Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, mbadilishe Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu hatoshi

Pole sana mkuu umetoa point ya msingi sana suala la afya ni lakuzingatia sana kma taifa
 
Hakuna hoja ya msingi hapo, Waziri hawezi ingilia Balaza ambalo lipo kisheria na pia Baraza linajiendesha kisheria na sio kiholela.

Mwisho hao watu kama wako smart na hawajatendewa Haki waende Mahakamani sio kusingizia Waziri.
Tatizo lako wewe huwa unajibu kiholela. Tumia akili yako vizuri
 
Acha kumsagia mwenzako kunguni.
Umri wa Mtanzania kuishi umeongezeka.
Hiyo ni indicator mojawapo inayoonesha kuwa anatosha...
 
Nyie wadogo hamna shule tu. Mnataka wanasiasa wawabebe. Unajua TCU ilianzaje? Baada ya utitiri huu huu wa vyuo, na bado inashindwa kusimamia. Mabaraza yaendelee kukaza uzi.
 
Waache kupenda mteremko....

Hiyo mitihani ni kwa ajili ya kuwapima uwezo wao kwa kuwa :

1)Log Books za kipindi cha internship wako wanaozifoji....wako wanaobebwa nje ya taaluma na kupewa GRADES wasizostahili.....

2)Matokeo pekee ya chuo(MD results) hayatoshi kwani nako kuna "ufukunyuku" mwingi....

Niishie hapa kwa sasa...

#Nchi Kwanza[emoji120]
 
Atalielewa hili yule mwenye akili pekee...[emoji2956][emoji7][emoji109]
 
Comment ya DHAHABU [emoji2956][emoji7][emoji109]
 
Hakuna hoja ya msingi hapo, Waziri hawezi ingilia Balaza ambalo lipo kisheria na pia Baraza linajiendesha kisheria na sio kiholela.

Mwisho hao watu kama wako smart na hawajatendewa Haki waende Mahakamani sio kusingizia Waziri.
Umenena haswa [emoji7][emoji2956]
 
Unaelewa kinscholalamikiwa hapo? Watu wanalilia uwepo wa Pre na post internship na Standards zake. Duniani kote hata mwongozo wa WHO upo wazi, ni mtihani wa leseni peke yake ndio unaofanyika. Hivyo mitihani ya MCT ni ya nini?
Kwani WHO haigusi maslahi ya afya nchini Marekani ?!!!

Mbona wao wana USMLE?!!

WHO wamelipinga hilo ?!!![emoji15][emoji15]
 
Ni nchi gani kuna Pre na post internship? Tofautisha mtihani w practical lisence na hii mitihani.
Sasa lengo la Pre-Post internship exams si kwa ajili ya kupewa PRACTICING LISENCE na MCT ?!!!

Unaongea nini wewe jamaa?!!![emoji15][emoji15]
 
Unaelewa Muuguzi hua ana kazi gani? Wao wana pre na post internship?
Law school wana Pre lawa school?
MCT wanasimamia mambo ya LAW SCHOOLS?!! [emoji15]

Unataka bodi ya madaktari inakili taratibu za bodi ya mawakili ?!!
Bodi ya wahasibu ?!!!

Wewe jamaa unaongea hayo kwa hisia na mbango ?!!! [emoji15][emoji1787][emoji1787]
 
Swadaktaaa...

Hakikaaaa [emoji2956][emoji7]
 
Endelea kujidanganya. Tanzania kuna total collapse of the system kiasi ambacho hata uki-fix sehemu moja unakuwa hujafanya kitu. Huyo ''msikivu'' wako naye anatakiwa kuondolewa!
Kuondolewa kimapinduzi ?!!

Kwa faida ya akina nani hao ?!!!
 
Sasa lengo la Pre-Post internship exams si kwa ajili ya kupewa PRACTICING LISENCE na MCT ?!!!

Unaongea nini wewe jamaa?!!![emoji15][emoji15]
Yaani wewe ni bumunda kweli. Hivi preintetnship mantiki yake ni ipi hada? Kinachofanywa kwenye Logbooks hua ni kitu gani au kinasaidia nini?
 
Maoni mazuri sanaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…