Mwl Athumani Ramadhani
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 1,280
- 2,522
Huna uwezo wa kukataa uteuzi wa Rais akikuteua.Mkuu Meneja Wa Makampuni , kwanza heri ya mwaka mpya!, pili asante kuniombea kwa Mama aniteue nimsaidie chochote kwenye serikali yake. Hii ina maana kubwa sana kwangu, kwa haya ninayoyafanya, kumbe kuna watu humu wana yaona na ku appreciate, hivyo it's a very good encouragement kwangu kuendelea kuyafanya. Asante.
Mtu ukiwa na uwezo wa kuisaidia nchi yako, unaweza kuisaidia pale pale ulipo bila kuhitaji kuteuliwa kwenye nafasi yoyote.
Hiki ndicho nimekuwa nakifanya siku zote na naendelea kufanya.
Naamini bandiko hili uliwahi kuliona, Je, wajua Sio Kila Kumpongeza, ni Kujikomba/Kusaka Teuzi? Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!, naomba kukuhakikishia ujumbe huu umemfikia Rais Samia, na anauheshimu.
Mungu Ibariki Tanzania.
P
Ni kweli, mfano hapa alitumwa na ofisi kuupima uelewa wa boss waoNa hapa akatumwa kupima upepo kama Idara imeshtukiwa TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!
Na hapa akatumwa apime upepo kama boss ni dikiteta Elections 2015 - If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him!
Na hapa kwa sababu system bado ni ya The Sukuma Gang, na hawamtaki Mamii hivyo wakamtuma Pasco amtishe ili atishike 2025 asigombee... Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke
Huu ndio utendaji uliotukuka wa Idara yetu kwa sasa!.
Naendelea na kazi!.
P
Rais Dr. Samia jaribu na kumtumia na Pascal Mayalla kwenye serikali yako ninahakika atafanya vzuri.
Mkuu Meneja Wa Makampuni , nimerejelea hili bandiko baada ya kutokea opening ya msemaji, hivyo watu humu wananitaja taja! .Mkuu Meneja Wa Makampuni , kwanza heri ya mwaka mpya!, pili asante kuniombea kwa Mama aniteue nimsaidie chochote kwenye serikali yake. Hii ina maana kubwa sana kwangu, kwa haya ninayoyafanya, kumbe kuna watu humu wana yaona na ku appreciate, hivyo it's a very good encouragement kwangu kuendelea kuyafanya. Asante.
Mtu ukiwa na uwezo wa kuisaidia nchi yako, unaweza kuisaidia pale pale ulipo bila kuhitaji kuteuliwa kwenye nafasi yoyote.
Hiki ndicho nimekuwa nakifanya siku zote na naendelea kufanya.
Naamini bandiko hili uliwahi kuliona, Je, wajua Sio Kila Kumpongeza, ni Kujikomba/Kusaka Teuzi? Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!, naomba kukuhakikishia ujumbe huu umemfikia Rais Samia, na anauheshimu.
Mungu Ibariki Tanzania.
P
Paschal Mayala nimjuaye si chawa. Hana haja ya kutumiwa kama kifaa. Kwani amekutuma umuombee kazi? Je Paschal mwenyewe anasemaje?Ngoja tupige kura.