Mwl Athumani Ramadhani
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 1,280
- 2,522
Mkuu
Ukiangalia teuzi nyingi zipo kwenye mfumo wa kiserikali Yaani wateule wanatoka taasisi za umma mara chache Sana taasisi BINAFSI!
Sasa ikiwa kwenye utumishi wa umma halafu ukaondolewa KWA Tatizo FULANI HIVI la kimfumo ni ngumu kurudishwa kwenye mfumo kirahisi!!
Huyu jamaa aliwahi fanya KAZI palee sasa kuna kutoridhishwa na mfumo utendaji wake, Yaani competent wise but toxic to governance system!!!
Akatimuliwa Hadi leo Hawa mwamini Tena hana baraka za mfumo TENA!!
Source-aliwahi anaduka HUMU zamani Sana!
Ukiangalia teuzi nyingi zipo kwenye mfumo wa kiserikali Yaani wateule wanatoka taasisi za umma mara chache Sana taasisi BINAFSI!
Sasa ikiwa kwenye utumishi wa umma halafu ukaondolewa KWA Tatizo FULANI HIVI la kimfumo ni ngumu kurudishwa kwenye mfumo kirahisi!!
Huyu jamaa aliwahi fanya KAZI palee sasa kuna kutoridhishwa na mfumo utendaji wake, Yaani competent wise but toxic to governance system!!!
Akatimuliwa Hadi leo Hawa mwamini Tena hana baraka za mfumo TENA!!
Source-aliwahi anaduka HUMU zamani Sana!