Tetesi: Rais kujichimbia Arusha neema ya Sukari inakuja . . .

Hahahhah nchi hii kila mtu maigizo na attention seeker kuanzia Gigi money mpk HiS highness
 
Natamani na wale waliozoa cement ya Dangote ambayo tulikuwa tununue nao watumbuliwe. Ilipotoka tu waliinunua yote na kuifanya isipatikane mitaani. Haya nayo ni majipu na yatumbuliwe ili turahisishiwe kujenga nyumba bora.

Nao ni wahujumu uchumi tu, Taarifa ikimfikia bwana mkubwa wataisoma namba . . .
 
Wacha we! Ni mwendo wa kutafutana mtu kwa hakuna atakayesalimika kwa kufanya uhujumu uchumi.
 
Fungia na ujinga wako ili upate atleast akili ya kuvuka barabara . .
Swali la kujiuliza wewe mwerevu ni haki raisi wa nchi kumfuata muuzaji wa sukari awe mkubwa au mdogo kwa sababu amefungia tani kwa tani stoo kwake? Raisi wa nchi hawezi kutoa order akiwa kitandani kwake amelala na akasikilizwa especially kama anajua anachofanya ni sawa? Hizi ni dharau kwa kiongozi wa nchi, Eti anamfuata muuzaji wa sukari!!!!!!!!!!!

Atafuata wangapi? Leo hii watokee watu wabinafsi kama hawa wanaoficha sukari wakaficha chumvi je atawafungia safari?

Hayo ndio maswali machache mtu mwerevu angepaswa kujiuliza. Sio kushangilia drama na maigizo yasiyoisha ilhali mimi na wewe hatuoni unafuu wowote kwenye maisha yetu.
 
Kuna sababu gani kuwa na mawaziri kama ndio kweli unayosema?
 
ukweli ni kwamba serikali ifanye survey na iagize sehemu pungufu ya sukari inayopungua nje ya nchi kufidia hilo gap. hao wanaofungia waacheni wafungie mpaka ioze. cha muhimu serikali ikusanye kodi yake. suala la kuvipa uwezo viwanda vya ndani haliwezi kufanyika overnight. ni suala la mpango wa muda wa kati na mrefu na pengine Magufuli atamaliza miaka yake ya uongozi na pengine asifikie hata 50%. tunatambua nia yake njema juu ya kukuza viwanda vya ndani. lakini hiyo isiwe excuse ya kupambana na uhaba wa sukari kwa ku-import kuliko kupambana na hao wanaotaka ku-make profit, na asisahau kuwa hao hawana hata chembe ya huruma kwa wananchi. hatukuyaona haya katika utawala uliopita na sioni sababu ya kupambana na hao wafanyabiashara katika utawala huu kama kuna njia mbadala.
 
JPM Mungu akubariki sana hakika.....tuna kiongozi madhubuti majizi na malanguzi yote sasa........yanatafuta pahala pa kujificha
 

Hii ndio aina ya uongozi ya JPM, anasukuma mambo kwa nguvu hataki kuwa mtu wa kulala kitandani na kutoa order, Walishatokea viongozi wa kulala kitandani na kutoa order ila nini kilitokea . .???
 

Sikubaliani kabisa na hii kauli yako

"suala la kuvipa uwezo viwanda vya ndani haliwezi kufanyika overnight. ni suala la mpango wa muda wa kati na mrefu na pengine Magufuli atamaliza miaka yake ya uongozi na pengine asifikie hata 50"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…