Rais Dr. Samia jaribu na kumtumia na Pascal Mayalla kwenye serikali yako ninahakika atafanya vizuri

Rais Dr. Samia jaribu na kumtumia na Pascal Mayalla kwenye serikali yako ninahakika atafanya vizuri

Ni sawa tu maana Paskali Mayalla umri umeenda na hali yake ni ngumu hapa mjini. Ifahamike Paskali kakulia mjini na hana uwezo wa kurudi kijijini maana hakuwa amejipanga. Hivyo kuliko aishi hapa mjini hadi aanze kudhalilika, ni vyema akasaidiwa kwa kupewa ulaji wowote kama wazee wengi wastaafu huko CCM.

Kama ni kujipendekeza ameshafanya hivyo sana, je mamlaka ya uteuzi inataka afanyeje tena? Naunga mkono asaidiwe asije kudhalilika kwa kuanza kutuomba bia bar.
Kukonda kwa tembo hakumfikiii swala. Pascal hata kama ni maskini hawezi kufikia wa kwako!
 
CCM ukiwa mzee ndio unapewa sehemu ya ulaji, huoni ile tume kaunda mama juzi ya kufuatilia sijui udhaifu wa mifumo na utawala wa sheria, wote ni wazee, na kwa kiwango kikubwa wao ndio walikuwa wasimamizi wa uchafu ambao leo wanatakiwa wasimamie ufumbuzi wa matatizo waliyoshindwa kuyatatua wakiwa ofisini!
Walau hata kwenye tume Kama ya juzi ingemfaa
 
Rais Dr. Samia jaribu na kumtumia na Pascal Mayalla kwenye serikali yako ninahakika atafanya vzuri.
Mkuu Meneja Wa Makampuni , kwanza heri ya mwaka mpya!, pili asante kuniombea kwa Mama aniteue nimsaidie chochote kwenye serikali yake. Hii ina maana kubwa sana kwangu, kwa haya ninayoyafanya, kumbe kuna watu humu wana yaona na ku appreciate, hivyo it's a very good encouragement kwangu kuendelea kuyafanya. Asante.

Mtu ukiwa na uwezo wa kuisaidia nchi yako, unaweza kuisaidia pale pale ulipo bila kuhitaji kuteuliwa kwenye nafasi yoyote.
Hiki ndicho nimekuwa nakifanya siku zote na naendelea kufanya.

Naamini bandiko hili uliwahi kuliona, Je, wajua Sio Kila Kumpongeza, ni Kujikomba/Kusaka Teuzi? Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!, naomba kukuhakikishia ujumbe huu umemfikia Rais Samia, na anauheshimu.

Mungu Ibariki Tanzania.

P
 
Mkuu Meneja Wa Makampuni , kwanza heri ya mwaka mpya!, pili asante kuniombea kwa Mama aniteue nimsaidie chochote kwenye serikali yake. Hii ina maana kubwa sana kwangu, kwa haya ninayoyafanya, kumbe kuna watu humu wana yaona na ku appreciate, hivyo it's a very good encouragement kwangu kuendelea kuyafanya. Asante.

Mtu ukiwa na uwezo wa kuisaidia nchi yako, unaweza kuisaidia pale pale ulipo bila kuhitaji kuteuliwa kwenye nafasi yoyote.
Hiki ndicho nimekuwa nakifanya siku zote na naendelea kufanya.

Naamini bandiko hili uliwahi kuliona, Je, wajua Sio Kila Kumpongeza, ni Kujikomba/Kusaka Teuzi? Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!, naomba kukuhakikishia ujumbe huu umemfikia Rais Samia, na anauheshimu.

Mungu Ibariki Tanzania.

P
Mwamba! 👊
 
Mkuu Meneja Wa Makampuni , kwanza heri ya mwaka mpya!, pili asante kuniombea kwa Mama aniteue nimsaidie chochote kwenye serikali yake. Hii ina maana kubwa sana kwangu, kwa haya ninayoyafanya, kumbe kuna watu humu wana yaona na ku appreciate, hivyo it's a very good encouragement kwangu kuendelea kuyafanya. Asante.

Mtu ukiwa na uwezo wa kuisaidia nchi yako, unaweza kuisaidia pale pale ulipo bila kuhitaji kuteuliwa kwenye nafasi yoyote.
Hiki ndicho nimekuwa nakifanya siku zote na naendelea kufanya.

Naamini bandiko hili uliwahi kuliona, Je, wajua Sio Kila Kumpongeza, ni Kujikomba/Kusaka Teuzi? Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!, naomba kukuhakikishia ujumbe huu umemfikia Rais Samia, na anauheshimu.

Mungu Ibariki Tanzania.

P
Ukiteuliwa nakutafutia bodigadi mmoja, madanga matatu na machawa wawili.
 
Rais Dr. Samia jaribu na kumtumia na Pascal Mayalla kwenye serikali yako ninahakika atafanya vzuri.
Bora mfanye kumuombea Direct maana colum kila siku inampita sio vizuri jamani mnaona kabisa mtu anavyopambana humu JF kuimba mapambio kwa staili yake, lakini mnajifanaya hamuoni

Fanyeni mumpe kawilaya kapata basi da!
 
Back
Top Bottom