Rais Kagame amejenga nyumba kwa wasio na uwezo wa kujenga makazi bora, wengi wao ni wazee.

Rais Kagame amejenga nyumba kwa wasio na uwezo wa kujenga makazi bora, wengi wao ni wazee.

Mwamba mtu wa propaganda sana na amefanikiwa pakubwa sana kuwabrainwash wakurungwa wa bara
 
Akili kubwa ni Prezidenti Bulldozer anayewaandaa vijana mapema ili hatimaye waweze kununua viwanja vyao wenyewe na kujenga makazi yao wenyewe na mahali wapendapo wenyewe bila kuilalia na kuielemea serikali. Utegemezi wa aina yoyote kwa mtu mwenye potential ni ugonjwa hatari sana usioweza kuponyeka, hata kama wangekuja wale madaktari wa India wanaohamishia moyo mgongoni, ubongo tumboni na kesho yake mtu anatembea.
Anawaandaa vijana mapema kwa mikakati ipi?
 
Unajua ukubwa wa Rwanda na idadi ya watu? Unahisi ni kitu sawa kutengeneza udhaifu na morali ya kutafuta kwa wananchi? Utakula na kuishi kwa jasho lako popote duniani hapa,na huwezi fananisha maisha ya nchi moja na nyingine duniani kote,ni ufinyu wenu tu wa kifikra

Kenya wameshafanya hivyo kama walivyofanya Rwanda...

Kama ujui kitu kaa kimya

Wewe mtz mpiga mapambio ht ule ujenzi wa pale magomeni Ni shida kuukamlisha, je mtaweza kugawa nyumba kwa raia?
 
Unajua ukubwa wa Rwanda na idadi ya watu? Unahisi ni kitu sawa kutengeneza udhaifu na morali ya kutafuta kwa wananchi? Utakula na kuishi kwa jasho lako popote duniani hapa,na huwezi fananisha maisha ya nchi moja na nyingine duniani kote,ni ufinyu wenu tu wa kifikra

Kenya wameshafanya hivyo kama walivyofanya Rwanda...

Kama ujui kitu kaa kimya

Wewe mtz mpiga mapambio ht ule ujenzi wa pale magomeni Ni shida kuukamlisha, je mtaweza kugawa nyumba kwa raia?
 
Kulemaza uwezo binafsi wa mtu ni kumletea kila kitu hapo alipo asijue namna ya kupambana ndio anachokifanya huyo mtawala wa Rwanda, Awape kazi za kufanya sasa hicho chakula kikiisha si watarudi tena kwa rais kuomba chakula maana hawana shughul za kuingiza kipato
 
Kulemaza uwezo binafsi wa mtu ni kumletea kila kitu hapo alipo asijue namna ya kupambana ndio anachokifanya huyo mtawala wa Rwanda, Awape kazi za kufanya sasa hicho chakula kikiisha si watarudi tena kwa rais kuomba chakula maana hawana shughul za kuingiza kipato

Unajua hao waliosaidiwa mostly ni wazee ambao wali survive genocide,wengine ni walemavu,wengine watoto wao walikufa wote kwny genocide hawana wa kuwasaidia.

Au ulitaka wasaidiwaje?maana kama ni kufanya kazi wanalima na kufuga kila siku za maisha yao.
 
Kenya wameshafanya hivyo kama walivyofanya Rwanda...

Kama ujui kitu kaa kimya

Wewe mtz mpiga mapambio ht ule ujenzi wa pale magomeni Ni shida kuukamlisha, je mtaweza kugawa nyumba kwa raia?
Kama ninyi na Mr Mzungu mlikataa kwamba hospitals na schools na barabara siyo maendeleo, wakijenga nyumba hizo si mtaandamana hadi kwa Shevchenko & Trump!???
 
Zile pesa zetu zinatosha kabisa kufuta umaskini wa kutupa pale rwanda
 
Ndio zikoje mdau.
Syndromes ndiyo hizo vitabia vya kumsifusifu Mzungu na kumwona kila kitu na mkamilifu wakati lengo lao kuendelea kukwapua rasilimali za Afrika kama kawaida yao since old colonialism to neo-colonialism.
 
Back
Top Bottom