Rais gani atakuja kumaliza tatizo sugu la mgao wa Umeme?

Sasa Swali langu he ni nani atakuja kutumalizia tatizo hili Sugu/Cronic la mgao wa Umeme, huku ndani ya tatizo Hilo tukiwa na tatizo jingine la kukatika katika kwa umeme ambalo halisababishwi na mabwawa kupungua maji.
Rais atakayekuja kumaliza tatizo la mgao wa umeme ni yule atakayekuwa yuko madarakani Bwawa la Umeme wa Maji la Mwalimu Nyerere litakapoanza kufanya kazi
 
Usimamamizi na uendeshaji wa mashirika ya uma hukosa ufanisi kwa sababu ya siasa (asilimia kubwa ya wanasiasa ni wajinga na hata wapumbavu wenye kiburi cha madaraka, hawajali utaalamu).
 
Alitaka hilo tatizo lipungue kwa kujenga bwawa la maji ambapo unaambiwa tatizo ni mabadiliko ya tabia nchi?! Au angeleta mvua zake?
Ndio nyie mmejaa makamass kichwani Marekani na maendeleo yao yote umeme wa maji wanatumia sasa huku tukajazwa ujinga na sisi km kondooo ndo tunakubali tu
 
Jiwe alitakiwa kujenga kinyerezi 3&4,umeme wa uhakika wa gesi,akakimbilia rufiji,gharama kubwa,maji si uhakika
Alitaka umeme wa rufuji maana ni wa gharama ya chini mwananchi angekua anapata umeme kwa bei nafuuu kabisa ww gas leo ipo hapo mtwara je bei imepungua si ndo tunakandamizwa bei yule jamaa basi tu Mungu ampumzishe kwa amani
 
Alitaka umeme wa rufuji maana ni wa gharama ya chini mwananchi angekua anapata umeme kwa bei nafuuu kabisa ww gas leo ipo hapo mtwara je bei imepungua si ndo tunakandamizwa bei yule jamaa basi tu Mungu ampumzishe kwa amani

Una uhakika gani kuwa umeme huo ungekuwa wa bei rahisi? Mbona ndege ni zake lakini bei ya usafiri ilikuwa ghali kuliko fast jet?
 
Mmmm sijui! Pengine ni mpaka Upinzani utinge IKULU, lakini sio Lissu- nakazia tu. Upinzani chagueni wagombea MAKINI, msirudie tena kutuletea makapi yaliyotupwa na CCM. Na wala wakereketwa design ya LISSU.
 
Alitaka umeme wa rufuji maana ni wa gharama ya chini mwananchi angekua anapata umeme kwa bei nafuuu kabisa ww gas leo ipo hapo mtwara je bei imepungua si ndo tunakandamizwa bei yule jamaa basi tu Mungu ampumzishe kwa amani
Marekani Kuna mgao wa maji Sasa hivi,vyanzo vimekauka,umeme wa maji hauaminiki Tena sababu ya mabadiliko ya tabia nchi,south Africa waliingia gizani baada ya bwawa kukauka,mwaka Jana mvua hazikutosha,na mwaka huu mvua hakuna,jakaya alileta wabrazil kufanyia tathmini rufiji,lakini akaona kwanza tuwe na umeme wa gesi wa uhakika kwanza,akamwachia mwamba mipango,mwamba mjuvi
 
Shida ya umeme ni ya kutengeneza wanamhujumu mama hali hii wajue kukua kwa uchumi kwa 5.4 % utateremka sasa hivi uzalishaji na upatikaji wa maji mh mh mh ..
 
Una uhakika gani kuwa umeme huo ungekuwa wa bei rahisi? Mbona ndege ni zake lakini bei ya usafiri ilikuwa ghali kuliko fast jet?
Umeme wa maji ni umeme rahisi duniani kote swala la ndege tuliache tuongeleee kitu kinachogusa maisha ya kila mtanzania
 
Una uhakika gani kuwa umeme huo ungekuwa wa bei rahisi? Mbona ndege ni zake lakini bei ya usafiri ilikuwa ghali kuliko fast jet?
Umeme wa maji ni umeme rahisi duniani kote swala la ndege tuliache tuongeleee kitu kinachogusa maisha ya kila mtanzania
 
Manyumbu yaliyomtusi MAGUFULI yanapita kimya kimya kwa aibu.

Hii ndio raha ya DEMOKRASIA. Tunakula DEMOKRASIA chini ya MAMA SAMIA SULUHU HASSAN.

Ukweli na uwazi. Asali na haki ya mazungumzo.
 
Sasa huo wa gas umeishia wapi na swala la maji kukauka ni hali ya kawaida tu sio endelevu mvua lazima inyeshe tu sema ni kuzuia tu uharibifu wa mazingira.Lakini gas mpaka sasa hata hatujui ni ya nani maaan mikataba wanaingia kimya kimya.
 
Siku CCM na wanyonyaji wake wakifa ndio hii nchi itapona
 
Haliwezi kwisha aslan abadan.

Maana mabeberu ndipo wanapotukamatia ili tusipate maendeleo.
 
Mnaosema mgao hauishi napata ukakasi maana tuliambiwa bwawa la Nyerere litazalisha megawati 2500 Tena tutakuwa na surplus ya megawati 1500 Sasa mgao Ni njama za Watu au Ni uhaba was nishati Hapa ndipo sielewi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…