Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inamaana US wamechunguza nakuona hiyo sehemu sio hatari kwa rais wao?
Mimi ningekuwa Putin ningetuma kitu kitue pembeni kidogo tu just for winning!.
Mkuu punguza basi kutudanganya,yani aingie kwa siri sana hata maafisa wa WH wasijue halafu wewe wa hapa kwa Mama Samia ujue details zote.Biden kaingia kwa siri kubwa sana huko Ukraine hata maafisa wa white house wengi wao walikuwa hawajui kama kuna safari ya rais Kenda Ukraine...US nao wamekuwa waoga sasahivi ..wamedhihilisha wazi kuwa wanamuogopa Urusi
Kwa taarifa yako muda huo anga la Ukraine liko chini ya USInamaana US wamechunguza nakuona hiyo sehemu sio hatari kwa rais wao?
Mimi ningekuwa Putin ningetuma kitu kitue pembeni kidogo tu just for winning!.
Nyamizi nakuaminia sana kutoka na uwepo wako kila siku kwenye jukwaa hill... sitaki nikupakulie taarifa hapa neenda mwenyewe bbc utaona hiyo taarifa imeandikwa kwa uwazi kabisa kuwa hata baadhi ya maafisa white House walikuwa hawajui hiyo ratiba... wamepata taarifa jamaa keshapaa aeaelekea Ukraine......Mkuu punguza basi kutudanganya,yani aingie kwa siri sana hata maafisa wa WH wasijue halafu wewe wa hapa kwa Mama Samia ujue details zote.
Anga la beberu mwenyewe limenajisiwa na Maputo ya wachinaAnga ya Ukraine itakuwa iko mikononi beberu mwenyewe
Trip controvesial huwa zinakuwa siri ili kuzuia taarifa kuvuja na wabaya kuzitumia.Nyamizi nakuaminia sana kutoka na uwepo wako kila siku kwenye jukwaa hill... sitaki nikupakulie taarifa hapa neenda mwenyewe bbc utaona hiyo taarifa imeandikwa kwa uwazi kabisa kuwa hata baadhi ya maafisa white House walikuwa hawajui hiyo ratiba... wamepata taarifa jamaa keshapaa aeaelekea Ukraine......
Blog original ya Kiv imeandika kuwa USA Waliwasiliana na Russia kabla ya ziara ya Biden Kiv .Kwa taarifa yako muda huo anga la Ukraine liko chini ya US
Yes hili ni muhimu kufanyika.Sio chini ya SOMALIABlog original ya Kiv imeandika kuwa USA Waliwasiliana na Russia kabla ya ziara ya Biden Kiv .
#Сплетни
The Associated Press (AP) has confirmed the gossip we previously published .
Before Biden's trip to Kyiv, the United States contacted Russia to rule out miscalculations that could lead to a confrontation between the two nuclear powers
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba ni aibu Kwa urusi, biden kutembelea Ukraine? kweli washabikia NATO hawana akili.kwa taarifa yako ameomba ruhusa Kwa warusi.Aibu kubwa sana kwa super pawer wa kwenye makaratasi [emoji848]🥱
Lazima malengo ya urusi yatumieUkiona hivyo ujue mmarekani anauhakika wa kumaliza mchezo sio muda mrefu haita Maliza hata wiki lazima utasikia kitu
Kwako ndio hauna maana!Mods huu uzi unganisheni na Uzi mama wa Vita ya UKRAINE.
Hauna maana yoyote hapa.
Hizi details zimetolewa kila mahari hiyo BBC,CNN,Aljazeera,FOX News na vyombo vyote.Nachokukatalia ni kusema Security Officers wa WH walikuwa hawafahamu wakati kumekuwa na preparations za hiyo safari kwa muda mrefu sana unless uwe unamanisha hawa maafisa wa kawaida tu.Pengine naweza kubaliana na wewe kuwa uamuzi rasmi wa siku gani anakwenda Kyiv kautoa Biden siku ya Ijumaa kwa mujibu wq CNNNyamizi nakuaminia sana kutoka na uwepo wako kila siku kwenye jukwaa hill... sitaki nikupakulie taarifa hapa neenda mwenyewe bbc utaona hiyo taarifa imeandikwa kwa uwazi kabisa kuwa hata baadhi ya maafisa white House walikuwa hawajui hiyo ratiba... wamepata taarifa jamaa keshapaa aeaelekea Ukraine......
urusi ataishia kuotaLazima malengo ya urusi yatumie