Rais kuteua makada UVCCM kuwa Wakurugenzi ni kuvuruga Utumishi wa Umma

Rais kuteua makada UVCCM kuwa Wakurugenzi ni kuvuruga Utumishi wa Umma

Bora wangeteuliwa hata maafisa elimu kata kwenye digiri na uzoefu wanao.Hao watoto hata kuwa maafisa utumishi hawajawahi Fanya.Hii ni dharau sana
Sasa wasio wazoefu wanajifunzia wapi, acheni kukuza mambo kwa kisingizio cha experience siwatapewa induction flani kabla ya kuanza
 
Hata huo upigaji ni vile serikali inaruhusu kwanini wasiweke mifumo inayozuia huo upigaji na hyo mianya yote huko serikalini?
Wenzetu wamewezaje kuzuia hyo Hali na sisi kwanini tushindwe
Hakuna cha mfumo ,hao mademu saizi watazungukwa Sana hadi wake kukaa sawa sio leo wala kesho.
 
Sasa wasio wazoefu wanajifunzia wapi, acheni kukuza mambo kwa kisingizio cha experience siwatapewa induction flani kabla ya kuanza
Nikwatwe Tozo wewe uje ujifunzie namna ya kutumia,aibu kubwa
 
ni vema kujifunza..
Ila km hujawai kufanya kazi hata kuwa mkuu wa kitengo au idara aombe Mungu.
Wazoefu Wanaweza kukuyumbisha akajikut anaingiza halmashauri kwenye migogoro.
Pili inawavunja moyo watu waliotumikia kwa umakini na unyenyekevu nafasi zao na wana vigezo vya uteuzi ila hawateuliwi wakikata tamaa utaumiz wengi.hawatakuwa na moyo wa kujitoa km awali
Watu wengi tunaangalia tulipoanguka siotulipojikwaa; mfano watu wengi wapo lazy..Ila hatuangalii.kwa nn wapo lazy..
Ni Sawa na kumlaumu kwa nn baba hakumpeleka mama hospital kwa tax au bodaboda katumia baiskeli au daladala wakati hiyo baiskeli tu ya kufika hospital kaiazima Ili asevu pesa ya matibabu ya mama kutokana a mavuno haba aliyoyapata msimu ulopita na hajawai kukulalamiia japo unajua na ww mtt umefanikiwa Umeanza matanuzi na maamuzi ya kujijenga ww kwanza ukiamini muda Upo utawakumbuka.
Nyie watumishi wa umma huwa hamtaki wengine walioko sector binafsi kupata nafasi na kutumikia wananchi na wengi hutumia kigezo sijui kuvunjika moyo sijui uzoefu, I'm telling you kazi ukipewa msasa na semina unafanya vizuri tu bila shida yoyote na kwa ufanisi, hii mazoea ya kutowapa wengine fursa vile eti ni wageni sio fair sasa watajifunza lini?
Nyerere alikuwa waziri mkuu akiwa kijana, Ahmed Salim akiwa fresh na mdogo na alifamya makubwa, kikubwa watu wapewe nafasi kuonyesha uwezo wao.
 
Afuu wanasema sisi tukajiajir,hizi nafasi ilibd ziwe wazi watu tupige usaili

Qualification inaweza kuwa masters or PhD ya mambo fulan fulan
 
Watoto wa masikini wametuweka wa kuenda kupiga interview utumishi hata kumi bila mafanikio,wakati wengine wanaenjoy mema ya nchi kirahisi sana, Wana nafasi zao maalum.
 
Hako cha juu kabisa kamefikisha miaka 18? anyway kwa record zake sitashangaa huyu Rais akimpa ajira under age.

Tuseme ukweli tu, Samia amechoka sana akili ndio maana mambo yake mengi anakosea tu.
Mkuu uyo binti Kichwa na mwili haviendani. Kwa mwili ni Mkubwa, ana shape matata, mguu wa bia. Inshort Ded ni mkali aisee
 
Hapa jaman tutafute tu katiba mpya ,sasa kama makada ndo ma DED na ndo watasimamia chaguzi kuna free and fair election hapo jmn ? Yaan MTU akupe mchongo mwisho wa siku uje umwangushe kwenye uchaguzi eti uwape CHAUMA?AU ACT WAZALENDO?

THUBUTUU ......IFIKE MAHARI TUPATE KATIBA JAMN
 
IMG_20210802_214312_289.JPG
 
Ufala kweli yaani kada ni wa kumteua ded nilidhani mama atafata sheria kumbe nae ni walewale tu
 
Back
Top Bottom