Rais Lazarus Chakwera wa Malawi kuzuru Tanzania

Rais Lazarus Chakwera wa Malawi kuzuru Tanzania

Kesho Rais Wa Jamhuri Ya Malawi Dr Chakwela
Atafanya Ziara Hapa Tanzania Kwa Siku Tatu
Kuanzia Tarehe 07.10.2020 ~ 09.10.2020
Ziara Yake Ni Kuafuatia Mwaliko Wa Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Dr Magufuli, Hivyo Lengo Ni Kuimalisha Mahusiano Mazuri Yaliyopo Kati Ya Nchi Mbili Hizi, Tanzania Na Malawi.


Tanzania Kwasasa Inaelekea Kwenye Uchaguzi Mkuu Wa Rais, Muda Huu Nchi Imepata Kutembelewa Mpaka Sasa Hivi Na Marais Hawa, Rais Wa Uganda Mheshimiwa Yoweri Museveni Alikutana Na Mwenyeji Wake
Mkoani Geita, Wilaya Ya Chato

Hapo Walizungumzia Bomba La Mafuta Kutoka Hoima Uganda Hadi Tanga Tanzania Waliweka Saini Kazi Indelee.

Tulipata Kutembelewa Na Rais Wa Burundi
Walikutana Na Mwenyeji Wake Mkoani Kigoma Ambapo Pamoja Na Mazungumzo Walizindua Jengo La Mahakama Kuu Lilipo Kigoma.

Ziara Ya Kesho Watakutana Dar es Salaam Pia Inakuwa Ziara Yenye Siku Nyingi Kuliko walizo Fanya Rais Wa Uganda, Na Burundi Ambapo Zilikuwa Za Siku Moja Tu.

Tutegemee Kuendelea Kupokea Ugeni
Tujitokeze Kupokea Mgeni
 
I hope siku hawa wanaobezwa wakipewa nafasi huenda watafanya makubwa zaidi ya haya!!!
 
Rais anaemaliza muda wake amemwalika nchini raisi wa Malawi hapo kesho
Bwana Lazaro Chakwera atakuwa hapa nchini kwa muda wa siku 3 ,kwa ziara rasmi ya kikazi

Katiba inatafsiri kwamba " atakuwa Rais hadi pale atapo apishwa Rais mwingine" .
Karibu sana Lazarus M . Chakwera, karibu Tanzania
 
Tanzania hii, Narudia Tena kwa Tanzania hii.

Watu Tunampenda Magufuli kama Rais wetu.

Ndio Maana anaenda kushinda kwa kishindo na hamtakaa muamini.
 
Halafu kuna mijitu inasema eti ushirikiano wetu na nchi jirani umeharibika. So pathetic indeed.
😂😂😂😂😂😂😂😂 Ushirikiano wa kimataifa unalazimishwa balaa.
Yaani maraisi wanalazimishwa kuja ili kutuaminisha.

Halafu Ushirikiano gani ni one-way
 
Kuna utofauti mkubwa sana, kati wa upinzani wa Tanzania na Upinzani wa Malawi.

Ule wa Malawi si wa kupiga piga kelele tu,bali sera zao zilikuwa zinaonesha kabisa kuna sehemu serikali iliopo madarakani ina kosea na wao wauwezo wa kuiendesha nchi vyema kabisa.

Njoo upinzani wa Tanzaniaa sasa..Umejaa Vioja,usaliti na inafika mahali wanashindwa kutambua mchango wa vitu katika ukuaji wa uchumi wa mtu binafsi..aisee!
 
Tanzania hii, Narudia Tena kwa Tanzania hii.

Watu Tunampenda Magufuli kama Rais wetu.
Ndio Maana anaenda kushinda kwa kishindo na hamtakaa muamini.

Anaenda kutangazwa mshindi kwa kishindo, na sio kushinda kwa kura. Kuna kupendwa na kujengea wananchi hofu kwa ulevi wa madaraka ili ionekane unapendwa.
 
Alipoenda Malawi kabla ya Uchaguzi alimpigia chepuo Malika... Sasa kabugi anaanza kumtafuta namna. Next time kama bado ipo aachane na ziara wakati wa uchaguzi.

Inawezekana kabisa huyu wa Malawi amemuomba aje ili kujustify mapumziko yake.
 
Halafu kuna mijitu inasema eti ushirikiano wetu na nchi jirani umeharibika. So pathetic indeed.
Mbona hawakuwa wanakuja huko nyuma!?
Kwanini wasije kwa hiari zao hadi walipiwe nauli?

Jibu ni kuwa Tundu Lissu anatekeleza ahadi zake for 70% kwa mkono wa magufuli
 
Rais wa Malawi ambaye atawasili nchini TZ kwa ziara ya kiserikali atapata furaha kuona mabadiliko makubwa ya kimaendeleo ambayo TZ chini ya JPM imepiga.

