Rais hawezi kumchukulia hatua RC Chalamila kwa sababu anamuogopa?

Rais hawezi kumchukulia hatua RC Chalamila kwa sababu anamuogopa?

Kwani kura za wapinzani huwa zinaibiwa na mtu mmoja? Ni organized gang ambapo mfano wake hauendi mbali na waliopiga DPW deal
Wewe na wewe umepoteza dira. Umeanza vizuri kisha ukakaharibu kwa kuongelea DP WORLD ambayo haina ubaya wowote kwani ujio wake tarajali umeridhiwa na serikali, bunge na mahakama. All in all Chalamila asiondolewe DSM mpaka amalizane na kelele za makanisa kwanza. Ikiwezeka awafunge kama yule mbarikiwa wa chadema kule Mbeya.
A
 
Sio kwa bahati mbaya anafanya destructive action before construction kama alivoagizwa na jao wanaomuongoza!!

Hakuna jambo linalotokea KWA bahati MBAYA!!
 
Kuna video inasambaa ambapo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam akijinasibu kuwa na uwezo wa kujitwalia sheria mkononi na hakuna wa kumfanya lolote.

Hii ni mara nyingine tena Chalamila akijinasibu kuwa bingwa wa kuvunja sheria na taratibu bila kuogopa yeyote.

Hapo awali akiwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya alijinasibu kuwa endapo atamkuta kibaka ndani kwake, yeye jukumu lake ni kumuua na si kumpeleka kwenye sheria.


Hizi kauli na zinginezo tunazozisikia akiwa kwenye maeneo ya starehe ni wazi zinaonesha haiba, tabia na mwenendo wa aliyemteua kuwa zaidi ya mteule wake.

Tumeona Mkataba wa DP World ambapo umesainiwa na kila dalili za kupuuza maoni ya wananchi na wataalam.

Tumeona, namna ambavyo sheria ya kinga kwa wanausalama dhidi ya jinai ya kuua ikipitishwa bila kujali maoni ya wadau na kilio cha wananchi dhidi ya sheria hiyo

Kusaini sheria ya fedha 2021/2022 ambayo ilileta tozo mbaya iliyoua masoko ya fedha mtandao nchini ni kuwa aliyewezesha hilo hakuna wa kumfanya lolote.


Je, tusubiri kuona Chalamila akidhuru maisha ya watu hadharani ndo hatua zichukuliwe?


Sisi Watanzania tuna jukumu moja tu 2025, kuiwajibisha CCM kupitia sanduku la Kura kwa sababu imelea na kutuketea viongozi wahuni wasio na maadili na utu.

Jumapili ya baraka


Thread 'RC Chalamila: Mimi kuchomoa mashine na kufanya vurugu ni dakika mbili tu, na hakuna yeyote wa kufanya chochote!' RC Chalamila: Mimi kuchomoa mashine na kufanya vurugu ni dakika mbili tu, na hakuna yeyote wa kufanya chochote!
Ila kama ni kweli,basi Ndugu zangu tunyweni pombe kwa staha. Nilichogundua wakat mwingine ulevi wa kupindukia unaweza shindwa kujitofautisha kama wewe ni kiongozi au mbwatukaji
 
Ila kama ni kweli,basi Ndugu zangu tunyweni pombe kwa staha. Nilichogundua wakat mwingine ulevi wa kupindukia unaweza shindwa kujitofautisha kama wewe ni kiongozi au mbwatukaji
Hata kama ni mlevi lakini bora uvumiliwe kwanza DSM ili adili na walokole na makanisa yao ya vurugu.
 
Hakuwahi kutumbuliwa ? In that case hoja yako ya kuogopwa ni Void ab initio...
 
Ni kweli hakuna wa kumfanya chochote.Mbona juzi tu alisema makanisa wanauwezo wa kuyafunga na tayari huko mbeya .
 
Bado unafatilia uzi mzima unasoma za wapumbavu
mpaka hapa nimepata wenye akil 6 vuta picha ktk watu 100 waliokoment wenye akil 6 hili ni jangaa nikija kuangalia viongoz wa juu wenye akili wapo 4
 
Chalamila kashajisahau, mara nyingi watu aina ya Chalamila au Makonda ni watu hawafai kupewa madaraka, maana watachafua mamlaka za uteuzi haraka sana sbb ni watu wa kujisahau na kuropoka hovyo, yaani they are not leaders at all. Najua Mh. Rais hajasema lolote juu ya maneno mabovu, ya hovyo ya Chalamila, ameshaanza kukerwa mno na matamshi ya RC Chalamila, nadhani anamlia timing, time will tell.
Heshima ya Rais ni jambo linalopaswa kutunzwa na wateule.

Mteule akiwa mhuni maana yake anachafua taswira ya mteuzi. Ni sawa na kuhani ambaye anatenda maovu madhabahuni anakuwa amechafua habari njema anayoisimamia
 
mpaka hapa nimepata wenye akil 6 vuta picha ktk watu 100 waliokoment wenye akil 6 hili ni jangaa nikija kuangalia viongoz wa juu wenye akili wapo 4
Wewe upo upande upi🤣
 
Hakuwahi kutumbuliwa ? In that case hoja yako ya kuogopwa ni Void ab initio...
Alitumbuliwa kwa sababu hizi hzi za kuropoka.

