Rais atakayekuja kumaliza tatizo la mgao wa umeme ni yule atakayekuwa yuko madarakani Bwawa la Umeme wa Maji la Mwalimu Nyerere litakapoanza kufanya kaziSasa Swali langu he ni nani atakuja kutumalizia tatizo hili Sugu/Cronic la mgao wa Umeme, huku ndani ya tatizo Hilo tukiwa na tatizo jingine la kukatika katika kwa umeme ambalo halisababishwi na mabwawa kupungua maji.
Usimamamizi na uendeshaji wa mashirika ya uma hukosa ufanisi kwa sababu ya siasa (asilimia kubwa ya wanasiasa ni wajinga na hata wapumbavu wenye kiburi cha madaraka, hawajali utaalamu).Tatizo ni sheria zilizopo zinazoipa serikali monopoly kwenye hii biashara ya umeme, waruhusu sekta binafsi kufanya hii biashara in full, kwa wasiolewa Tanzania sekta binafsi hairuhusiwi kuuza na kusambaza umeme moja kwa moja kwa wateja, unaweza kuzalisha na kuiuzia TANESCO na wanakupangia bei ila huwezi kuuza kwa wananchi au wazalishaji, hakuna mtu mwenye pesa anaweza kufanya biashara kichaa kama hiyo, ni sheria na sera zetu ndio zinaleta matatizo yote haya, imagine biashara ya simu ingekuwa TTCL peke yake ndio anaruhusiwa kuuza huduma za simu
Ndio nyie mmejaa makamass kichwani Marekani na maendeleo yao yote umeme wa maji wanatumia sasa huku tukajazwa ujinga na sisi km kondooo ndo tunakubali tuAlitaka hilo tatizo lipungue kwa kujenga bwawa la maji ambapo unaambiwa tatizo ni mabadiliko ya tabia nchi?! Au angeleta mvua zake?
Alitaka umeme wa rufuji maana ni wa gharama ya chini mwananchi angekua anapata umeme kwa bei nafuuu kabisa ww gas leo ipo hapo mtwara je bei imepungua si ndo tunakandamizwa bei yule jamaa basi tu Mungu ampumzishe kwa amaniJiwe alitakiwa kujenga kinyerezi 3&4,umeme wa uhakika wa gesi,akakimbilia rufiji,gharama kubwa,maji si uhakika
Alitaka umeme wa rufuji maana ni wa gharama ya chini mwananchi angekua anapata umeme kwa bei nafuuu kabisa ww gas leo ipo hapo mtwara je bei imepungua si ndo tunakandamizwa bei yule jamaa basi tu Mungu ampumzishe kwa amani
Mmmm sijui! Pengine ni mpaka Upinzani utinge IKULU, lakini sio Lissu- nakazia tu. Upinzani chagueni wagombea MAKINI, msirudie tena kutuletea makapi yaliyotupwa na CCM. Na wala wakereketwa design ya LISSU.Tatizo la Mgao wa Umeme limekuwepo kwa muda mrefu sana, Toka enzi za Nyerere, na Sasa tatizo hilo linaendelea kuwepo , sisi watu wazima tumeona mgao Kwa Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli na sasa mgao upo kwa Samia.
Hili ni Tatizo kubwa sana, japokuwa Wamebadilishwa mawaziri na watendaji wakuu wa TANESCO Mara kwa mara bado tatizo limeendelea kuwepo na wananchi wanazidi kulalamika.
Kipindi cha Magufuli ulitumika ujanja ujanja Ili kupunguza Makali ya mgao , japo mabwawa yalikauka na mgao ulikuwepo, kwa maana kilichofanyika Serikali ilitoa maelekezo kwa watumiaji wachache ambao wana matumizi wakubwa ya umeme kuzima mitambo hali iliyopelekea watumiaji wengi/wapiga kura kuonja kidogo makali ya mgao, ila athari zilikuwapo sana kiuchumi mana uzalishaji ulipungua.
Kwa mwaka huu tumekuwa na mgao wa umeme Toka January kwasababu mbalimbali hasa hitilafu za mitambo na mabwawa kukauka maji.
Sasa Swali langu he ni nani atakuja kutumalizia tatizo hili Sugu/Cronic la mgao wa Umeme, huku ndani ya tatizo Hilo tukiwa na tatizo jingine la kukatika katika kwa umeme ambalo halisababishwi na mabwawa kupungua maji.
Marekani Kuna mgao wa maji Sasa hivi,vyanzo vimekauka,umeme wa maji hauaminiki Tena sababu ya mabadiliko ya tabia nchi,south Africa waliingia gizani baada ya bwawa kukauka,mwaka Jana mvua hazikutosha,na mwaka huu mvua hakuna,jakaya alileta wabrazil kufanyia tathmini rufiji,lakini akaona kwanza tuwe na umeme wa gesi wa uhakika kwanza,akamwachia mwamba mipango,mwamba mjuviAlitaka umeme wa rufuji maana ni wa gharama ya chini mwananchi angekua anapata umeme kwa bei nafuuu kabisa ww gas leo ipo hapo mtwara je bei imepungua si ndo tunakandamizwa bei yule jamaa basi tu Mungu ampumzishe kwa amani
Utaandika Mara ngapi ili kuwabadiri mtazamo wao juu ya Kamanda JPM RIP juu ya utendaji wake mzuri na nia njema juu nchi yake wewe Cheti feki?Lile dubwasha lilikuwa ni takataka.
Umeme wa maji ni umeme rahisi duniani kote swala la ndege tuliache tuongeleee kitu kinachogusa maisha ya kila mtanzaniaUna uhakika gani kuwa umeme huo ungekuwa wa bei rahisi? Mbona ndege ni zake lakini bei ya usafiri ilikuwa ghali kuliko fast jet?
Umeme wa maji ni umeme rahisi duniani kote swala la ndege tuliache tuongeleee kitu kinachogusa maisha ya kila mtanzaniaUna uhakika gani kuwa umeme huo ungekuwa wa bei rahisi? Mbona ndege ni zake lakini bei ya usafiri ilikuwa ghali kuliko fast jet?
Sasa huo wa gas umeishia wapi na swala la maji kukauka ni hali ya kawaida tu sio endelevu mvua lazima inyeshe tu sema ni kuzuia tu uharibifu wa mazingira.Lakini gas mpaka sasa hata hatujui ni ya nani maaan mikataba wanaingia kimya kimya.Marekani Kuna mgao wa maji Sasa hivi,vyanzo vimekauka,umeme wa maji hauaminiki Tena sababu ya mabadiliko ya tabia nchi,south Africa waliingia gizani baada ya bwawa kukauka,mwaka Jana mvua hazikutosha,na mwaka huu mvua hakuna,jakaya alileta wabrazil kufanyia tathmini rufiji,lakini akaona kwanza tuwe na umeme wa gesi wa uhakika kwanza,akamwachia mwamba mipango,mwamba mjuvi
Umeme wa maji ni umeme rahisi duniani kote swala la ndege tuliache tuongeleee kitu kinachogusa maisha ya kila mtanzania
Manyumbu mnachekesha sana.Tulipokuwa tunatumia umeme wa maji uliwahi kuwa bei rahisi?