Rais Joe Biden azuru Kyiv, Ukraine Februari 20, 2023

Rais Joe Biden azuru Kyiv, Ukraine Februari 20, 2023

Shida mnabishana na ukweli

Muliamini kwamba jamaa kakurupuka tu kwenda bila taarifa kama ulivyodai hpo juuu

Muda huu tena baada ya kuona kama jamaa alitoa taarifa munageuka

Ukweli nikwamba taarifa ilitoka halaf kama kuna mengine yanaingia hapa

Ila hope uko salama dada ake maana umepotea kwel kwel


Jiandae kusikiliza hotuba ya RAIS wa TAIFA na DUNIA
Nimesikiliza hotuba yote ,matarajio yangu na uhalisia wa hotuba yake imekuwa kinyume kabisa.Haikuwa ile hotuba ya makeke na mikwara ya kutosha ya kuhusu Western na usaidizi wao kwa ukraine.Huko mwanzo Putin alikuwa ananyooka moja kwa moja kwenye mikwara.

Putin amekiri hii ni vita na siyo SMO na kuwalaumu Western kwa kuwa chanzo cha hii vita.Nyie mnaosema kila siku hapa kuwa hiyo ni SMO nadhani sasa mtaheshimu kauli ya Putin kuwa hii ni Vita.
 
Usichokijua ni kwamba US ina-control Urusi.
Kwa maana nyingine ni kwamba Biden akiamua aishi Ukraine, vita itakuwa imeisha kwasababu vijana wa putin hawatafanya shambulio lolote ndani ya UKRAINE kwasababu ya uwepo wa Biden ila mwambie yule babu asogeze pua lake kwenye ukingo Odesa oine mizinga itakavyomiminika ndani ya ilo eneo.
Arguments za namna hii, sio type yangu. Ukiamua kua objective na kujadili mambo kwa uhalisia, niquote, tutajadili.
 
Arguments za namna hii, sio type yangu. Ukiamua kua objective na kujadili mambo kwa uhalisia, niquote, tutajadili.
Hiki ulichokiandika hapa ndicho kilipaswa kiwe kwenye koment yako ya kwanza ili wachangiaji wengine wajue kuwa unajadili kwa levo. na hata kama ungeliweka angalizo ilo pia(hukuweka) kwa yoyote atakae kukukoti bado nisingelibadili chochote katika nilichokiandika hapo kwasababu ndicho jibu la maswali yako.
AU NASEMA UWONGO NDUGU ZANGU?.
 
Je ulisikia chochote kutoka kwa Putin Biden jana alipokuwa Kyiv? Putin hajaondoka Russia toka vita ianze anajifungia tu na kubadilisha walinzi wake kila leo, maamae hofu imemtanda
Ndio maana nikasema hujui kitu na sababu kubwa inakufanya usijui mambo mengi ya Putin kwa sababu unasikiliza na kuangalia habari za west pekee jaribu kuangalia na media zingine siyo west tuu..!!
 
Inamaana US wamechunguza nakuona hiyo sehemu sio hatari kwa rais wao?

Mimi ningekuwa Putin ningetuma kitu kitue pembeni kidogo tu just for winning!.
Russia walijua kama Biden anaenda,

Wana utaratibu na sheria ipo ya kuwalinda Diplomats mzee.

Na hazivunji kamwe kwa maslah yao wakubwa.
 
Wtu mnajadili masuala muhimu yaliyobeba mustakabali wa dunia, kama vile mnajadili habari za simba na Yanga!

Unadhani Putin akiwa anafanya ziara zake Marekani huwa hawajui? Nini huwa kinawafanya wasijipenyeze na kumshambulia Putin?

Hii dunia iko very complex kuliko ushabiki wenu. Warusi wanajua, kumgusa rais wa marekani ni kuanzisha vita ya dunia. Upande wa pili, Marekani pia wanajua kumgusa Putin ni kutangaza vita ya nyuklia. Wote wawili hawako tayari kufanya hivyo!