Pamoja mambo mengine atapata upako wa kiutendaji kutoka kwa Rais Magufuli ili akasimame imara ktk kuiendeleza nchi yake ya Malawi ambayo inaumasikini mkubwa.

Mpango wa kujenga reli kutoka Mtwara hadi Mbamba bay ni msaada mkubwa kwa nchi ya Malawi lakini kutaongeza mapato ya TZ.
Rais Lazarus Chakwera tayari alishaanza kuhakiki vyeti kwa watumishi wote wa serikali yake maana hata watumishi feki walikuwepo.
JPM 20
 
Wanaomtembelea Tanzania ni Nchi masikini Kama sisi hawana economic impact yoyote kwetu zaidi ya mamlaka kuwaalika Kuja kuweka mawe ya msingi ili kuonyesha na yeye anamahusiano mazuri na Marais wengine, in fact sio hivyo na Hana roho ya urafiki.
 
The most celebrated African president from our neighboring country is about to pay the state visit to the Africa's shining star JPM

Chakwera opted to choose Tanzania as his very early state visit as to mining the extraordinary experience in leading his country in prosperity and Panasonic growth as Tanzania

Welcome to the United Republic of Tanzania Mr president 🇹🇿 🇲🇼

View attachment 1590688
Huyu ndiye aliwekwa madarakani kwa nguvu ya UMMA? au nachanganya mambo! Kama ndiye yeye basi ni mpuuzi mkubwa sana kuungana na dictator , kusupport ukandamizaji wa demokrasia
 
The most celebrated African president from our neighboring country is about to pay the state visit to the Africa's shining star JPM

Chakwera opted to choose Tanzania as his very early state visit as to mining the extraordinary experience in leading his country in prosperity and Panasonic growth as Tanzania

Welcome to the United Republic of Tanzania Mr president [emoji1241] [emoji1156]

View attachment 1590688
Uyo atakua watatu nadhani kaja wa Burundi hatujaona impact yake, kaja wa Uganda vile vile hakuna impact.

Sasa sijui kinachoshangaza nn apo kwa uyo mmalawi ambaye ata kiswahili sidhani Kama anajua.

Wembe bado upo pale pale lazima sizonje asugue magoti.

Haki huinua Taifa
 
Rais wa Malawi ambaye atawasili nchini TZ kwa ziara ya kiserikali atapata furaha kuona mabadiliko makubwa ya kimaendeleo ambayo TZ chini ya JPM imepiga.

Pamoja mambo mengine atapata upako wa kiutendaji kutoka kwa Rais Magufuli ili akasimame imara ktk kuiendeleza nchi yake ya Malawi ambayo inaumasikini mkubwa.

Mpango wa kujenga reli kutoka Mtwara hadi Mbamba bay ni msaada mkubwa kwa nchi ya Malawi lakini kutaongeza mapato ya TZ.
Rais Lazarus Chakwera tayari alishaanza kuhakiki vyeti kwa watumishi wote wa serikali yake maana hata watumishi feki walikuwepo.
JPM 20
Huyu ndiye aliwekwa madarakani kwa nguvu ya UMMA? au nachanganya mambo! Kama ndiye yeye basi ni mpuuzi mkubwa sana kuungana na dictator
 
Umesha kimbilia kwenye matusi, CCM mna matatizo gani lakini?
.
Mimi Siyo CCM Wala CDM Ila kwa hoja zako za kipumbavu ulizotoa Basi itoshe tu kusema wewe ni Mpumbavu na nibora ungekuwa hata mjinga tungejitahidi kukuelewesha.
 
Dada yangu sidhani kama Unafuatilia Vyema siasa; Chama Tawala ni Democratic Progressive Party (DPP); Mwaka jana mwezi wa sita vyama vya upinzani viliungana katika umoja waliouita Tonse Alliance, vikapambana na chama tawala Democratic Progressive Party (DPP) na kufanikiwa kuking'oa madarakani.

Lazarus Chikwira ndo alisimamishwa kwenye umoja huo; Sasa Anakuwaje kama CCM?? Au mie ndo sijakuelewa??
your very very right ...under the banner of Tonse Alliance(vyama vyake ni MCP chama cha Chakwera,UTM - Chilima,PPM-Mark Katsonga,PP-Joyce Banda,UP-Chisi,Afford -Chihana and PETRA-Chibambo) sasa ukikuta vijana wanataka kupotosha umma kwa upumbavu just ignore them.

Kwanza Dr Chakwera is a true democrat kumbuka uchaguzi wakwanza ulibatilisha na mahakama kuu Magufuli alienda Malawi akampigia debeMunthalika ili achaguliwe tena laivu kama vile alimfanyia Odinga Kenya but Malawians waliamua kupiga chini Munthalika pamoja na mpambe wake kutoka TZ......here is Chakwera today visiting our country hana chuki hata kidogo.

caution:Anaongea kidhungu hatari na Chichewa tuu tuandae wakaliman wakutosha!!!!!
 
Back
Top Bottom