Rais Dkt. John Pombe Magufuli, Rais ndiyo Nembo

Rais Dkt. John Pombe Magufuli, Rais ndiyo Nembo

Wakati wa awamu ya nne mlimlalamikia Sana JK kwa kupenda sana safari za nje, leo huyu hapendi safari za nje imekuwa kilio chenu tena.
Wapinzani hamueleweki mnachokitaka, target yenu Ni kupinga kila kitu (upinzani usiokuwa na tija).

Jk alizidi hata Safari ambazo angewakilishwa alienda yeye so alizidi kipimo ,huyu wa sasa hata zile Safari zenye mafanikio kwa ajili ya Watu (Wananchi) wake ameziwekea ngumu na misimamo mikali.
 
Jk alizidi hata Safari ambazo angewakilishwa alienda yeye so alizidi kipimo ,huyu wa sasa hata zile Safari zenye mafanikio kwa ajili ya Watu (Wananchi) wake ameziwekea ngumu na misimamo mikali.
Basi hakuna ubaya, kwakuwa yeye ameamua kuwakilishwa badala ya kupuuza , Kama jinsi ambavyo JK alitakiwa kuwakilishwa, kulingana na hoja yako hapo juu [emoji867].
 
Hapana ,ni Faida kushirikiana na wengine ukizingatia haishi mwenyewe hapa Duniani na hawezi kufanya kila kitu peke yake.
[/QUOTKwani kuna jambo gani limekwama baada ya rais Magufuli kuacha kusafiri nje ya inchi
 
"Mtu anasimama analalamika eti sina mahusiano mazuri na Nchi za Ulaya kwani ni lazima mtu kwenda huko Ulaya, hata sasa kuna mkutano wa umoja wa mataifa nimesema siendi nitatuma Mabalozi wetu wakatuwakilishe huko na ndiomaana tukawaweka huko watuwakilishe"

"Ningekuwa sina mahusiano mazuri je ningechaguliwa kuwa mwenyekiti wa SADC, mimi nitabakia hapa hapa kuwapambania Watanzania wanyonge walionipigia kura sio lazima kwenda huko Ulaya " Dkt. Magufuli CHATO


Wewe ndiye Rais wetu, uliechaguliwa kwa matokeo ya uchaguzi. Tulitegemea utakua unaiwakilisha nchi katika mikutano ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa na pia Umoja wa Afrika. Matokeo yake uliwatuma wateule na wasaidizi wako. Tunahitaji Rais atakaetuwakilisha kwenye mikutano. Hatukuchagua mwari wa kukaa ndani.
Mkuu ambaye hajui kuwa yeye ni baba wa familia na kama baba majukumu yake ni yapi niyakuongopa kama ukoma
 
Kuwa mwenyekiti ni utaratibu uliowekwa wa kubadilishana hiyo nafasi kila baada ya muda fulani. Hisingekuwa hivyo, wasingemchagua
Mbona alipiga kampeni hatimaye akashinda kwa kishindo!! Wacha longolongo
 
"Mtu anasimama analalamika eti sina mahusiano mazuri na Nchi za Ulaya kwani ni lazima mtu kwenda huko Ulaya, hata sasa kuna mkutano wa umoja wa mataifa nimesema siendi nitatuma Mabalozi wetu wakatuwakilishe huko na ndiomaana tukawaweka huko watuwakilishe"

"Ningekuwa sina mahusiano mazuri je ningechaguliwa kuwa mwenyekiti wa SADC, mimi nitabakia hapa hapa kuwapambania Watanzania wanyonge walionipigia kura sio lazima kwenda huko Ulaya " Dkt. Magufuli CHATO


Wewe ndiye Rais wetu, uliechaguliwa kwa matokeo ya uchaguzi. Tulitegemea utakua unaiwakilisha nchi katika mikutano ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa na pia Umoja wa Afrika. Matokeo yake uliwatuma wateule na wasaidizi wako. Tunahitaji Rais atakaetuwakilisha kwenye mikutano. Hatukuchagua mwari wa kukaa ndani.
Hii ni hatari, kwa hiyo unataka Jpm akakuwakilishe kwenye mikutano ya kimataifa katika kila mwaliko?? Chadema ni giza linalohitaji kurunzi yenye mwanga mkali sana.
 