Ndio maana wanataarifiana.

NB: viongozi wengi tu wa ulaya wameshuka hapo Kiev na kuondoka salama. Wakubwa wanajua wanachokifanya!
Kuna convention ya kutowaua marais na top diplomats mkuu.

Wengi wanadandia hizi habari na wandikiri kama wako vijiwe vya kahawa.

Hata international laws na conventions hawazifahamu
 
Ni watu watatu tu walikua na taarifa ya ujio wa Biden ukrane, akiwemo putin mwenyewe
 
Ni watu watatu tu walikua na taarifa ya ujio wa Biden ukrane, akiwemo putin mwenyewe
Ilikua rahisi kutabir ujio wa Babu pale Kyiv kutokana na harakat za vikos vya us ndani ya Poland


Idad ya askar tofaut na wa NATO ilikua kubwa pamoja na magar pendwa yanayotumika na wait haus ambayo walienda kuyatumia ndan ya Kyiv


Jambo ambalo nashindwa kulielewa kwa nin yule Babu waliamua kumtesa kwa kumsafirisha kwa masaa tisa ilhali angeweza kupunguza muda wa safar kwa kutumia dege lenye weled+escort ya madege vita yao yale mpaka pale Kyiv angefanya yake fastafasta km alivyofanya mwishowe wangeondoka zao
 
Nimesoma hii habari BBC Swahili, ni kwamba, maafisa wa Marekani walitoa taarifa kwa Urus saa tisa kabla ya safari kuwa Biden anaenda Kiev kwa ajili ya juhudi za kutatua mgogoro, lakini Biden kafika Kiev kaanza kuongea maneno ya kuchochea vita.

Kama Marekani aliwataarifu Urus, isingewezekana kwa Urus kurusha kombola Kiev.

Kama Biden angeenda Kiev bila kuitaarifu Urus, Urus angeweza kurusha hata kombola na kusema alikuwa hajui kama Biden yupo Kiev.

Pamoja na hayo, je, Urus anaweza kumpiga kombola Biden ikiwa hata Zelenksy mwenyewe hawawez ingawa hawajashindwa kufanya hivyo!

Rejea historia madhara ya kuua kiongozi wa nchi nyingine ni kusababisha vita kubwa. Rejea kifo cha Ferdunand Archduke waziri mjuu wa Austria baada ya kuuawa akiwa na mkewe ndio ilikuwa kama batani ya vita vya kwanza vya dunia kuwashwa. Pia, rejea mauji ya marais wahutu wa Rwanda na Burudni walipouwa kwa pamoja ilivyochochea mauaji ya kimbari nchini Rwanda na Burundi mwaka 1994.

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo convention iliwekwa lini na wapi? Kama ipo kwa nini Putin hajawahi kufika front ya vita mpaka sasa amejificha tu kwenye bunkers zake??
Kuna convention ya kutowaua marais na top diplomats mkuu.

Wengi wanadandia hizi habari na wandikiri kama wako vijiwe vya kahawa.

Hata international laws na conventions hawazifahamu
 
Biden sio diplomat kwa Urusi. Huelewei hata diplomat ni nani.
Umeandika kama vile unafahamu.

Hata vitani, hairuhusiwi kumuua Rais wa nchi adui.

Kwa nini Urussi akipiga Raia Ukraine wanakalamika na Urussi wanakana???

Si waukraine ni maadui!,

basi hata uhalifu wa kivita huujui

KASOME NEW YORK CONVENTION YA MWAKA 1973 Iliyozaa International PROTECTION OF DIPLOMATS CONVENTION MWAKA 1978.

UKISOMA LABDA UTAELEWA KWA NINI ZELE NA WANASIASA WA EU HAWASHAMBULIWI NA RUSSIA WAKIINGIA UKRAINE.

ILISAINIWA NA NCHI 180 zikiwemo 177 za Un enzi hizo ikiwemo Russia. Hao Diplomats ni Head Of States, Ambassadors, Foreign Ministers, Defence Ministers and their familis.

