Rais Dr. Samia jaribu na kumtumia na Pascal Mayalla kwenye serikali yako ninahakika atafanya vizuri

Rais Dr. Samia jaribu na kumtumia na Pascal Mayalla kwenye serikali yako ninahakika atafanya vizuri

Ni sawa tu maana Paskali Mayalla umri umeenda na hali yake ni ngumu hapa mjini.
Mkuu Tindo , ni kweli ki umri, naitafuta 60, na ni kweli kwa sasa hali yangu ya maisha ni ngumu sana hapa mjini, bado naishi nyumba ile ile ya kupanga ubazi mzima hapa Tandale kwa Mtogole, nyuma ya uwanja wa fisi na usafiri wangu bado ni ule ule usafiri wa boda boda, hivyo nikipatiwa Bajaj nitakuwa nimekombolewa sana!.
Ifahamike Paskali kakulia mjini na hana uwezo wa kurudi kijijini maana hakuwa amejipanga.
Sio nimekulia mjini, bali nimezaliwa mjini, na kukulia mjini, sijawahi kuishi kijijini ukiondoa kile kisa cha Mzee Mayalla (RIP) ile 1976!. Hivyo sina kijijini popote pa kurudi!.
Hivyo kuliko aishi hapa mjini hadi aanze kudhalilika, ni vyema akasaidiwa kwa kupewa ulaji wowote kama wazee wengi wastaafu huko CCM.
Hapo kwa kweli nitakuwa nimesaidiwa sana!.
Kama ni kujipendekeza ameshafanya hivyo sana,
Kama huku nako ni kujipendekeza, ili nilambe uteuzi...
. Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda
. Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke

Then nimejipendekeza sana!.
je mamlaka ya uteuzi inataka afanyeje tena? Naunga mkono asaidiwe asije kudhalilika kwa kuanza kutuomba bia bar.
Hili la kuomba bia bar, namshukuru sana Mungu, in my entire life, sijawahi kuomba bia bar au kwa yeyote kwasababu mimi sinywi bia na sijawahi kunywa bia maisha yangu yote!.

Mimi ni mtu wa Mtembezi, ndio natembea nae, sijawahi kuomba offer ya mtembezi kwa yoyote, siku nikiwa nazo, natembea nae hadi natambaa, siku sina najilali zangu tuu home!.


P
 
Jambo lake la bunge la EAC liliishi wapi?
Aliangukia pua vibaya mno , kumbe kiongozi wa kuchuja majina ya wagombea aliwahi kumhujumu huko nyuma , yaani Pascal alivuta bahasha ya khaki kutoka kwa watu fulani ili amchafue huyo mama , enzi za yale makundi ya ccm , basi Mayalla akafanya kama alivyotumwa akamchafua mama wa watu , kumbuka huyo mama alijua Pascal kavuta mpunga ili kumchafua .

Siku hazigandi , Hamadi ! kufumba na kufumbua Pascal alipofika kwenye meza ya usaili wa wagombea wa bunge la Africa Mashariki akakuta yule mama ndio kiongozi wa jopo la Wasaili , unadhani nini kilitokea ?

Maelezo haya ni kwa Mujibu wa Pascal Mwenyewe na uzi umo humu .
 
Basi hana bahati
Aliangukia pua vibaya mno , kumbe kiongozi wa kuchuja majina ya wagombea aliwahi kumhujumu huko nyuma , yaani Pascal alivuta bahasha ya khaki kutoka kwa watu fulani ili amchafue huyo mama , enzi za yale makundi ya ccm , basi Mayalla akafanya kama alivyotumwa akamchafua mama wa watu , kumbuka huyo mama alijua Pascal kavuta mpunga ili kumchafua .

Siku hazigandi , Hamadi ! kufumba na kufumbua Pascal alipofika kwenye meza ya usaili wa wagombea wa bunge la Africa Mashariki akakuta yule mama ndio kiongozi wa jopo la Wasaili , unadhani nini kilitokea ?

Maelezo haya ni kwa Mujibu wa Pascal Mwenyewe na uzi umo humu .
 
