Rais Dr. Samia jaribu na kumtumia na Pascal Mayalla kwenye serikali yako ninahakika atafanya vizuri

Rais Dr. Samia jaribu na kumtumia na Pascal Mayalla kwenye serikali yako ninahakika atafanya vizuri

Umri wake unaujua au unaongea tu pasco ana 52 yrs tu sasa hapo unasemaje umri umeenda?

Ni sawa tu maana Paskali Mayalla umri umeenda na hali yake ni ngumu hapa mjini. Ifahamike Paskali kakulia mjini na hana uwezo wa kurudi kijijini maana hakuwa amejipanga. Hivyo kuliko aishi hapa mjini hadi aanze kudhalilika, ni vyema akasaidiwa kwa kupewa ulaji wowote kama wazee wengi wastaafu huko CCM.

Kama ni kujipendekeza ameshafanya hivyo sana, je mamlaka ya uteuzi inataka afanyeje tena? Naunga mkono asaidiwe asije kudhalilika kwa kuanza kutuomba bia bar.
 
Kama alishindwa kumchukua akiwa amegombea ubunge wa EALA akakatwa mapema sana basi asitegemee lolote, huwezi kufanikiwa.
Mkuu masterpiece, kiukweli kabisa kwenye EALA, nilikwa na sifa zote, ila pia mapito yangu enzi zile hayakuwa mema, hivyo kwenye uzee huu, ninavuna kile nilichokipanda kwenye ujana!.
P
 
Rais Dr. Samia jaribu na kumtumia na Pascal Mayalla kwenye serikali yako ninahakika atafanya vzuri.
Sawa ila ni mtu mzima sasa

mm napendelea rais angefanya kazi zaidi na vijana vina wadogo wenye maono na wenye kujua dunia inataka nini na tanzania inatakiwa iweje..
 
Back
Top Bottom