Rais Dr. Samia jaribu na kumtumia na Pascal Mayalla kwenye serikali yako ninahakika atafanya vizuri

Rais Dr. Samia jaribu na kumtumia na Pascal Mayalla kwenye serikali yako ninahakika atafanya vizuri

Mkuu

Ukiangalia teuzi nyingi zipo kwenye mfumo wa kiserikali Yaani wateule wanatoka taasisi za umma mara chache Sana taasisi BINAFSI!

Sasa ikiwa kwenye utumishi wa umma halafu ukaondolewa KWA Tatizo FULANI HIVI la kimfumo ni ngumu kurudishwa kwenye mfumo kirahisi!!

Huyu jamaa aliwahi fanya KAZI palee sasa kuna kutoridhishwa na mfumo utendaji wake, Yaani competent wise but toxic to governance system!!!

Akatimuliwa Hadi leo Hawa mwamini Tena hana baraka za mfumo TENA!!

Source-aliwahi anaduka HUMU zamani Sana!
 
Mkuu Meneja Wa Makampuni , kwanza heri ya mwaka mpya!, pili asante kuniombea kwa Mama aniteue nimsaidie chochote kwenye serikali yake. Hii ina maana kubwa sana kwangu, kwa haya ninayoyafanya, kumbe kuna watu humu wana yaona na ku appreciate, hivyo it's a very good encouragement kwangu kuendelea kuyafanya. Asante.

Mtu ukiwa na uwezo wa kuisaidia nchi yako, unaweza kuisaidia pale pale ulipo bila kuhitaji kuteuliwa kwenye nafasi yoyote.
Hiki ndicho nimekuwa nakifanya siku zote na naendelea kufanya.

Naamini bandiko hili uliwahi kuliona, Je, wajua Sio Kila Kumpongeza, ni Kujikomba/Kusaka Teuzi? Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!, naomba kukuhakikishia ujumbe huu umemfikia Rais Samia, na anauheshimu.

Mungu Ibariki Tanzania.

P
Huna uwezo wa kukataa uteuzi wa Rais akikuteua.

Uzi huo ulikukosesha ubunge wa EA maana mamlaka zilitafsiri kama DHARAU.

Anyway yaeza kuwa umeshasamehewa.
 
Ni kweli, mfano hapa alitumwa na ofisi kuupima uelewa wa boss wao
Na hapa akatumwa kupima upepo kama Idara imeshtukiwa TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!
Na hapa akatumwa apime upepo kama boss ni dikiteta Elections 2015 - If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him!
Na hapa kwa sababu system bado ni ya The Sukuma Gang, na hawamtaki Mamii hivyo wakamtuma Pasco amtishe ili atishike 2025 asigombee... Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke

Huu ndio utendaji uliotukuka wa Idara yetu kwa sasa!.
Naendelea na kazi!.
P



Anyway waeza kutufaa popote utakapoteuliwa.
 
Rais Dr. Samia jaribu na kumtumia na Pascal Mayalla kwenye serikali yako ninahakika atafanya vzuri.
Mkuu Meneja Wa Makampuni , kwanza heri ya mwaka mpya!, pili asante kuniombea kwa Mama aniteue nimsaidie chochote kwenye serikali yake. Hii ina maana kubwa sana kwangu, kwa haya ninayoyafanya, kumbe kuna watu humu wana yaona na ku appreciate, hivyo it's a very good encouragement kwangu kuendelea kuyafanya. Asante.

Mtu ukiwa na uwezo wa kuisaidia nchi yako, unaweza kuisaidia pale pale ulipo bila kuhitaji kuteuliwa kwenye nafasi yoyote.
Hiki ndicho nimekuwa nakifanya siku zote na naendelea kufanya.

Naamini bandiko hili uliwahi kuliona, Je, wajua Sio Kila Kumpongeza, ni Kujikomba/Kusaka Teuzi? Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!, naomba kukuhakikishia ujumbe huu umemfikia Rais Samia, na anauheshimu.

Mungu Ibariki Tanzania.

P
Mkuu Meneja Wa Makampuni , nimerejelea hili bandiko baada ya kutokea opening ya msemaji, hivyo watu humu wananitaja taja! .
Niko kwenye tano la mwisho kugonga 60!.

Ukiwa mkweli na mzalendo, utasaidia tuu hata bila kuombwa hivyo mimi kwa hivi hivi nilivyo na ninayoyafanya, ni msaada mkubwa sana kwa Mama Samia, serikali yake na taifa kwa ujumla, mfano mzuri ni ushauri huu Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye! na baada ya ushauri huo, nikaletewa sauti hii Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke hoja za bandiko hili ni msaada mkubwa sana kwa Mama kwasababu hata kama wanaona lakini hawawezi kumshauri. Kumuenzi Magufuli: Tujikumbushe 'spana' za JF zilivyomsaidia Hayati Magufuli na Taifa. Je, Samia pia tumsaidie kwa 'spana' au tumkune tu tusimpare?
Pasco hahitaji uteuzi wowote!.
P
 
Back
Top Bottom