Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Mkuu,Afrika tatizo ni elimu tu, mbona canada, USA, India, Brazil, etc zilitaliwa na leo the leading in economic in the world.
Asian countries zilikuwa makoloni but leo wamepiga hatua kuliko Afrika, nchi za weusi ni ujinga tu ukosefu wa elimu.
Kama ni kweli, anajisumbua bure labda anajiandaa kuwa rais wa maisha, hawezi chochote kama Gaddafi alishindwa sembuse huyu ambaye hata elimu hana.
Ngozi nyeusi ina laana ya milele.Mibeberu inachemka kwa ghadhabu saa hizi. Ila cha ajabu sasa atakaekuja kumuondoa atakuwa ni mtu mweusi ambae atapewa bakhshish kidogo na mabeberu.
Adui wa jitihada za mtu mweusi ni mtu mweusi.
Ivi ukisikia neno Wagner unaelewa nini.Huyu atakipata anachokitafuta
Inakubali nikii-download video nasikia sauti. Hivyo sio speaker nadhani masuala tofauti. ShukraniLabda simu yako ina tatizo la speaker mkuu,muone fundi.
WAGNER wapo tu wanaangalia mpaka uyo jamaa anatolewa?Aliyekwambia hawana ni nani? Aliyekwambia watafanya Kama Libya nani? Huyo ataondolewa na WA ndani humo humo kama yeye akivyofanya.
ukiwa na akili ndogo uache kujadili mambo yanayo kuzidi, maana unaishia kujiaibishaAkigundua mali zilizochukuliwa zina thamani kuliko hizo ndege mbili ataenda Ufaransa kufuata ndege zingine?
Hata akipigwa vikwazo nchi ilishakua maskini na resource zilikua zikichotwa Bure kwahiyo hawana Cha kupoteza zaidi ya kulinda Mali zaoBora kujaribu, ingawa atapigwa vikwazo vya kiuchumi
Unajua,viongozi wa nchi za magharibi ni wajinga sana.Yaani mnawaibia watu for all that long,halafu kirahisi rahisi tu mnasema yaishe!No that is not the way.Habari zilizofika izi punde ni kuwa France ameomba yaishe na yupo tayari kukaa chini na serikali ya kijeshi ya NIGER wapo tayari kuingia mikataba mipya itakayokuwa na faida kwa pande zote...
Hahaha nimekaa miaka mitatu darasani nasoma Siasa na uongozi.ukiwa na akili ndogo uache kujadili mambo yanayo kuzidi, maana unaishia kujiaibisha
Watamuua haraka sana, anatakiwa ashirikia vzr na mjeshi mwenzie wa maliAtapigwa Fitna Na Mabeberu Ya Magharibu Mpaka Iwe Kama Gaddafi
Sasa naelewa waliotaka igombea urais angalau uwe na 42..Baada ya shirika ka ndege la Ufaransa kusitisha safari zake za Burkina Faso na Mali Rais Ibrahim ameagiza ndege mbili za ufaransa aina ya Boeing kutoondoka zishikiliwe nchini Ila marubani waruhusiwe kuondoka hadi pale ambapo watajiridhisha Kama hakuna rasilimali ufaransa wamewai beba nchini humo bila usawa
View attachment 2719864
Mambo ya makenikia hayo..Baada ya shirika ka ndege la Ufaransa kusitisha safari zake za Burkina Faso na Mali Rais Ibrahim ameagiza ndege mbili za ufaransa aina ya Boeing kutoondoka zishikiliwe nchini Ila marubani waruhusiwe kuondoka hadi pale ambapo watajiridhisha Kama hakuna rasilimali ufaransa wamewai beba nchini humo bila usawa
View attachment 2719864
Ufaransa bila izo nchi uchumi wake una collapse faster ndio mahana hana pa kushika zaidi ya kukomaa kwenye izo nchiUnajua,viongozi wa nchi za magharibi ni wajinga sana.Yaani mnawaibia watu for all that long,halafu kirahisi rahisi tu mnasema yaishe!No that is not the way.
Walipie kwanza kila kitu walichoiba since 1960 in monetary terms walipo sign hiyo mikataba ya kipuuzi na hovyo,halafu walipe reparations to Nigers because of psychological, physical torture and shame they inflicted on them.I guess they should also pay reparations to families who have lost loved ones because of poverty caused by the theft.
Ufaransa wakishafanya hivyo,ndio wazungumzie kuingia mikataba mipya.However because of history,sidhani kama Ufaransa ni reliable partners,watafute partners wengine kama Russia or China.The West ni wezi na matapeli tu,they are not reliable partners,waachane nao kabisa.
Nahisi ngozi nyeusi ilitengenezwa maalum kwa ajili ya viraka vya matako, kwapa, nyayo. Sasa ile extra iliyobaki ndio ikatengezwa watu. Hatma yake ndio hizi akili zetu za kikwapa kwapa.Ngozi nyeusi ina laana ya milele.
Just a matter of perspective...ukoloni mamboleo wa ufaransa west Africa umefikia mwisho... France imelinda mafisadi na wala rushwa ili tu kulinda maslahi yake binafsi, Jeshi lilishtuka na wananchi wameshtuka.Huyo huyo Putin atammaliza mark my words this soldier has more muscle than brain and fear he will be an easy target for Russia every one has a price and especially they don’t respect Africans
Mnachosahau,Ufaransa ilishaendelea kitambo kabla hata ya kukolonise hizo nchi.Ni sema tu wanaendelea kutumia any chance available as wenzetu wanawaza vizazi na vizazi vijavyo.Ufaransa bila izo nchi uchumi wake una collapse faster ndio mahana hana pa kushika zaidi ya kukomaa kwenye izo nchi