Mh. Pascal Mayalla angekuwa ana gombea jimbo la uchaguzi kupitia JF kwa umoja huu basi nina imani angepata kura na ushindi wa kishindo na atimae angepata kuja kuwa naibu waziri wa habari na baadae waziri kamili katika eneo hilo

NB:
Wana JF pamoja na tofauti zao za udini, vyama, makabila, nk lakini wamesimama na wewe, na hii ina maana kubwa sana hivyo ni wewe binafsi kuona una lichukuliaje swala hili na kuweza kuliweka vile utakavyo ona inafaa.

Na yote ni kwa kuwa maamuzi ya mwisho yapo kwa muhusika mwenyewe, kila la kheri
 
Bora mfanye kumuombea Direct maana colum kila siku inampita sio vizuri jamani mnaona kabisa mtu anavyopambana humu JF kuimba mapambio kwa staili yake, lakini mnajifanaya hamuoni

Fanyeni mumpe kawilaya kapata basi da!
Pamoja na kwamba JF ina nguvu sana lakini huyu jamaa mamlaka zinajua yeye anataka hela tu , ukizungumza kuhusu cheo fulani , kitu cha kwanza anachouliza ni mshahara , yaani yeye kusaidia nchi yake hawezi .

Sisi wa JF tungemsaidia kama tulivyomsaidia Joyce Ndalichako kupata Uwaziri , Ndalichako aliteuliwa kwanza hapa Jf kuwa Waziri wa Elimu , baadaye Magufuli akachukua ushauri wetu
 
Aliangukia pua vibaya mno , kumbe kiongozi wa kuchuja majina ya wagombea aliwahi kumhujumu huko nyuma , yaani Pascal alivuta bahasha ya khaki kutoka kwa watu fulani ili amchafue huyo mama , enzi za yale makundi ya ccm , basi Mayalla akafanya kama alivyotumwa akamchafua mama wa watu , kumbuka huyo mama alijua Pascal kavuta mpunga ili kumchafua .

Siku hazigandi , Hamadi ! kufumba na kufumbua Pascal alipofika kwenye meza ya usaili wa wagombea wa bunge la Africa Mashariki akakuta yule mama ndio kiongozi wa jopo la Wasaili , unadhani nini kilitokea ?

Maelezo haya ni kwa Mujibu wa Pascal Mwenyewe na uzi umo humu .
Hiyo watu wa pwani tuna tahamaki kwa kusema “ile kupepesa macho hamadi huyu hapa, unapigwa na bumbuwazi unajikanyaga, anavua miwani ana kuangalia unavyoteseka... yeye ndio ndio jecha wakati huo...”
 
Ni sawa tu maana Paskali Mayalla umri umeenda na hali yake ni ngumu hapa mjini. Ifahamike Paskali kakulia mjini na hana uwezo wa kurudi kijijini maana hakuwa amejipanga. Hivyo kuliko aishi hapa mjini hadi aanze kudhalilika, ni vyema akasaidiwa kwa kupewa ulaji wowote kama wazee wengi wastaafu huko CCM.

Kama ni kujipendekeza ameshafanya hivyo sana, je mamlaka ya uteuzi inataka afanyeje tena? Naunga mkono asaidiwe asije kudhalilika kwa kuanza kutuomba bia bar.

Pascal yupo vizuri financially.
Hata wewe anauwezo wa kukulisha +ur family.
 
Rais Dr. Samia jaribu na kumtumia na Pascal Mayalla kwenye serikali yako ninahakika atafanya vzuri.
Kwa sasa Pascal anafanya vizuri kwenye mambo gani?! Kampuni yake inachochote cha kuigwa? Kwa sasa ni Wakili, sijawahi kusikia au kumwona akiappear mahakani kutetea hata kesi ya wizi wa kuku. Michosho tu.
 
Rais Dr. Samia jaribu na kumtumia na Pascal Mayalla kwenye serikali yako ninahakika atafanya vzuri.
Mayalla ampe awe Mkurugenzi Mkuu wa TBC,yule Rioba aliyepo naona ni mtu wa siasa sana,hana jipya.
Mayalla ni mtu mzima anayejua vijana wanataka nini,pia ana exposure ya kutosha kwenye mambo ya habari wakati yule Rioba ni Academician sana na aja-practice journalism field kama Kaka Pascal.
 
Back
Top Bottom