Tetesi: Rais kujichimbia Arusha neema ya Sukari inakuja . . .

Huyu jamaa akiwa ziarani mikoani lazima kuna jipu limeiva.akirudi lazima alitumbue
 
Umeandikama kama ongea ya Magufuli bila hiyana nami nikarudia kusoma kwa sauti ya Magufuli nikajikuta nacheka mwenyewe kama ambavyo huwa nacheka kwenye hotuba zake anavyo ongea! Hicho ni kipaji hongera
 

Wewe kuna mahali umemwona Rais amekwenda kwenye ghala la mtu? Yeye Kazi yake ni kutoa msimamo wa Serikali na kuagiza vyombo vya dola kuchukua hatua stahiki... Acha kupotosha kinacho fanyika . Kama yuko Arusha na akatoa tamko kuhusu mhujumu uchumi aliyeko Arusha haimaanishi yeye ndiyo anaenda kumkamata..! Au ulitaka arudi kwanza Dar ndiyo atoe tamko?!! Hamtashinda safari hii... Kaeni mkao wa kuchomwa sindano tu....
 
Distortion! Completely its unworth article
 
Swali ni je ni sawa yeye kufunga safari kumfuata muuzaji wa sukari? Ninavyofikiri angekuwa busy yeye na watendaji wengine kuhakikisha hiki kitu hakijirudii, sukari iliyofichwa ikiisha nini kitafuata......?
Hii ndio aina ya uongozi ya JPM, anasukuma mambo kwa nguvu hataki kuwa mtu wa kulala kitandani na kutoa order, Walishatokea viongozi wa kulala kitandani na kutoa order ila nini kilitokea . .???
 
King David of Tz. Hashindwi vita. Mungu ako mbele yake milele.
 
Kwa hiyo kama asingekuwa na safari ya arusha huyu muuzaji wa sukari asingetumbuliwa? Tuacheni utani, hii ni nchi haiongozwi kwa kutishana na maigizo. Mimi ni mtanzania mwenye uchungu, maisha yangu ya kuunga unga sindano nachomwa kila siku. Kinachofanywa na uongozi huu hadi sasa hakijaonyesha dalili ya kubadilisha maisha ya mtanzania wa hali ya chini. Huo ndio ukweli.
 
Yaani akina Chenge eti?
 

Ulitegemea mabadiliko gani ndani ya miezi bila ya kusafisha kwanza uozo na kuwekana sawa...... Kama ulitegemea miujiza basi kaa kimya...
 
tumuombee rais wetu kama anavyotuomba kila siku, haya mambo yanarisk maisha yake sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…