Sasa binti kama huyu tayari aendesha asasi isiyo ya kiserikali na moja ya majukumu yake ni kuhakikksha wananchi wanawezeshwa kiuchumi na kijasiriamali.
wewe utateuliwa lini mkuu ?Sasa binti kama huyu tayari aendesha asasi isiyo ya kiserikali na moja ya majukumu yake ni kuhakikksha wananchi wanawezeshwa kiuchumi na kijasiriamali.
Hivyo kumteua kuwa DED ni katika dhima hiyo ya kuleta maendeleo katika eneo husika kwa kumtumia mtu ambae tayari yumo katika mchakato.
Pia huyu binti amesoma na ni mwanasheria hivyo katika masuala ya utawala hawezi kupata shida katika kuhakikisha sheria na kanuni zinafuatwa hapo anapopelekwa.
Hapa naungana kabisa na baadhi ya hizi teuzi.
Mimi nafasi niliyo nayo siwezi kuteuliwa wala kutenguliwa.wewe utateuliwa lini mkuu ?
Utumishi wa umma umevurugwa, halafu ofisi ya Rais Utumishi ukitaka kuwa mkuu wa ka idara tu kadogo wanataka uwe mwandamizi, nafasi kubwa zaidi kama u Ded wanawapa uvccm, huu ubaguzi wa kipuuzi kabisa. na utumishi hauna ladha tenaDuuuuhh.
Kazini kuna wasomi na wabobezi wenye uzoefu kwenye mambo ya management lakini hawajateuliwa kwakuwa si wanaccm
Ha ha ha nahisiAsante mrembo, vipi pork kashalimwa ban nini 😅?
Photoshop zimekuchanganya ukikutana nae live utamkataaHuyu Joanfaith ameolewa?mwenye mawasiliano yake hata email please. Naahidi kumheshimu na kumpenda daima
Hahaha eti muwasho muwasho . . . Nimecheka sanaSasa katoto kama hako kametoka chuo kikuu juzi,
Hayo mambo katayasimamia?
Katoto kadogo ambako bado kana muwasho muwasho?
Kachemsha kweliDaah, hapa mama kachemka kweli kweli.
Hao Wana qualifications zipi maana DED inabidi awe mziefu na experience nzu
Ni mtu mzito kweli kweli. DED ndio anaweza kuwa promoted kuwa RAS, na baadaye hata kuwa katibu mkuu wa wizaraTuna utani sana na pesa za walipakodi. DED kimajukumu ni mtu mzito, kuwapa hawa makada fresh from school ni ishu kubwa sana
Sasa wasio wazoefu wanajifunzia wapi, acheni kukuza mambo kwa kisingizio cha experience siwatapewa induction flani kabla ya kuanza
View attachment 1877625
View attachment 1877629
View attachment 1877630
Hawa ni baadhi ya vijana wadogo kabisa toka UVCCM walioteuliwa kuwa makurugenzi.
KWA MUJIBU WA MEMORANDA YA FEDHA SERIKALI ZA MITAA(LGA) HAYA NDIO MAJUMKUMU MAZITO YA DED
1. Ensuring the existence of a formal and satisfactory system of financial administration;
2. Securing compliance with the prescribed financial procedures by operating departments;
3. Directing the work of the Internal Audit section, receiving their reports and after consultation with relevant head of departments, ensuring recommendations and acted upon and submitted to relevant authorities;
4. Overall management of Council’s expenditures, revenues, and all assets and liabilities;
5. Ensuring compliance of all statutory guidelines for the financial Management of Council affairs;
6. Responding to queries within given deadlines from the Office of the Controller and Auditor General, the Local Authority Account Committee (LAAC) and the Minister;
7. Making certain that councillors are kept regularly informed of the financial affairs of the Council;
8. Being secretary to the finance Committee;
9. Making sure that computerized system operates;
10. Keeping under good Custody all assets and property of the Council; and
11. Adhering to procurement functions stipulated in Public Procurement Act and its related
KWA TAFSIRI ISIYO RASMI
1. Kuhakikisha kunakuwa na mfumo rasmi na wakuridhisha katika usimamizi wa fedha
2. Kuhakikisha idara zinafanya matumizi kwa mujibu wa taratibu za fedha
3. Kuhakikisha kitengo cha ukaguzi wa ndani kinafanya kazi vyema, kupokea taarifa za ukaguzi wa ndani, na kwa kushirikiana na wakuu wa idara ahakikishe maoni ya mkaguzi wa ndani yanajibiwa na kutekelezwa na anawasilisha majibu hayo kwa mamlaka husika ambazo ni CAG, RAS na Chief Internal Auditor
