The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Off course inashtua. Serikali kughalamikia safari binafsi ..... Na Waroma ambao huwa wanakwenda kuhuji Roma nao wakiomba wawezeshwe itakuwaje ......!!?Umeshtushwa nini sass?
Kiasi ujambe hivyo kwani mapato yote ya bait la jaibu Na sehemu Za historia Zanzibar yanapelekwa Tanganyika Na Pia pesa Za viza zote Za wanaingia Airport Na bandarini zinakwapuliwa Na Tanganyika pesa Za Wazanzibari walioko nje zinaingia Tanganyika nkMuungano hauna mapato, bali yale mapato ya Tanganyika hubatizwa na kuitwa mapato ya Muungano!!
Ndiko ulikoambiwa huko?Hapo msikitini mmeambiwaje?
Soma hii kituMuungano hauna mapato, bali yale mapato ya Tanganyika hubatizwa na kuitwa mapato ya Muungano!!
Tafsir ya Hijja ni pana sana. Mi huwa nacheki zaidi Quran na Hadithi , Just imagine huna kazi , una madeni na huna pesa ya kuhudumia familia ila kuna dili la kupelekwa hijja for free!inaitwa Sadakatil jaria,katika dini ya Kiislamu kuna sadaka za aina nyingi..
Kumpeleka mtu Makka ni moja katika hizo sadaka..
Dangote anawapeleka zaidi ya wailamu 50 kwenda Makka kuhiji kila mwaka..
Zenji iko huru ina bendera yake..rais wake unataka uhuru gani.?Mara ya kwanza tangu yule adui wa taifa avamie na majeshi yake.
Nchi huru huwekewa Raisi kwa kuvamiwa Na nchi nyengine?Zenji iko huru ina bendera yake..rais wake unataka uhuru gani.?
#MaendeleoHayanaChama
Elewa kuwa Zanzibar ni nchi ya kiislamu
Pili, Zanzibar kama nchi inadai fedha nyingi JMT ikiwa ni malimbikizo ya mgao wake wa mapato ya Muungano
Lakini mbona Viongozi wa Ulaya na Marekani sijawahi kuwasikia wakizungumza mambo ya Dini wala kuwenda kanisa ni?Elewa kuwa Zanzibar ni nchi ya kiislamu
Pili, Zanzibar kama nchi inadai fedha nyingi JMT ikiwa ni malimbikizo ya mgao wake wa mapato ya Muungano
ha ha ha!Lakini mbona Viongozi wa Ulaya na Marekani sijawahi kuwasikia wakizungumza mambo ya Dini wala kuwenda kanisa ni?
Ili kuondoa upendeleo,huo mfuko uwe kwa kila anayetaka kwenda kuhiji(hata wakristo huenda hija,Israel).Ni memsikia Rais wa Zanzibar akieleza kwamba eti waombe kibali Serikali ya muungano ili Zanzibar ianzishe mfuko wa kusaidia waisilam wanapoenda hija.
Nimeshtushwa na hili ombi kwani Zanzibar inazuiwa kujianzishia mfuko? Au ni kanjia ka kuitaka Serikali ya muungano igharamie ibada ya dini moja?
Mkuu mbona unamsakama sana mheshimiwa Rais kwa mambo mazito hivyo?Awaache BAKWATA ZANZIBAR WAWEKE, YEYE AENDESHE SERIKALI, AJIBU HOJA ZA KUUZA VISIWA, UJENZI WA MASOKO, BARABARA....tenda kutolewa kindugu pamoja na majengo ya stone town kuuzwa.
Tunamkumbusha tu, hata wakristo huwa wanaenda kuhiji Israeli, na wao awaundie mfuko.
Nadhani anatafuta political scandal kama Ile ya IOC ya Dk Salmin Amour
Hii kitu haifai hata kidogo mambo ya dini tuwaachie wenye dini yao wajipiganie wenyeweKama zazibar itawekewa mfuko huo na waislamu wa bara pia watahitaji huo mfuko ilihali ni wengi kuliko waislamu wa Zanzibar
Sasa nini kinawazuia kutoa pesa si wampe tu kama wana nia njema?Ni rahisi kwa Rais Mwinyi kupata pesa za kulipia hijja kama akipewa ruhusa kutoka serikali ya Muungano. Mwinyi akiita mabalozi wa nchi za Arabuni hasa Oman na Qatar watampa pesa hizo maana wanaipenda sana Zanzibar.
Binafsi huwa sielewi hukm ya huu utaratibu wa waislamu kulipiwa na matajiri kwenda hijja maana dini inasema "hijja ifanywe na muislam mwenye uwezo" Allahu Aaalam.
Hii haikubaliki hata kidogo mambo ya ibada mtu agharamie mwenyeweHiyo pesa ya mfuko wanataka iwe suala la Muungano ili Hazina / Bank Kuu watoe pesa
Hawa waachane na hii kitu kama wamekwama miaka yote sasa hivi wanaona kuna kijimwanya!!Walitaka kujiunga pic wakazuiwa na JMT
Ndio sababu wameona waanzie huko huko
Ni kosa kubwa kujenga popularity yako ya kisiasa kwa kujenga hoja za kidiniAmegundua huko Zanzibar wanaimani kubwa kwenye uislamu, hivyo namna pekee ya kuwaziba macho ni kuwawezesha kwenye jambo linalogusa imani yao. Na alifanikiwa hilo ataweza kukaa madarakani kwa kunajisi uchaguzi, huku akiwa ana kinga ya kujali uislamu.
Zenji iko huru ina bendera yake..rais wake unataka uhuru gani.?
#MaendeleoHayanaChama