Kwani aliyemaliza Chuo na hana ajira, hastahili kuteuliwa?
Roho ya kwanini siyo nzuri Arawa.
Inaelekea wewe ni mjinga tu! Mkurugenzi anapaswa kuwa na uzoefu wa kazi angalau hata namna ya kusimamia watumishi wenzake. Mtu anateuliwa kuwa mkurugenzi hajawahi hata kuwa katika ofisi ya umma ni ufisadi!Kwani aliyemaliza Chuo na hana ajira, hastahili kuteuliwa?
Roho ya kwanini siyo nzuri Arawa.
Unajua kazi ya DED?Kwani aliyemaliza Chuo na hana ajira, hastahili kuteuliwa?
Roho ya kwanini siyo nzuri Arawa.
Ni kweli hakuna kazi ngumu na ded lazima awe mmoja it does Not matter katoka wapi ....Nyie watumishi wa umma huwa hamtaki wengine walioko sector binafsi kupata nafasi na kutumikia wananchi na wengi hutumia kigezo sijui kuvunjika moyo sijui uzoefu, I'm telling you kazi ukipewa msasa na semina unafanya vizuri tu bila shida yoyote na kwa ufanisi, hii mazoea ya kutowapa wengine fursa vile eti ni wageni sio fair sasa watajifunza lini?
Nyerere alikuwa waziri mkuu akiwa kijana, Ahmed Salim akiwa fresh na mdogo na alifamya makubwa, kikubwa watu wapewe nafasi kuonyesha uwezo wao.
Ni makada na watoto wa wakubwa. Unajua ishu ni ukosefu wa ajira kwa hiyo kuna watoto wa wakubwa ajira hawana ila wazazi wao wanazo connection nzito na ndio maana wameteuliwa.Hapa 99.9% Ni makada wa CCM
Hii nchi jamani kweli kuna haya mambo ya kuzaliwa kwenye silver spoon hapo.
Kuna mteuliwa UDE namfahamu tokea amalize chuo ajira yake ya kwanza ni kuteuliwa uded.
Magufuli alifanya hivyo kwenye uteuzi wa Ma DAS naona mama kamuiga au kahujumiwa.
Mama embu angalia vizuri CV za hao wateule wako.
Nyingine zitakuwa zimebumbwa embu zifuatilie usibitishe ukweli
Panda gari za malinyi. Ukifika stendi tafuta bodaboda akupeleke ofisi ya halmashauri utamkuta hapo.Huyu Joanfaith ameolewa?mwenye mawasiliano yake hata email please. Naahidi kumheshimu na kumpenda daima
Shida watu wanasifa za maDED ambao hawaexist in real world wakiteuliwa wazee wanasema wameteuliwa vijana wanasema nikuwapuuza ndyo njia sahihi ta kuishi nayo coz hata huyo lissu angekuwa rais asingeteua watu nje ya bavichaI was told, They can't employ me because I don't have the experience! Also, they don't want to give me the job so that I get the experience!
Kila jukumu ulilo orodhesha, Lina wafanyakazi wengi nyuma yake kuanzia walio ajiriwa karibuni mpaka waliokwenda likizo ya kujitayarisha kustaafu! Hivyo basi hawa wateuliwa wapya watakuwa na watu wakuwaongoza. Pia kutakuwepo na mafunzo ya hapa na pale ya kuwa endeleza. Hawa vijana wamesheheni energy na kama mtu yuko tayari Kujifunza, muda mchache ataweza kumudu huo uongozi.
Pia hawa vijana communication/informations za kujiendeleza ni nyingi siyo kama wakati ule wa 90s, internet inasaidia sana na social media inasaidia kukuelimisha unapokwama.
This is a good move to expose the young people to uongozi hence soon watakuwa na "EXPERIENCE" NE!?
Acha tujaribu na damu changa hivi vibabu vipenda ngono vimetuchosha kwanza havikawii kwenda na koronaHii nchi jamani kweli kuna haya mambo ya kuzaliwa kwenye silver spoon hapo.
Kuna mteuliwa UDE namfahamu tokea amalize chuo ajira yake ya kwanza ni kuteuliwa uded.
Magufuli alifanya hivyo kwenye uteuzi wa Ma DAS naona mama kamuiga au kahujumiwa.
Mama embu angalia vizuri CV za hao wateule wako.
Nyingine zitakuwa zimebumbwa embu zifuatilie usibitishe ukweli
Kama kweli ni family tree basi watoto wa wakulima watasubiri sana.Last name matters
..
Nimeona last name za CCM family tree..
Gama,Sadick ..the list is endless
Kazi ya kulibomoa taifa?!Watu mtaendelea kulalamika mpaka mwisho wa nyakati.
Kazi iendelee
Mkuu umenena vyema kabisa. Haipendezi a schooler kupata first appointment katika position ya mtu anayetakiwa kuwa na sifa ziada ya experience, mimi naona sasa. NI UBATILI MTUPUKabisa watu hawaelewi ,kuna position ni lazima uwe mtumishi wa umma kwanza ,sasa mtu ametoka chuo hana ajira halafu anateuliwa kuwa DED.
Weka jina.
Hizo sheria anazifahamu?!nilidhani mama atafata sheria kumbe nae ni walewale tu