Rais Dr. Samia jaribu na kumtumia na Pascal Mayalla kwenye serikali yako ninahakika atafanya vizuri

Rais Dr. Samia jaribu na kumtumia na Pascal Mayalla kwenye serikali yako ninahakika atafanya vizuri

Mbona pasko anatumika kitambo sana. Kazi yake ni kutumika kupima upepo wa jambo au kupindisha upepo wa jambo. Na yupo kwa payroll kabisa
Ni kweli, mfano hapa alitumwa na ofisi kuupima uelewa wa boss wao
Na hapa akatumwa kupima upepo kama Idara imeshtukiwa TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!
Na hapa akatumwa apime upepo kama boss ni dikiteta Elections 2015 - If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him!
Na hapa kwa sababu system bado ni ya The Sukuma Gang, na hawamtaki Mamii hivyo wakamtuma Pasco amtishe ili atishike 2025 asigombee... Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke

Huu ndio utendaji uliotukuka wa Idara yetu kwa sasa!.
Naendelea na kazi!.
P
 
Ni kweli, mfano hapa alitumwa na ofisi kuupima uelewa wa boss wao
Na hapa akatumwa kupima upepo kama Idara imeshtukiwa TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!
Na hapa akatumwa apime upepo kama boss ni dikiteta Elections 2015 - If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him!
Na hapa kwa sababu system bado ni ya The Sukuma Gang, na hawamtaki Mamii hivyo wakamtuma Pasco amtishe ili atishike 2025 asigombee... Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke

Huu ndio utendaji uliotukuka wa Idara yetu kwa sasa!.
Naendelea na kazi!.
P
Ahsante Kaka Kilaza.
 
Pascal gani unayemsemea? Huyu aliyesema Makonda ndio anayefaa kumrithi magufuli? Kama ndio huyo naweka big Noooo.....
Humu JF, wengi wanauwezo wa kusoma, kuandika na kuelewa, wenye uwezo to read in between the lines ni wachache, sometimes naandika kwa wengi, sometimes naandika kwa wachache, baadhi ya mabandiko yangu, unapaswa uushikishe bongo yako vinginevyo utaishia chaka. Soma tena huku umeshirikisha Bongo Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze...
P
 
Kama alishindwa kumchukua akiwa amegombea ubunge wa EALA akakatwa mapema sana basi asitegemee lolote, siku zote ukiwa vuguvugu huwezi kufanikiwa.
 
Back
Top Bottom