Rais Kikwete atangaza nia ya kuanza kwa Ujenzi wa Reli ya Kati kwa kiwango cha Kimataifa (SGR)

Rais Kikwete atangaza nia ya kuanza kwa Ujenzi wa Reli ya Kati kwa kiwango cha Kimataifa (SGR)

Angetuachia ile katiba nzuri ya Warioba legacy yake ingekuwa secured na asingekuwa anahangaika hivi kutafuta mahali pa kujishikiza. Most corrupt president of all time...

Na akikuchekea na lile tabasamu lake feki usibweteke. Stone now knows!
 
A
Kila project kubwa atakuambia ana mchango. Alitoa maagizo akiwa anaondoka madarakani ifanyike. Alianza na uhamisho wa Makao Makuu Dodoma. Akasema ana mkono wake. Wakati tunajua mikono yake ilikuwa kwenye projects nyingi za kifisadi.

Hii SGR anakuambia ilianzishwa na Mkapa yeye sijui akafanya nini then akamwambia Magufuli ajenge. Yaani hata hajielewi.

Kwanini asinyamaze aonekane ana busara? Kwani ni lazima naye aongee aongee? Au umri nao ni tatizo? Amwache Samia afanye kazi bila naye kujichomekq chomeka.

Kwa nini asinyamaze? Au yeye hapendi kuonekana ana busara?
Acha nongwa kijana nchi haijengwi siku moja bali ni progressive steps. Ana mchango ndio, sasa unabisha nini? Halafu unataka asiongee ili iweje? Wewe mbona kucha kutwa unabwabwaja? Unataka kuwafuga mdomo wazee sio?
 
Kila project kubwa atakuambia ana mchango. Alitoa maagizo akiwa anaondoka madarakani ifanyike. Alianza na uhamisho wa Makao Makuu Dodoma. Akasema ana mkono wake. Wakati tunajua mikono yake ilikuwa kwenye projects nyingi za kifisadi.

Hii SGR anakuambia ilianzishwa na Mkapa yeye sijui akafanya nini then akamwambia Magufuli ajenge. Yaani hata hajielewi.

Kwanini asinyamaze aonekane ana busara? Kwani ni lazima naye aongee aongee? Au umri nao ni tatizo? Amwache Samia afanye kazi bila naye kujichomekq chomeka.

Kwa nini asinyamaze? Au yeye hapendi kuonekana ana busara?
Mwenzako ameshakuwa Rais wa nchi anajua mengi kuliko wewe ambaye hujawahi kusimamia hata ukarabati wa njia ya mtaa kwa kuziba makorongo kwa vifusi.

Unadhani serikali huwa inakuwa na short term projects pekee?

Kuna miradi ni long term projects inaweza kuanzishwa na serikali ya let say ya awamu ya tatu lakini ikaja kukamilishwa na serikali awamu ya tano.

Sasa Rais mstaafu kusema project fulani zilianzia kwake wewe unaona anajifaharisha?

Chuki ni kitu kibaya sana ukiendekeza.
 
Kila project kubwa atakuambia ana mchango. Alitoa maagizo akiwa anaondoka madarakani ifanyike. Alianza na uhamisho wa Makao Makuu Dodoma. Akasema ana mkono wake. Wakati tunajua mikono yake ilikuwa kwenye projects nyingi za kifisadi.

Hii SGR anakuambia ilianzishwa na Mkapa yeye sijui akafanya nini then akamwambia Magufuli ajenge. Yaani hata hajielewi.

Kwanini asinyamaze aonekane ana busara? Kwani ni lazima naye aongee aongee? Au umri nao ni tatizo? Amwache Samia afanye kazi bila naye kujichomekq chomeka.

Kwa nini asinyamaze? Au yeye hapendi kuonekana ana busara?
Kweli kabisa mswahili ni mswahili tu
 
Mwenzako ameshakuwa Rais wa nchi anajua mengi kuliko wewe ambaye hujawahi kusimamia hata ukarabati wa njia ya mtaa kwa kuziba makorongo kwa vifusi.

Unadhani serikali huwa inakuwa na short term projects pekee?

Kuna miradi ni long term projects inaweza kuanzishwa na serikali ya let say ya awamu ya tatu lakini ikaja kukamilishwa na serikali awamu ya tano.

Sasa Rais mstaafu kusema project fulani zilianzia kwake wewe unaona anajifaharisha?

Chuki ni kitu kibaya sana ukiendekeza.
Mradi huwa unaanza pale unapoanza kutekelezwa kwa vitendo, hayo mambo mengine huwa ni mbwembwe tu.
 
