Mwanasiasa mtata
JF-Expert Member
- Oct 25, 2022
- 1,520
- 3,781
Alipata kura moja 🤣🤣🤣 na nafikili alijipigia mwenewe kwenye kinyang'anyilo cha ubunge wa kawe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pascal unajipigia chapuoKama Meneja Wa Makampuni ni aka yangu, then it's an honor to me!, angalia threads zake, siingii hata robo!.
Ukitaka 20 nakuwekea, ukitaka 30 nakuwekea hadi 100!.
- Wanakusaidia Kuandika scholarship study plan, scholarship personal statement, scholarship statement of purpose, scholarship recommendation letters N.k
- Offer: Welcome to Bright and Genius Editors; for only Sh 1000, we will urgently write you a CV and a good job application letter.
- Unataka kusaidiwa kuandika research yako karibu usaidie
- Waulize swali lolote Bright and Genius Editors watakujibu
- Funga mfumo wa gesi asilia kwenye gari lako uokoe gharama za manunuzi ya mafuta ambayo ni ghali
- Serikali kama inataka matokeo kwenye mfumo wa elimu ya juu ianzishe internship kwa graduates wenye GPA kuanzia 3.8
- Rais Samia pamoja na changamoto zote lakini utashinda kwa ushindi mkuu
- Kilichochelewesha mradi wetu wa LNG ni siasa nyingi, mimi naumia sana Msumbiji kututangulia kusafirisha LNG
- Faida za kiuchumi za kutumia mfumo wa gesi kwenye gari yako
- Maeneo muhimu ambayo wataalamu wa Serikali wanapaswa kuzingatia wakati wa mazungumzo zidi makampuni ya mafuta na gesi
P
Ni sawa tu maana Paskali Mayalla umri umeenda na hali yake ni ngumu hapa mjini. Ifahamike Paskali kakulia mjini na hana uwezo wa kurudi kijijini maana hakuwa amejipanga. Hivyo kuliko aishi hapa mjini hadi aanze kudhalilika, ni vyema akasaidiwa kwa kupewa ulaji wowote kama wazee wengi wastaafu huko CCM.
Kama ni kujipendekeza ameshafanya hivyo sana, je mamlaka ya uteuzi inataka afanyeje tena? Naunga mkono asaidiwe asije kudhalilika kwa kuanza kutuomba bia bar.
Yule ni Blaza wangu, tumetoka naye mbaliKwanza hapa Tz hakuna Mtu msmart Kama Pascal Mayalla
Ninani amewahi kuthubutu kumtuliza Mwendazake kwa kumpa swali la muhimu mbele yake ??
Wajinga Mbumbumbu ndo wambeza paskali
Kama ana 52yrs nipigwe ban ya maisha hapa jf. Hata hivyo 52yrs ni miaka michache?Umri wake unaujua au unaongea tu pasco ana 52 yrs tu sasa hapo unasemaje umri umeenda?
Paskali ni mlamba matako tu, hana weledi wowote.Rais Dr. Samia jaribu na kumtumia na Pascal Mayalla kwenye serikali yako ninahakika atafanya vzuri.
Wazo laki zuri tatizo umri acha akae na wajukuu nyumbani pascal ni old school anaweza kucheza chitaki kweli acha apumzike tuRais Dr. Samia jaribu na kumtumia na Pascal Mayalla kwenye serikali yako ninahakika atafanya vzuri.
Mkuu masterpiece, kiukweli kabisa kwenye EALA, nilikwa na sifa zote, ila pia mapito yangu enzi zile hayakuwa mema, hivyo kwenye uzee huu, ninavuna kile nilichokipanda kwenye ujana!.Kama alishindwa kumchukua akiwa amegombea ubunge wa EALA akakatwa mapema sana basi asitegemee lolote, huwezi kufanikiwa.
Sawa ila ni mtu mzima sasaRais Dr. Samia jaribu na kumtumia na Pascal Mayalla kwenye serikali yako ninahakika atafanya vzuri.
Umetupa somo vijana hapa asante sana brother, kuwa tucheze vizuri kwa sasaMkuu masterpiece, kiukweli kabisa kwenye EALA, nilikwa na sifa zote, ila pia mapito yangu enzi zile hayakuwa mema, hivyo kwenye uzee huu, ninavuna kile nilichokipanda kwenye ujana!.
P
kwani jamaa ni mstaafu?
hapana labda awekwe kwenye kitengo cha propaganda kama marehemu Tambwe HizaKwamba awe mwandishi wa habari wa rais au?