Rais hawezi kumchukulia hatua RC Chalamila kwa sababu anamuogopa?

Kwani kura za wapinzani huwa zinaibiwa na mtu mmoja? Ni organized gang ambapo mfano wake hauendi mbali na waliopiga DPW deal
A
 
Sio kwa bahati mbaya anafanya destructive action before construction kama alivoagizwa na jao wanaomuongoza!!

Hakuna jambo linalotokea KWA bahati MBAYA!!
 
Ila kama ni kweli,basi Ndugu zangu tunyweni pombe kwa staha. Nilichogundua wakat mwingine ulevi wa kupindukia unaweza shindwa kujitofautisha kama wewe ni kiongozi au mbwatukaji
 
Ila kama ni kweli,basi Ndugu zangu tunyweni pombe kwa staha. Nilichogundua wakat mwingine ulevi wa kupindukia unaweza shindwa kujitofautisha kama wewe ni kiongozi au mbwatukaji
Hata kama ni mlevi lakini bora uvumiliwe kwanza DSM ili adili na walokole na makanisa yao ya vurugu.
 
Hakuwahi kutumbuliwa ? In that case hoja yako ya kuogopwa ni Void ab initio...
 
Ni kweli hakuna wa kumfanya chochote.Mbona juzi tu alisema makanisa wanauwezo wa kuyafunga na tayari huko mbeya .
 
Bado unafatilia uzi mzima unasoma za wapumbavu
mpaka hapa nimepata wenye akil 6 vuta picha ktk watu 100 waliokoment wenye akil 6 hili ni jangaa nikija kuangalia viongoz wa juu wenye akili wapo 4
 
Heshima ya Rais ni jambo linalopaswa kutunzwa na wateule.

Mteule akiwa mhuni maana yake anachafua taswira ya mteuzi. Ni sawa na kuhani ambaye anatenda maovu madhabahuni anakuwa amechafua habari njema anayoisimamia
 
mpaka hapa nimepata wenye akil 6 vuta picha ktk watu 100 waliokoment wenye akil 6 hili ni jangaa nikija kuangalia viongoz wa juu wenye akili wapo 4
Wewe upo upande upi🤣
 
Hakuwahi kutumbuliwa ? In that case hoja yako ya kuogopwa ni Void ab initio...
Alitumbuliwa kwa sababu hizi hzi za kuropoka.

Alirudishwa kwa sababu akiwa nje ni tishio zaidi ya akiwa ndani.

Mfumo ndo wanamkingia kifua asitapikwe
 
Atamchukuliaje HATUA wakati anajua dhumuni na mision yake ndani ya system na serikali anaijua VIZURI!!?
 
Mtu mfupi, kichwa kama kiazi mbatata halafu anavuta bangi chooni, unategemea nini?

Lazima aseme hovyo!! Mtu anakuambia anaweza kuchomoa mashine na hakuna wa kumfanya lolote!! Kwa kiswahili cha Dar es Salaam "mashine" ni kiungo cha siri cha kiume (mboo), sasa RC wa Dar anatushia kuchomoa mashine, bado vyombo vya TISS vimekaa kimya kuhusu huyu HAYAWANI wa Malangali Iringa. Shauri zenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…