Rais gani atakuja kumaliza tatizo sugu la mgao wa Umeme?

Sasa huo wa gas umeishia wapi na swala la maji kukauka ni hali ya kawaida tu sio endelevu mvua lazima inyeshe tu sema ni kuzuia tu uharibifu wa mazingira.Lakini gas mpaka sasa hata hatujui ni ya nani maaan mikataba wanaingia kimya kimya.
Gesi ipo Lindi..inahitaji $30b ili tuitumie
 
Wangeruhusu hili swala la private sectors kuuza umeme, bwana Elon Musk angesababisha serikali ilale njaa maana hakuna mtu angeenda funga umeme wa Tanesco nyumbani kwake wakati wa Tesla hautokatika hata iweje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…