Sio chini ya SOMALIABlog original ya Kiv imeandika kuwa USA Waliwasiliana na Russia kabla ya ziara ya Biden Kiv .
#Сплетни
The Associated Press (AP) has confirmed the gossip we previously published .
Before Biden's trip to Kyiv, the United States contacted Russia to rule out miscalculations that could lead to a confrontation between the two nuclear powers
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona waziri mkuu wa UK, rais wa ufaransa, ujerumani wote hao waeshaitembelea Kiev? Hamna la ajabu hapo.Ila Marekani nao, unaruhusu vipi rais kwenda huko...
Pro Russia mnajaribu kujifariji baada ya Biden kwenda Kyiv huku Putin akibaki mpenzi mtazamaji na hakuwa na la kufanya zaidi ya kusubiri mkubwa aondoke Kyiv.Kaona apande gogo maana putin hatabiriki anaweza akalishusha airforce one likawa majivu.
Kuna wajinga wanaamini Russia na Us ni maadui na hawawasiliani😂😂😂Kwamba ni aibu Kwa urusi, biden kutembelea Ukraine? kweli washabikia NATO hawana akili.kwa taarifa yako ameomba ruhusa Kwa warusi.
Kama ni mnufaika support mkuu uwe member wa upinde .- Unamchukia Rais wa USA wakati ndiye Rais anayekupa Misaada lukuki hapa Tanzania, kupitia Mashirika yake ya US AID,na Mashirika ya Nchi Washirika wa US kama JICA,KOICA,SIDA,UKAID,DANIDA,EU
Hakuna lolote russia akiamua kushambulia anashambulia hila kuna mikataba inalinda viongozi kwani unafikiri hata russia hawajui anapolala zelenskyAnga ya Ukraine itakuwa iko mikononi beberu mwenyewe
Big boys Huwa wanachati inbox...Inamaana US wamechunguza nakuona hiyo sehemu sio hatari kwa rais wao?
Mimi ningekuwa Putin ningetuma kitu kitue pembeni kidogo tu just for winning!.
Airforce hivi viatu raba amaKaona apande gogo maana putin hatabiriki anaweza akalishusha airforce one likawa majivu.
Yaani mmarekani amwombe mrusi hivi vichekesho mnatoaga wapSio chini ya SOMALIABlog original ya Kiv imeandika kuwa USA Waliwasiliana na Russia kabla ya ziara ya Biden Kiv .
#Сплетни
The Associated Press (AP) has confirmed the gossip we previously published .
Before Biden's trip to Kyiv, the United States contacted Russia to rule out miscalculations that could lead to a confrontation between the two nuclear powers
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo urusi na USA ni marafiki bada opareshen masaa72 kuferi vibayaKuna wajinga wanaamini Russia na Us ni maadui na hawawasiliani😂😂😂
Kwahiyo wanapajua afu wanaohogopa kumkamata aubkumuua we jamaa ni hatari sana. Vp ule msafara km60 nq ule mkwala wa ajosalimishe ulishia wapHakuna lolote russia akiamua kushambulia anashambulia hila kuna mikataba inalinda viongozi kwani unafikiri hata russia hawajui anapolala zelensky
AKili za kushikiwa vijiweni hiiLeo urusi na USA ni marafiki bada opareshen masaa72 kuferi vibaya
"Ukishaingia tu Ukraine wewe si beberu tena, ni Mbuzi tu kama Mbuzi wengine"Ngoja tuone Urusi atafanya maajabu gani! Maana beberu mkuu yupo Kiev tena live
Treni tena kwani ndege hakunaRais wa Marekani, Joe Biden atembelea Kyiv baada ya safari ya masaa 9 kwa treni kutoka Poland ambapo amewasili asubuhi ya leo
US president Joe Biden is on a surprise visit to Kyiv, where he's meeting with President Zelensky ahead of the one-year mark of Putin’s full-scale invasion of Ukraine. He left overnight and arrived by train in Kyiv this morning. He and Zelensky just visited St. Michael's Square.
Wakati huo huo Urusi imejiandaa shambulia Kyiv kwa makombora
Vingora vyalia sehemu mbali mbali za Ukraine
Jeshi la Marekani liko katika utayari nchini Poland.
Hakuna ziara ya ghafla dunianiRais wa marekani Joe Biden amewasili ukraine ikiwa ni ziara ya ghafra na anatarajia kufanya mazungumzo na mwenzake wa Ukraine zelensky.
============================
Biden arrives in Kyiv
US President Joe Biden has arrived in Kyiv – his first visit to Ukraine since Russia invaded almost a year ago.
The surprise visit came as he travelled to neighbouring Poland to meet President Andrzej Duda.
There had been speculation earlier today that an important guest was arriving in the Ukrainian capital, which Ukrainian politician Lesia Vasylenko has confirmed is Biden.
Stay with us as we bring you the latest.
View attachment 2523986
Ndio maana katumia treniKaingia kwa siri sana hata baadhi ya mafisa wa white House walikuwa hawajui kama jamaa katua Ukraine.. USA nao wamefikia hatua ya kuficha siri za safari za raisi kukwepa hujuma kutoka kwa urusi.....