais wetu, uliechaguliwa kwa matokeo ya uchaguzi. Tulitegemea utakua unaiwakilisha nchi katika mikutano ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa na pia Umoja wa Afrika. Matokeo yake uliwatuma wateule na wasaidizi wako. Tunahitaji Rais atakaetuwakilisha kwenye mikutano. Hatukuchagua mwari wa kukaa ndani.
Faida ya Rais kutangatanga nje kama Kikwete ipo wapi? Tuanzie hapo
 
Dahh. Rais wetu nae sasa.

Hivi anadhani waliosema kuwe na hizo meeting za wakuu wa nchi walikuwa wapumbavu?
 
Hata kipindi cha Mzee Kikwete mlimtetea hivyo sishangai kwa wakati huu kumtetea mtukufu Malkia.
Mbona umejibu kwa Jazba Kama Mbeligiji!? Kuna shida yoyote Ndg!?
 
Yeye kama raia namba moja ndiye anasimamia maslahi mapana ya hii nchi.

Anapashwa kuonyesha hilo ndani na nje ya nchi. Maslahi yetu hayapo hapa kwetu tu.

Kwani Museveni alivyokuja Tanzania alifuata nini? Anadhani angeshindwa kumtuma muwakilishi.

Bora akae kimya kuhusu kutohudhuria hivyo vikao vya wakuu wa nchi.
 
Wwee! Sky Eclat amka kumekucha acha kuota Mchana Raisi ni Magufuli,Lissu ni Mgombea tu!!
😂😂😂😂😂 NEC inang’olewa meno ya kuumizia upinzani mwaka huu.
 
Sio kama hataki kwenda tatizo hajui kiingereza huoni Museven alimuokoa kule chato maana hakujua hata ameulizwa nini.
 
Kwani huko nje anaenda kukaa huko Mwezi mzima !?.

Na kipindi hichi cha Uchaguzi kipi cha maana alicho waambia Watanzania zaidi ya mambo yale yale ya Mabarabara na Madaraja !?.Uchaguzi wa 2015 aliahidi Milioni 50 kila Kijiji ,hajazitoa mwisho tumebaki na Manyoya tu.
Hizo mil 50 ulkuwa unataka kuzifanyia nini? Maana ndo imekuwa nongwa kama vile kwenye hivyo vijiji hakuna kilichofanyika zaidi ya hiyo mil 50.
 
Kwani Magufuli alichaguliwa na wa ulaya
Magufuli muongo kama kawaida yake. Mkutano mkuu wa UN mwaka huu unafanyika kwa Video conference hamna anaekwenda. Aache uongo haumsaidii au yeye alitaka kwenda kushiriki kwenye video?
 
Wewe ndiye Rais wetu, uliechaguliwa kwa matokeo ya uchaguzi. Tulitegemea utakua unaiwakilisha nchi katika mikutano ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa na pia Umoja wa Afrika. Matokeo yake uliwatuma wateule na wasaidizi wako. Tunahitaji Rais atakaetuwakilisha kwenye mikutano. Hatukuchagua mwari wa kukaa ndani.
Kazi ya wasaidizi wake ni nini kama kila kitu afanye yeye?
 
Nijibu kwanza tulinganishe Gharama za ziara za hapa Nchini na Nchi za nje.Halafu unapojadiliana na Watu usiweke Maneno machafu yasio na Sababu.
Bora kipi? Aende sana ulaya na akiwa nyumbani misele mingi au aache kwenda ulaya na akiwa nyumbani misele mingi?.
 
Uenyekiti wa jumuia ya sadc si wa kuchaguliwa, ni wa zamu. Ukikufikia unapokea kijiti. Mwakilishi hana maamuzi mpaka awasiliane na aliemtuma. Mikutano ina ngazi za wahusika. Kukacha kwenda na kutuma wajumbe kuna tatizo, na hasa yanapokuwa ni mazoea.
Duuh,kwahiyo JPM anawadanganya wadanganyika kuwa aliwashinda marais wenzake kwenye uenyekiti wa SADC?
😁😁
 
Back
Top Bottom