Hivi unadhani mchakato wa kujenga SGR umechukua mwaka mmoja au miwili? Ni sahihi alivyosema kuwa mchakato ulianza tangu enzi ya Mkapa. Pengine ingewezekana labda ujenzi ungeanza mapema zaidi lakini nina hakika yale ma'feasibility studies' na ma'costing' siyo kitu cha kutengeneza mwaka mmoja au miwili, wachilia mbali kutengeneza hayo matenda husika.

Rapid Transit yenyewe ilichukuwa zaidi ya miaka kumi kukamilika itakuwa SGR?

Musichukulie kila kitu kuwa negative jamani mengine ni historia tu.
Sasa mbona hakujenga!
 
Pamoja na hayo elewa kuwa hakuna mradi mkubwa unafikiriwa na kuanza ndani ya miaka 5 au 10 mawazo na tathimini vinakuwepo kabatini ila pesa ndio hakuna rais anayekuja anaangalia aanze na kipi aache kipi wakati huo naye anaanzisha mawazo mapya ambayo pengine yatatekelezwa na rais ajaye, Au unataka aseme uongo kama wabunge, wakiletewa barabara kwenye jimbo lake anajidai eti yeye ndiye kasababisha hiyo ije wananchi hawajui hiyo barabara iliombwa pengine miaka 20 iliyopita ila fedha ilikuwa bado haijapatikana.
 
Kila project kubwa atakuambia ana mchango. Alitoa maagizo akiwa anaondoka madarakani ifanyike. Alianza na uhamisho wa Makao Makuu Dodoma. Akasema ana mkono wake. Wakati tunajua mikono yake ilikuwa kwenye projects nyingi za kifisadi.

Hii SGR anakuambia ilianzishwa na Mkapa yeye sijui akafanya nini then akamwambia Magufuli ajenge. Yaani hata hajielewi.

Kwanini asinyamaze aonekane ana busara? Kwani ni lazima naye aongee aongee? Au umri nao ni tatizo? Amwache Samia afanye kazi bila naye kujichomekq chomeka.

Kwa nini asinyamaze? Au yeye hapendi kuonekana ana busara?
Ni busara kwa yeye kukaa kimya badala ya kulazimisha watu waone kafanya kitu.

Tunajua wapi kafanya vizuri kikwete tutamsifia sisi. Mbona kama anaomba misifu
 
Kila project kubwa atakuambia ana mchango. Alitoa maagizo akiwa anaondoka madarakani ifanyike. Alianza na uhamisho wa Makao Makuu Dodoma. Akasema ana mkono wake. Wakati tunajua mikono yake ilikuwa kwenye projects nyingi za kifisadi.

Hii SGR anakuambia ilianzishwa na Mkapa yeye sijui akafanya nini then akamwambia Magufuli ajenge. Yaani hata hajielewi.

Kwanini asinyamaze aonekane ana busara? Kwani ni lazima naye aongee aongee? Au umri nao ni tatizo? Amwache Samia afanye kazi bila naye kujichomekq chomeka.

Kwa nini asinyamaze? Au yeye hapendi kuonekana ana busara?
Kwan hakuna kilichofanyika wakati wake aseme hicho? Mpaka aseme walivyofanya wengine? Yawezekana hakuna!
 
Kila project kubwa atakuambia ana mchango. Alitoa maagizo akiwa anaondoka madarakani ifanyike. Alianza na uhamisho wa Makao Makuu Dodoma. Akasema ana mkono wake. Wakati tunajua mikono yake ilikuwa kwenye projects nyingi za kifisadi.

Hii SGR anakuambia ilianzishwa na Mkapa yeye sijui akafanya nini then akamwambia Magufuli ajenge. Yaani hata hajielewi.

Kwanini asinyamaze aonekane ana busara? Kwani ni lazima naye aongee aongee? Au umri nao ni tatizo? Amwache Samia afanye kazi bila naye kujichomekq chomeka.

Kwa nini asinyamaze? Au yeye hapendi kuonekana ana busara?
Huyu kwa sasa, ameshapoteza dira.Sasa, kama Mkapa alikuachia, miaka 10 ulikuwa unafanya nn? Anaanza kurukia kazi walizofanya wengine:
 
Hivi unadhani mchakato wa kujenga SGR umechukua mwaka mmoja au miwili? Ni sahihi alivyosema kuwa mchakato ulianza tangu enzi ya Mkapa. Pengine ingewezekana labda ujenzi ungeanza mapema zaidi lakini nina hakika yale ma'feasibility studies' na ma'costing' siyo kitu cha kutengeneza mwaka mmoja au miwili, wachilia mbali kutengeneza hayo matenda husika.

Rapid Transit yenyewe ilichukuwa zaidi ya miaka kumi kukamilika itakuwa SGR?

Musichukulie kila kitu kuwa negative jamani mengine ni historia tu.
Kila kiongozi aseme alipoishia sawa.
 
Back
Top Bottom