Kwani Magufuli alichaguliwa na wa ulaya

Kuna watu sababu ya kujipendekeza kwao, watatuuza mchana. Wanaamini katika kuwachekesha wazungu. Mzungu akicheka, basi kwao ndio mafanikio makubwa. Utopolo mtupu
 
"Mtu anasimama analalamika eti sina mahusiano mazuri na Nchi za Ulaya kwani ni lazima mtu kwenda huko Ulaya, hata sasa kuna mkutano wa umoja wa mataifa nimesema siendi nitatuma Mabalozi wetu wakatuwakilishe huko na ndiomaana tukawaweka huko watuwakilishe"

"Ningekuwa sina mahusiano mazuri je ningechaguliwa kuwa mwenyekiti wa SADC, mimi nitabakia hapa hapa kuwapambania Watanzania wanyonge walionipigia kura sio lazima kwenda huko Ulaya " Dkt. Magufuli CHATO


Wewe ndiye Rais wetu, uliechaguliwa kwa matokeo ya uchaguzi. Tulitegemea utakua unaiwakilisha nchi katika mikutano ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa na pia Umoja wa Afrika. Matokeo yake uliwatuma wateule na wasaidizi wako. Tunahitaji Rais atakaetuwakilisha kwenye mikutano. Hatukuchagua mwari wa kukaa ndani.
Jiwe ni jipu Mamy, Piga chini tarh.28 October
 
Nafikiri Magufuri alisikia kilio chetu wapenzi wa Chadema tangu enzi za Mze Kikwete tulivyokuwa tunamusakama rais kwamba anakwenda sana nje ya nchi. Sasa Magufuri kaamua kutulia nafikiri hapo tungefurahi zaidi kwasababu hapendi kwenda nje
Kila kitu kinahitaji kiasi, usikae muda mrefu wala usisimame muda mrefu ila vyote vinatakiwa katka maisha yako ya kila siku.
 
Unazungumzia RAISI CHEO
Au unamzungumzia JOHN POMBE MAGUFURI?

BY:LISSU
 
Hakuna sehem nimelalamikia maisha mzee,, usinilishe maneno.
Kwahiyo kingereza kimekupa maisha sio[emoji848]?
Dunia ya leo, mtu akija kwangu na kingereza chake, afu mfukoni namzidi mawe,me namuona mpumbavu na asiejielewa tu, yaani ni sawa na kujivunia cheti Cha PhD, wakati hakikusaidii kwa lolote.

NB:Acha kujivunia kiingereza[emoji23].
 
"Mtu anasimama analalamika eti sina mahusiano mazuri na Nchi za Ulaya kwani ni lazima mtu kwenda huko Ulaya, hata sasa kuna mkutano wa umoja wa mataifa nimesema siendi nitatuma Mabalozi wetu wakatuwakilishe huko na ndiomaana tukawaweka huko watuwakilishe"

"Ningekuwa sina mahusiano mazuri je ningechaguliwa kuwa mwenyekiti wa SADC, mimi nitabakia hapa hapa kuwapambania Watanzania wanyonge walionipigia kura sio lazima kwenda huko Ulaya " Dkt. Magufuli CHATO


Wewe ndiye Rais wetu, uliechaguliwa kwa matokeo ya uchaguzi. Tulitegemea utakua unaiwakilisha nchi katika mikutano ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa na pia Umoja wa Afrika. Matokeo yake uliwatuma wateule na wasaidizi wako. Tunahitaji Rais atakaetuwakilisha kwenye mikutano. Hatukuchagua mwari wa kukaa ndani.

Nembo ya CCM mpya na inayotoweka muda si mrefu!
 
Sky eclat, siku hizi umefikisha miaka 60+

Yaani umepungukiwa kweli uelewa wa mambo, enewei! Kila wakati na majira yake!
 
"Mtu anasimama analalamika eti sina mahusiano mazuri na Nchi za Ulaya kwani ni lazima mtu kwenda huko Ulaya, hata sasa kuna mkutano wa umoja wa mataifa nimesema siendi nitatuma Mabalozi wetu wakatuwakilishe huko na ndiomaana tukawaweka huko watuwakilishe"

"Ningekuwa sina mahusiano mazuri je ningechaguliwa kuwa mwenyekiti wa SADC, mimi nitabakia hapa hapa kuwapambania Watanzania wanyonge walionipigia kura sio lazima kwenda huko Ulaya " Dkt. Magufuli CHATO


Wewe ndiye Rais wetu, uliechaguliwa kwa matokeo ya uchaguzi. Tulitegemea utakua unaiwakilisha nchi katika mikutano ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa na pia Umoja wa Afrika. Matokeo yake uliwatuma wateule na wasaidizi wako. Tunahitaji Rais atakaetuwakilisha kwenye mikutano. Hatukuchagua mwari wa kukaa ndani.
Daaaaaaaaah Hivi CCM mlianzaje kutuletea mtu huyu ambaye hakuna anachokielewa, Huyu naamini hata historia ya Tanzania haijui.
Hivi uongozi wa SADC unachaguliwa au unaenda kwa awamu ya nchi?
Maana ka ingekua unachaguliwa naamini asingepata hicho kiti cha uenyekiti wa SADC
 
Back
Top Bottom