Alirudishwa kwa sababu akiwa nje ni tishio zaidi ya akiwa ndani.

Mfumo ndo wanamkingia kifua asitapikwe
 
Kuna video inasambaa ambapo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam akijinasibu kuwa na uwezo wa kujitwalia sheria mkononi na hakuna wa kumfanya lolote.

Hii ni mara nyingine tena Chalamila akijinasibu kuwa bingwa wa kuvunja sheria na taratibu bila kuogopa yeyote.

Hapo awali akiwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya alijinasibu kuwa endapo atamkuta kibaka ndani kwake, yeye jukumu lake ni kumuua na si kumpeleka kwenye sheria.


Hizi kauli na zinginezo tunazozisikia akiwa kwenye maeneo ya starehe ni wazi zinaonesha haiba, tabia na mwenendo wa aliyemteua kuwa zaidi ya mteule wake.

Tumeona Mkataba wa DP World ambapo umesainiwa na kila dalili za kupuuza maoni ya wananchi na wataalam.

Tumeona, namna ambavyo sheria ya kinga kwa wanausalama dhidi ya jinai ya kuua ikipitishwa bila kujali maoni ya wadau na kilio cha wananchi dhidi ya sheria hiyo

Kusaini sheria ya fedha 2021/2022 ambayo ilileta tozo mbaya iliyoua masoko ya fedha mtandao nchini ni kuwa aliyewezesha hilo hakuna wa kumfanya lolote.


Je, tusubiri kuona Chalamila akidhuru maisha ya watu hadharani ndo hatua zichukuliwe?


Sisi Watanzania tuna jukumu moja tu 2025, kuiwajibisha CCM kupitia sanduku la Kura kwa sababu imelea na kutuketea viongozi wahuni wasio na maadili na utu.

Jumapili ya baraka


Thread 'RC Chalamila: Mimi kuchomoa mashine na kufanya vurugu ni dakika mbili tu, na hakuna yeyote wa kufanya chochote!' RC Chalamila: Mimi kuchomoa mashine na kufanya vurugu ni dakika mbili tu, na hakuna yeyote wa kufanya chochote!
Atamchukuliaje HATUA wakati anajua dhumuni na mision yake ndani ya system na serikali anaijua VIZURI!!?
 
Kuna video inasambaa ambapo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam akijinasibu kuwa na uwezo wa kujitwalia sheria mkononi na hakuna wa kumfanya lolote.

Hii ni mara nyingine tena Chalamila akijinasibu kuwa bingwa wa kuvunja sheria na taratibu bila kuogopa yeyote.

Hapo awali akiwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya alijinasibu kuwa endapo atamkuta kibaka ndani kwake, yeye jukumu lake ni kumuua na si kumpeleka kwenye sheria.


Hizi kauli na zinginezo tunazozisikia akiwa kwenye maeneo ya starehe ni wazi zinaonesha haiba, tabia na mwenendo wa aliyemteua kuwa zaidi ya mteule wake.

Tumeona Mkataba wa DP World ambapo umesainiwa na kila dalili za kupuuza maoni ya wananchi na wataalam.

Tumeona, namna ambavyo sheria ya kinga kwa wanausalama dhidi ya jinai ya kuua ikipitishwa bila kujali maoni ya wadau na kilio cha wananchi dhidi ya sheria hiyo

Kusaini sheria ya fedha 2021/2022 ambayo ilileta tozo mbaya iliyoua masoko ya fedha mtandao nchini ni kuwa aliyewezesha hilo hakuna wa kumfanya lolote.


Je, tusubiri kuona Chalamila akidhuru maisha ya watu hadharani ndo hatua zichukuliwe?


Sisi Watanzania tuna jukumu moja tu 2025, kuiwajibisha CCM kupitia sanduku la Kura kwa sababu imelea na kutuketea viongozi wahuni wasio na maadili na utu.

Jumapili ya baraka


Thread 'RC Chalamila: Mimi kuchomoa mashine na kufanya vurugu ni dakika mbili tu, na hakuna yeyote wa kufanya chochote!' RC Chalamila: Mimi kuchomoa mashine na kufanya vurugu ni dakika mbili tu, na hakuna yeyote wa kufanya chochote!
Mtu mfupi, kichwa kama kiazi mbatata halafu anavuta bangi chooni, unategemea nini?

Lazima aseme hovyo!! Mtu anakuambia anaweza kuchomoa mashine na hakuna wa kumfanya lolote!! Kwa kiswahili cha Dar es Salaam "mashine" ni kiungo cha siri cha kiume (mboo), sasa RC wa Dar anatushia kuchomoa mashine, bado vyombo vya TISS vimekaa kimya kuhusu huyu HAYAWANI wa Malangali Iringa. Shauri zenu
 
Back
Top Bottom