Rais Kamuzu Banda alizitaka Mbeya, Njombe na Songea kuwa sehemu ya Malawi

Rais Kamuzu Banda alizitaka Mbeya, Njombe na Songea kuwa sehemu ya Malawi

Hamia huko. Acha kufananisha nchi maskini kama Malawi na Tanzania. Malawi ni nchi maskini kupindukia. Walipatwa na janga la mafuriko kumbe hata helikopta za kutosha hawana ikabidi wasaidiwe na Zambia. Kwa sasa jirani aliyetuzidi maendeleo ni Kenya tu. Zambia, Malawi, Burundi, Uganda, Rwanda,DRC na Msumbiji hawatuambii chochote.
Hata huyo Kenya ukija kwenye ubora wa raia mmoja mmoja mKenya hamkuti mTanzania.

Mfano Ardhi tu, imeshikwa na wachache huku kwetu hata mpare aliyetoka kijijini mbaga akishauza tangawizi zake anaweza miliki kiwanja akajenga karibu na bahari sababu vinanunulika. Ukija kwenye msosi ndo usiseme.
 
Yupo sahihi, huoni hata tabia za watu wa huko, hiyo mikao ipo Tanzania lakini tabia zao ni za watu wa Malawi kabisa...


Cc: Mahondaw
HApa ungenyamaza maana sasa watu watajua kuwa huna akili. Yaani hawa watanzania wanafananaje kitabia na Wamalawi? Unawafahamu Wamalawi walivyo na kiburi,jeuri na majidai? Kwa nini hupendi kuonekana una akili?
 
Vijana wa hovyo wakina Maghayo na The Stress Challengerr wapo tutawapeleka front line
Nina mashaka na Maghayo
Mwenye hii picha chini

785214.jpg
 
Ngoja waje...Tanzania tumekuwa shamba la bibi, ziwa nyasa hilo linakwenda, ziwa victoria tayari tumepigwa pini, Bagamoyo nayo Zanzibar wanaivutia pumzi waibebe...Bandari,mito na maziwa makuu tumekabizi Dipiiweldi, Mbuga zote na Misitu , tumekabizi kwa waarabu, Madini na Gesi tumekabizi kwa Mchina na Mzungu wanajichotea wanavyotaka...Mwisho wa siku tumebaki na Pumbu tu Mazafanta, #Tusi
Mjoli was Bwana na jpm mpya atazirudisha atakaposhika madaraka mwakani!
 
Ngoja nishauri tupeleke kikosi kikaweke kambi upande wa pili tuchukue kama 100km kutoka ziwani.

Labda ndiyo watatuelewa vizuri.
Kama choko choko haziishi kila wakati itabidi tuanze kutumia mbinu za israel sasa nikuteka maeneo yao yawe kama buffer zone ili tuheshimiane. Pia kutokana na chokochoko hizi na eneo tulipo ni wakati wa Jwtz kupewa bajeti kubwa na maradufu.
 
Iła mipaka ya Tanzania sio swala la mzaha kabisa, hilo ndio eneo kama nchi JWTZ aicheki.
Acha utani mbona tumekodisha sio tu visiwa ila mpaka mbuga kwa wawekezaji? Una overrate uzalendo wa JWTZ unasahau hao hao ndoi walishindwa zuia utoroshaji wa Tanzanite!!
 
Unataka kujuwa nini?
Baada ya Malawi kufanikisha takwa lake la mpaka hapo ziwani; Kenya na wao watadai wakoloni walikosea kuwapa kipande kiduchu cha Victoria. Wanataka mpaka usogezwe; ikiwezekana tule tu-visiwa twote twa Ukerewe tuhamishiwe Kenya!!

Wewe unaonaje, si wanayo haki ya kudai?
Asububi njema Mkuu!!
 
They are stupid najua hata wakati wa uongozi wa yule mama ndio alianzisha hii chokochoko, aisee pale panalindwa kuliko wanavyodhani na hatutaachia hata hatua moja mipaka ilishakuwa settled zamani so wasitutafute ubaya sababu wanajua vema uwezo tulionao.

