Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anawaandaa vijana mapema kwa mikakati ipi?Akili kubwa ni Prezidenti Bulldozer anayewaandaa vijana mapema ili hatimaye waweze kununua viwanja vyao wenyewe na kujenga makazi yao wenyewe na mahali wapendapo wenyewe bila kuilalia na kuielemea serikali. Utegemezi wa aina yoyote kwa mtu mwenye potential ni ugonjwa hatari sana usioweza kuponyeka, hata kama wangekuja wale madaktari wa India wanaohamishia moyo mgongoni, ubongo tumboni na kesho yake mtu anatembea.
Poor reasoning & lamentable argument.Wakati huohuo kule dona kantri lijitu lipo busy kujenga kwao!
Unajua ukubwa wa Rwanda na idadi ya watu? Unahisi ni kitu sawa kutengeneza udhaifu na morali ya kutafuta kwa wananchi? Utakula na kuishi kwa jasho lako popote duniani hapa,na huwezi fananisha maisha ya nchi moja na nyingine duniani kote,ni ufinyu wenu tu wa kifikra
Unajua ukubwa wa Rwanda na idadi ya watu? Unahisi ni kitu sawa kutengeneza udhaifu na morali ya kutafuta kwa wananchi? Utakula na kuishi kwa jasho lako popote duniani hapa,na huwezi fananisha maisha ya nchi moja na nyingine duniani kote,ni ufinyu wenu tu wa kifikra
Kwa hiyo hapo kagame anazuga!?kumbe ni jasho la hao wazee?Nenda popote duniani kama utakutana na maendeleo ya mtu binafsi yasiyo na jasho lake mwenyewe,kaeni hapa nchini mnajidanganya vijiweni
Utajuaje sasa ya huku kwetu ilhali wewe your president tunajua tangu ileee kitambo tu kwamba ni yule kibaraka Joe Biden!???Anawaandaa vijana mapema kwa mikakati ipi?
CCM waliokota lijitu linalojinyea huko kuja kugombea urais,halina hata goals za kuachieve!Poor reasoning & lamentable argument.
Kwa hiyo hapo kagame anazuga!?kumbe ni jasho la hao wazee?
Siyo vigeugeu hao jamaa. Condition yao inatokana na clinical pathology inayoitwa BCLW (Brains Confined in London & Washington)Ukifika uchaguzi wa Rwanda mtambadilishia jina,mtamwita dikteta Kagame.
Wabongo vigeugeu sana.
🖕🖕🖕Utajuaje sasa ya huku kwetu ilhali wewe your president tunajua tangu ileee kitambo tu kwamba ni yule kibaraka Joe Biden!???
Siyo vigeugeu hao jamaa. Condition yao inatokana na clinical pathology inayoitwa BCLW (Brains Confined in London & Washington)
Kulemaza uwezo binafsi wa mtu ni kumletea kila kitu hapo alipo asijue namna ya kupambana ndio anachokifanya huyo mtawala wa Rwanda, Awape kazi za kufanya sasa hicho chakula kikiisha si watarudi tena kwa rais kuomba chakula maana hawana shughul za kuingiza kipato
Kama ninyi na Mr Mzungu mlikataa kwamba hospitals na schools na barabara siyo maendeleo, wakijenga nyumba hizo si mtaandamana hadi kwa Shevchenko & Trump!???Kenya wameshafanya hivyo kama walivyofanya Rwanda...
Kama ujui kitu kaa kimya
Wewe mtz mpiga mapambio ht ule ujenzi wa pale magomeni Ni shida kuukamlisha, je mtaweza kugawa nyumba kwa raia?
Huku NHC ndio inatumwa na serikali wauze kwa mil 35 kwa nyumba ya kima cha chini sasa mzee kama huyu iyo pesa ataipata wapi hata angeambiwa mil 3 hawezi ndio muijue serikali yenu.View attachment 1684151
View attachment 1684152
View attachment 1684153
Kila aliyekabidhiwa funguo za nyumba alipewa na chakula cha kuanzia maisha. Kijiji kina huduma zote za jamii, kuanzia shule, hospitali, kituo cha Polisi, soko, umeme, maji na barabara.
Syndromes ndiyo hizo vitabia vya kumsifusifu Mzungu na kumwona kila kitu na mkamilifu wakati lengo lao kuendelea kukwapua rasilimali za Afrika kama kawaida yao since old colonialism to neo-colonialism.Ndio zikoje mdau.