Rais gani atakuja kumaliza tatizo sugu la mgao wa Umeme?

Rais gani atakuja kumaliza tatizo sugu la mgao wa Umeme?

Tatizo la Mgao wa Umeme limekuwepo kwa muda mrefu sana, Toka enzi za Nyerere, na Sasa tatizo hilo linaendelea kuwepo , sisi watu wazima tumeona mgao Kwa Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli na sasa mgao upo kwa Samia.

Hili ni Tatizo kubwa sana, japokuwa Wamebadilishwa mawaziri na watendaji wakuu wa TANESCO Mara kwa mara bado tatizo limeendelea kuwepo na wananchi wanazidi kulalamika.

Kipindi cha Magufuli ulitumika ujanja ujanja Ili kupunguza Makali ya mgao , japo mabwawa yalikauka na mgao ulikuwepo, kwa maana kilichofanyika Serikali ilitoa maelekezo kwa watumiaji wachache ambao wana matumizi wakubwa ya umeme kuzima mitambo hali iliyopelekea watumiaji wengi/wapiga kura kuonja kidogo makali ya mgao, ila athari zilikuwapo sana kiuchumi mana uzalishaji ulipungua.

Kwa mwaka huu tumekuwa na mgao wa umeme Toka January kwasababu mbalimbali hasa hitilafu za mitambo na mabwawa kukauka maji.

Sasa Swali langu he ni nani atakuja kutumalizia tatizo hili Sugu/Cronic la mgao wa Umeme, huku ndani ya tatizo Hilo tukiwa na tatizo jingine la kukatika katika kwa umeme ambalo halisababishwi na mabwawa kupungua maji.
Trust the process
 
Tatizo la Mgao wa Umeme limekuwepo kwa muda mrefu sana, Toka enzi za Nyerere, na Sasa tatizo hilo linaendelea kuwepo , sisi watu wazima tumeona mgao Kwa Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli na sasa mgao upo kwa Samia.

Hili ni Tatizo kubwa sana, japokuwa Wamebadilishwa mawaziri na watendaji wakuu wa TANESCO Mara kwa mara bado tatizo limeendelea kuwepo na wananchi wanazidi kulalamika.

Kipindi cha Magufuli ulitumika ujanja ujanja Ili kupunguza Makali ya mgao , japo mabwawa yalikauka na mgao ulikuwepo, kwa maana kilichofanyika Serikali ilitoa maelekezo kwa watumiaji wachache ambao wana matumizi wakubwa ya umeme kuzima mitambo hali iliyopelekea watumiaji wengi/wapiga kura kuonja kidogo makali ya mgao, ila athari zilikuwapo sana kiuchumi mana uzalishaji ulipungua.

Kwa mwaka huu tumekuwa na mgao wa umeme Toka January kwasababu mbalimbali hasa hitilafu za mitambo na mabwawa kukauka maji.

Sasa Swali langu he ni nani atakuja kutumalizia tatizo hili Sugu/Cronic la mgao wa Umeme, huku ndani ya tatizo Hilo tukiwa na tatizo jingine la kukatika katika kwa umeme ambalo halisababishwi na mabwawa kupungua maji.
China ,South Africa nk kuna mgawo sembuse Tzn?
 
Hakuna wa kulimaliza labda tuwe na majimbo na kila jimbo lijitegemee kwa bajeti yake
Hapo wizi utapungua sana na utendaji utaonekana kuliko linchi likubwa halafu miaka na miaka linazidi kushika mkia kwa umasikini

Umeme ni muhimu ila kuna watu wanakula hela bila kujali watu wanateseka
 
kusema ukweli kipindi cha magufuli hili tatzo lilikaribia kuisha
 
Alitaka hilo tatizo lipungue kwa kujenga bwawa la maji ambapo unaambiwa tatizo ni mabadiliko ya tabia nchi?! Au angeleta mvua zake?

mabadiliko ya tabia za nchi yasikuzuie wewe kulima mahindi ila kujenga bwawa linalokusanya maji lisiyoyatumia kwa pamoja na kisha kuyaruhusu yaendelee na safari!!!

nyinyi ant magufuli mna ujinga mwingi,kwani mmesahau hata aliambiwa anaharibu mazingira!!!hamkushtuka kwamba hapa kuna vita ya bwawa lisiwepo na si kwamba anachofanya kina shida.

sema hatushangai makahaba wenye njaa mmekuwa wengi sana,inawezekana wengi mnatumika kwa ujira wa kupewa umaarufu na hifadhi.
 
Tatizo la Mgao wa Umeme limekuwepo kwa muda mrefu sana, Toka enzi za Nyerere, na Sasa tatizo hilo linaendelea kuwepo , sisi watu wazima tumeona mgao Kwa Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli na sasa mgao upo kwa Samia.

Hili ni Tatizo kubwa sana, japokuwa Wamebadilishwa mawaziri na watendaji wakuu wa TANESCO Mara kwa mara bado tatizo limeendelea kuwepo na wananchi wanazidi kulalamika.

Kipindi cha Magufuli ulitumika ujanja ujanja Ili kupunguza Makali ya mgao , japo mabwawa yalikauka na mgao ulikuwepo, kwa maana kilichofanyika Serikali ilitoa maelekezo kwa watumiaji wachache ambao wana matumizi wakubwa ya umeme kuzima mitambo hali iliyopelekea watumiaji wengi/wapiga kura kuonja kidogo makali ya mgao, ila athari zilikuwapo sana kiuchumi mana uzalishaji ulipungua.

Kwa mwaka huu tumekuwa na mgao wa umeme Toka January kwasababu mbalimbali hasa hitilafu za mitambo na mabwawa kukauka maji.

Sasa Swali langu he ni nani atakuja kutumalizia tatizo hili Sugu/Cronic la mgao wa Umeme, huku ndani ya tatizo Hilo tukiwa na tatizo jingine la kukatika katika kwa umeme ambalo halisababishwi na mabwawa kupungua maji.
Hapo kwenye red, hivi una uhakika na hiki ulichoandika?
Je unaweza toa orodha ya hao watumiaji wachache wenye matumizi makubwa ambao walielekezwa kuzima mitambo yao?
 
Tutakapopata viongozi kama magufuli ndiyo tatizo la umeme litapungua au kuisha kabisa tofauti na hii awamu ya kula kwa urefu wa kamba
 
Tatizo la Mgao wa Umeme limekuwepo kwa muda mrefu sana, Toka enzi za Nyerere, na Sasa tatizo hilo linaendelea kuwepo , sisi watu wazima tumeona mgao Kwa Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli na sasa mgao upo kwa Samia.

Hili ni Tatizo kubwa sana, japokuwa Wamebadilishwa mawaziri na watendaji wakuu wa TANESCO Mara kwa mara bado tatizo limeendelea kuwepo na wananchi wanazidi kulalamika.

Kipindi cha Magufuli ulitumika ujanja ujanja Ili kupunguza Makali ya mgao , japo mabwawa yalikauka na mgao ulikuwepo, kwa maana kilichofanyika Serikali ilitoa maelekezo kwa watumiaji wachache ambao wana matumizi wakubwa ya umeme kuzima mitambo hali iliyopelekea watumiaji wengi/wapiga kura kuonja kidogo makali ya mgao, ila athari zilikuwapo sana kiuchumi mana uzalishaji ulipungua.

Kwa mwaka huu tumekuwa na mgao wa umeme Toka January kwasababu mbalimbali hasa hitilafu za mitambo na mabwawa kukauka maji.

Sasa Swali langu he ni nani atakuja kutumalizia tatizo hili Sugu/Cronic la mgao wa Umeme, huku ndani ya tatizo Hilo tukiwa na tatizo jingine la kukatika katika kwa umeme ambalo halisababishwi na mabwawa kupungua maji.
KUKATIKA KWA UMEME KUNGEMALIZWA NA MAGU TU. No katika kipindi chake tu kukatika kwa umeme kulishaanza kuwa historia. Na yule mwamba angekuwepo bado,nina uhakika tungesahau habari za umeme umeme.
Sio hawa akina makatani wanafikiria upigaji tu. Hapo tumeliwa kichwa.
Na amini tungekuwa tunalipia kwa bei ya chini. Kwanza tayari alishaanza katika hilo.
Na tayari alishakuwa na mipango ya muda mfupi na mrefu kuhusiana na umeme. Ni kipindi chake tu umeme tungefikia uwezo wa kuuza nje. Tumempoteza bonge moja la mpambanaji. Alisema mtanikumbuka.
 
Nichagueni Mimi .

Kwanza nitaanza na kubadili katiba mbovu kureta ya wananchi iliyo pendekezwa na kuangalia mahala panapo hitajika.

(1)Hii itawezesha watu na tasisi kufanya kazi zao kwa uhuru na weledi mkubwa .

(2) Itaondoa uungu watu wanao nyonya nchi kwa kigezo cha nafazi za uongozi wao ,ambapo hujipangia mambo yanayo husu masilahi wananchi huku wakiweka percentage zao.

(3) Katiba italahisisha maisha kwa wananchi kwa kuondoa minyororo ya Ulasimu kwenye taasisi mbalimbali za umma ,kama makundi ya vijana wasio na ajira ,ambapo kupita katiba itakuwa na taasisi huru za kusaidia na kusimamia watu kupewa mikopo ya kuendesha miradi yao na kutafutiwa masoko kwa kila hali.

(4) Uhuru na demokrasia lazima vitawale inchini ili kuruhusu kumulika wajanja na matapeli (mafisadi) ,itatoa mwanya wa kupata viongozi wa kisiasa wenye weledi kwa vyama vyote kwa masilahi makubwa ya nchi.

(5) Shirika la Umeme lazima lijengewe uwezo wa kuniendesha lenyewe na kutoa huduma kwa wananchi kwa kiwango cha ju, Pia kutatolewa fursa kwa wawekezaji kwenye nyanja hiyo watakao ridhia kuzalisha na kuuza umeme kwa utaratibu na kanuni za nchi zitakazo faa ,bila kuwaumiza wananchi au wawekezaji.

(6)
(7)

Endeleza....
 
Back
Top Bottom