Acheni kukurupuka.
 
Hiyo convention iliwekwa lini na wapi? Kama ipo kwa nini Putin hajawahi kufika front ya vita mpaka sasa amejificha tu kwenye bunkers zake??
Jana naa leo mmeshafafanuliwa kuhusu Cnvention ya UN inaitwa New york Convention ya mwaka 1973.

Hii Convention iliunda sheria ambaayo hata Russia alisaini. Sheria hiyo inakataza Kuua (Trgeted killing) Head of States na Diplomats na familia zao!!!
 
Hiyo convention iliwekwa lini na wapi? Kama ipo kwa nini Putin hajawahi kufika front ya vita mpaka sasa amejificha tu kwenye bunkers zake??
kuna sheria kali tuliwaambia ilitungwa kuwalinda marais na wanadiplomasia wengine ktk vita.

ndo mana Zele alipohutubia Kherson hakusukumiwa Hypersonics.

Muelewe sasa:


Protection of Diplomats Convention
Convention on the Prevention and Punishment of Crimes Against Internationally Protected Persons, Including Diplomatic Agents
Typeanti-terrorism, international criminal law, privileges and immunities; diplomatic relations
Drafted14 December 1973
Signed28 December 1973[a]
LocationNew York, United States
Effective20 February 1977
Condition22 ratifications
Signatories25
Parties180
DepositaryUnited Nations Secretary-General
LanguagesChinese, English, French, Russian, and Spanish
 
Sasa kaosomeni kwanza ndo mje mbishane.

Mkiibishia bila facts nawaacha na uziro wenu.

Hata taarifa ya jana inasemwa kuwa Us waliitarifu Russia kuwa biden anakuja. Ikiwemo viongozi kadhaa wa UN,Nato,EU na nchi za EU.

Wanafumia ndege na inatua Kyiv , Russia hawawezi kuzishambulia. As well as Putin alienda kwenye Brics lakin pia alihutubia Donbas, alikwenda Crimea kukagua Daraja. Kwa nini Zele hakutuma mvua ya HIMARS hapo?
 
Inamaana US wamechunguza nakuona hiyo sehemu sio hatari kwa rais wao?

Mimi ningekuwa Putin ningetuma kitu kitue pembeni kidogo tu just for winning!.
Usiwaamini wazungu pengine wanajua watendalo, Usishangae siku moja Biden akashikana mikono na putin badala ya zele.DUNIA IMEGEUZA MATAKO JUU HII.
 
Wewe akili zako kweli kama za mwendazake tu.Mpe huyu mruke yule.

Huyo Putin angekuwa anaheshimu hivyo sheria za Kimataifa angeangilia mipaka ya nchi nyingine na kufanya annexation? Angekuwa anashambulia hospitali na shule? Angekuwa anafanya forceful deportation wa watoto na raia wa Ukraine kuwapeleka mafichoni Urusi??
Sasa kaosomeni kwanza ndo mje mbishane.

Mkiibishia bila facts nawaacha na uziro wenu.

Hata taarifa ya jana inasemwa kuwa Us waliitarifu Russia kuwa biden anakuja. Ikiwemo viongozi kadhaa wa UN,Nato,EU na nchi za EU.

Wanafumia ndege na inatua Kyiv , Russia hawawezi kuzishambulia. As well as Putin alienda kwenye Brics lakin pia alihutubia Donbas, alikwenda Crimea kukagua Daraja. Kwa nini Zele hakutuma mvua ya HIMARS hapo?
 
HUjui kitu Putin ameshasafiri mara kibao tena kwa gari akiendesha yeye mwenyewe akapita kwenye daraja lilokuwa limevunjwa. Biden yeye katembea usiku kucha kwa train na uzee huo atakuwa amepata shida sana kwa safari hiyo.
Naskia katapika sana kwenye corner mbali mbali 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom