Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Kumbe ndicho mlichoenda kudesa kwake?Punguzeni ushamba wana chato! Kwa iyo Kagame alivyofanya hii program mwaka 2018 alifanya akiwa Diwani huko Rwanda?
Kulingana na uzi wako nime conclude yafuatayoKwa mara ya kwanza Dunia inaenda kushuhudia mkuu wa nchi, Rais akitangaza utalii. Rais anapoamua kutangaza utalii maana yake ni kwamba hilo Taifa analoongoza ni Taifa mfu, ni Taifa lililokufa, ni taifa jipya kabisa chini ya jua na halina raslimali zozote na wala kitu chochote, sasa inabidi atoke mkuu wa nchi aifahamishe Dunia kuwa taifa analoongoza lina sehemu za utalii...
Vipi unaonaje jinsi Mboe alivyowekwa mahabusu kwa muda mrefu bila dhamana?Kwa sababu sikuwa sawa na ukatili wa Magufuli
Kesi ya ugaidi inadhamana cheif ? naomba kuuliza wew ni mwalimu mimi ni mwanafunzi nibainishie tafadhaliVipi unaonaje jinsi Mboe alivyowekwa mahabusu kwa muda mrefu bila dhamana?
Ni haki kweli?
Kila kabila lina strengts zake na weakness zake, nakiri Wasukuma tuna tatizo kwenye gender balance. Hii ni kutokana na Wasukuma asili yao ni polygamous in nature, hivyo kwetu mwanamke ni mtu wa kununua tuu kwa ng'ombe ukiwa nazo za kutosha unaweza kuwaoa hata wanawake 20. Hivyo Wasukuma na kanda yote ya Ziwa ukiondoa Wazanaki na Wajita, wengine wote ni wako kama wanadharau fulani kwa wanawake. Hata Gwajiboy anapandisha sauti sasa kwa vile aliyepo ni mwanamke kwa hoja "Mwanamke anaweza kunifanya nini" hivyo anamdharau. Angekuwepo JPM, asingethubutu.Kwa nini kwenye jinsia hakuzingatia hivyo ateue wanawake wengi kuliko wanaume?
Wasukuma ni religious blind, wengi wameupokea Ukiristu lakini wanaendelea kuishi maisha yao ya asili, hivyo ni kweli uwiano wa udini haukuzingatiwa na huu pia nakiri ni udhaifu.Kama kwenye kanda alizingatia hivyo kwa nini kwenye dini hakuzingatia hivyo?
kuhusu rais tumepigwa
Labda atangaze kuuza urojo n alkasusuJamani tusikalili, muacheni Mama aitangaze Tanzania. Nina uhakika Tanzania itajitangaza kupitia yeye.
Nonsense....!!Kulingana na uzi wako nime conclude yafuatayo
1. Hujui utalii
2. Ni Chadema
3. Huna facts
Kweli tupukuhusu rais tumepigwa
Kwa mara ya kwanza Dunia inaenda kushuhudia mkuu wa nchi, Rais akitangaza utalii. Rais anapoamua kutangaza utalii maana yake ni kwamba hilo Taifa analoongoza ni Taifa mfu, ni Taifa lililokufa, ni taifa jipya kabisa chini ya jua na halina raslimali zozote na wala kitu chochote, sasa inabidi atoke mkuu wa nchi aifahamishe Dunia kuwa taifa analoongoza lina sehemu za utalii.
Na Kwanza hata kama taifa halina chochote, siyo kazi ya Rais kutangaza utalii. Zipo strategies za kutangaza utalii, Samatta ni maarufu Duniani kuliko Rais Samia.
Rais anapoenda Location kama msanii wa Bongo movie kutangaza utalii,huo mkosi mzito mno kwa taifa, watalii hawaji Tanzania eti kwa sababu Rais aliwatangazia.
Wanakuja kwa sababu usalama wao utakuwa mkubwa zaidi, huwezi kwenda kutalii kwenye Taifa ambalo kiongozi mkuu wa Chama kikubwa Cha Upinzani ni Gaidi, maana yake ni kwamba hata mawaziri nao ni magaidi.
Kenya inapokea maelfu ya watalii kwa mwaka kuliko Tanzania nani alimwona Rais wa Kenya akienda location kutangaza utalii?
Yaani Serikali nzima yenye wasomi wa kada zote haina strategies za kutangaza utalii hadi Rais aende location?
Mbona ni rahisi mno kutangaza utalii kuliko ilivyo rahisi kunywa maji? Tanzania hii yenye vivutio vyote leo hata Rwanda wameanza kuwazidi kupokea watalii wengi kwa sababu ya strategies.
Rais ataenda Location zote na mtatengeneza filamu zote na watalii hamtawaona kwa sababu hamna strategies.
Nyie strategies zenu ni kuua Upinzani tu haya mengine zero kabisa.
P,Wasukuma ni religious blind, wengi wameupokea Ukiristu lakini wanaendelea kuishi maisha yao ya asili, hivyo ni kweli uwiano wa udini haukuzingatiwa na huu pia nakiri ni udhaifu.
P
Maendeleo ni endless process. Soda Cocacola ina miaka mingapi? Mbona bado wanai promote? Hivi kabisa unaamini kazi ya kutangaza vivutio vyetu imeisha sasa tulale tusubiri season ya utalii kila mwaka?So for the past 60 years dunia bado haijui vivutio vyetu siyo?? Kama till now hawajui tuna vivutio vya utalii watakuwa wanajua tuna nini hasa? Mbona mna hoja nyepesi sana aisee??