Africa iligawanywa na wazungu ikawekwa mipaka kila nchi ikapigania uhuru wake na kulinda mipaka yake. Haya yanayokuja kuibuka baada ya miaka zaidi ya 60 ya uhuru ni uhuni tu na hakika hakuna ardhi wataipata kama ni ziwa Nyasa tulishakubaliana miaka kibao ligawanywe katikati na hiyo imekuwa hivyo miaka yote sasa haya wanayoleta kuna kitu wanakitafuta na watakipata watanzania sio wapole kiasi hicho mbona tunawaacha tunwanakaa kwetu hatuwapi shida hata kuwasumbua kuhusu permits zao? Si tunaishi nao tu ? Hakika kwa hili diplomasia ikishindwa naamini kila mtanzania atakuwa tayari kuvaa konbati na kuingia front uzuri watanzania halisi tunajijua when it comes to national interests.
Mtanzania wasasa siyo wa zamani,kukitokea vita,watakaopigana ni wale wanaolipwa mishahara na walioajiriwa kwa kazi hiyo,most of us yawezekana tusijihusishe kivyovyote vile,maana keki ya nchi hailiwi kiusawa.
 
Acha utani mbona tumekodisha sio tu visiwa ila mpaka mbuga kwa wawekezaji? Una overrate uzalendo wa JWTZ unasahau hao hao ndoi walishindwa zuia utoroshaji wa Tanzanite!!
Kukodisha hata kwa bad terms aina maana ya (kugawa) sovereignty ya mipaka.

If anything, we are to bad in contracts negotiations overall.

Swala la Malawi, JWTZ aijaona shida bado; vinginevyo ungeona mazoezi yanafanyika huko.

Halafu unajua Tanzania na nchi zote tunazopakana nazo wao ndio wanaongea lugha yetu (sisi hatujui lugha zao) za kitaifa. Ukitoa maeneo machache ambazo lugha zinaingiliana.

Soma article upate background of the dispute (or add something) on the matter. Achana na siasa za MaCCM kwenye hii mada.
 
Kukodisha hata kwa bad terms aina (kugawa) kugawa sovereignty ya mipaka.

If anything, we are to bad contracts.

Swala la Malawi, JWTZ aijaona shida bado; vinginevyo ungeona mazoezi yanafanyika huko.

Halafu unajua Tanzania na nchi zote tunazopakana nazo wao ndio wanaongea lugha yetu (sisi hatujui lugha zao) za kitaifa. Ukitoa maeneo ambayo hayana kilugha.

Soma article upate background of the dispute (or add something) on the matter. Achana na siasa za MaCCM kwenye hii mada.
Hujanielewa, nachosema hao JWTZ sio malaika ndio maana walipewa mandate ya kulinda Tanzanite ila bado walitorosha. Umesahau mara hii kashfa za Deep Green/Meremeta/Kagoda na ushiriki wa JWTZ. Kwahiyo it's not like JWTZ is not compromised as you term it to be.
 
Hakika kwa hili diplomasia ikishindwa naamini kila mtanzania atakuwa tayari kuvaa konbati na kuingia front uzuri watanzania halisi tunajijua when it comes to national interests.
Nani aliyekudanganya hili? Mtanzania gani akafe kisa rasilimali ambazo wanakula wachache. Lakini pia usijidanganye kuwa ikitokea utapigana na Malawi pekee, itategemeana super power gani yupo upande wao na wetu.
 
Hujanielewa, nachosema hao JWTZ sio malaika ndio maana walipewa mandate ya kulinda Tanzanite ila bado walitorosha. Umesahau mara hii kashfa za Deep Green/Meremeta/Kagoda na ushiriki wa JWTZ. Kwahiyo it's not like JWTZ is not compromised as you term it to be.
Majizi yapo kila sehemu serikalini.

Tafuta historia ya maafisa waliowahi kushika nafasi ya ‘senior army purchasing officers’ karibu yote utakuta ni matajiri kama mawaziri. Serikali ya majizi kila sehemu.

Iła sidhani kama JWTZ inachukulia ulinzi wa mipaka yake poa.
 
Ile vita hata haukuchukua muda mrefu ikawa imeisha wanajeshi wa Nyerere walitoboa meli za adui zikazama adui akaona huu mziki siuwezi akakimbia na alikuwa akisaidiwa na makaburu.
Hata mtaa wa Rufiji jijini Mwanza ulikuwa ukiitwa Banda street baada ya vita hilo jina Banda liliondolewa ukaitwa Rufiji street
 
Back
Top Bottom