4. Usimamizi wa matumizi, mapato, mali na madeni yote ya halmashauri kwa ujumla
5. Kuhakikisha sharia, sera, kanuni na miongozo yote ya usimamizi wa fedha za halamashauri inafuatwa.
6. Kuhakikisha kuwa anajibu kwa wakati hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa(LAAC) na wizara
7. Kuhakikisha waheshimiwa madiwani wanapata taarifa za fedha za halamashauri
8. Kuwa katibu wa Kamati ya fedha ya Halamshauri. Kamati hii wajumbe wake ni madiwani.
9. Kuhakikisha mifumo ya kompyuta inafanya kazi
10. Kuhakikisha utunzaji mzuri wa mali za Halmashauri
11. Kuhakisha sharia ya manunuzi ya umma na kanuni zake zinafuatwa
MAJUMKU MENGINEYO
1. Kuidhinisha malipo
2. Kuidhinisha mikataba yote ya halmashauri
3. Kuteua Bodi ya Zabuni kwa mujibu wa sharia
4. Kuteua Kamati ya Ukaguzi(Audit Committee) kwa mujibu wa sharia
5. Kuwa mkurugenzi wa uchaguzi ngazi ya wilaya pale inapotokea
6. Kuteua kamati ya upembuzi wakati wa manunuzi makubwa
MY TAKE
Hii kazi sio rahisi kama mashabiki wa mwendo kasi mnavyodhani. Huyu mtu anaenda kuwa msimamizi wa idara 19 pale halmashauri. Ikiwepo idara ya elimu na afya zenye changamoto za kufa mtu. Huyu mtu ndio anaenda kukuza uchumi wa wilaya na kuongeza pato la taifa kupitia wilaya yake. Mikataba mikubwa ya mabilioni ya fedha za ujenzi wa miradi ya maendeleo inaenda kuidhinishwa na yeye baada ya kujiridhisha kila kitu kiko sawa.
Anakwenda kusimamia matumizi ya mapato ya ndani ya zaidi ya bilioni 20 mfano Manispaa ya Kinondoni mpaka milioni 500 kwa halmashauri mpya. Anakwenda kusimamia ruzuku ya serikali mabilioni ya fedha.
Anakwenda kusimamia ufungaji wa hesabu na kujibu hoja ngumu za CAG kama tulivyoona hapo juu, matokeo yake unashindwa kuzuia au kujibu hoja unaanda maburungutu ya kuhonga wakaguzi
Kwa maoni yangu, serikali isione aibu, pangia hawa watu wasio na sifa majuku mengine mara moja. System inajua nani mwenye uwezo na asiye na uwezo
Mjadala
Je, huku ni kunajisi utumishi wa umma?
Ni ngumu kwani hazijawahi kufanyika? Hizo idara 19 unazozisema zote zina wakuu wake wa Idara
Mkuu naomba nikuulize kitu PM kama utaona inafaa!Hako ka juu kana pacha wake ni wakali balaa,Ni watoto wa mbunge mstaafu wa CCM Bukoba mjini.
Walikuwa watukutu na malaya toka wadogo.
KaribuMkuu naomba nikuulize kitu PM kama utaona inafaa!
Ila nilivoona hao makada nakupitia page zao aisee, naamini hii nchi tumerogwa na aliyeturoga alaaniweHuwezi kwenda kujifunzia kazi kwenye nafasi muhimu Kama mkurugenzi wa halmashauri. Uzoefu ni muhimu sana Kama tutakuwa serious.
Duh sasa Hawa mbona hawana pia qualifications za hyo masters. Ccm inakotupeleka, Mungu ndo anajua.Inabidi awe na experience angalau ya miaka 10 ya utendaji katika halmashauri
Ka ni ummy kateua hata hyo nafasi aliyopo imemshinda. Na hivi Sasa hivi nchi iko ka hamna Rais kila mtu anajifanyia atakalo na hamna wa ku control mwingine. Teuzi ya DED zimekuwa hovyo kuliko UDCHuu ni Uteuzi wa Ummi Mwalimu, huenda Rais anataka kuwaamini watu wake wamfanyie kazi ila ameshindwa kujua kuwa hao watu wote ni watu wa dili.
Ummi hajawa smart kiasi umuachie jukumu la kukuletea majina ya Wakurugenzi.
Jambo baya anafanya Rais wetu ni kukaa akiamini ana watu wenye akili na nia njema, sasa hivi hali ni mbaya sana kwani watendaji wake wanajua hakuna tena wa kuwagusa mbona Rais anadanganywa anakubali mwisho wake ndio haya madudu.
Nyinyi mliopo karibu na Rais muambieni asitengeneze mazingira ya kuja kutumia polisi 2025 wananchi watakapotaka kubadili huu ujinga unaoendelea.
Ukiona mbwa juu ya mnazi ujue kuna mtu kampandisha huko! UWT, UVCCM, nk ni kichaka cha kuwatunza "viburudisho" vya wakubwa! Ukiona mkeo aliyejaliwa sura na umbo kaingia UWT ndio hivyo tena.....hata kiranja wetu mkuu unadhani kutoka masijara hadi hapo kitu gani kilimbeba?Hivi kweli hako kadada Form four kwetu kwa wakulima wa mpunga Kwetu Malinyi kweli tumepata hasara sura ya kitoto kweli jamani anyway macho yangu Basi kari
Hivi kweli hako katoto Kataweza hapa Malinyi kwenye mpunga wetu labda ,,, Basi karibu tyu tujipatie mke maana inaonekana hujaolewa Bint na suala inafaa kuwa mke wa maonesho,, Lakini hako ka Joanfaith hakawezi kupaisha Uchumi wetu wa Malinyi anyway nisiandike mwishowe nikakosea