Themagufulianz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 4,548
- 1,988
how?
Viva Magu 2020 to 2030
Viva Magu 2020 to 2030
Maji mu shingo, jamaa anakuja kusaidia kampeni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maji mu shingo, jamaa anakuja kusaidia kampeni.
Dada yangu sidhani kama Unafuatilia Vyema siasa; Chama Tawala ni Democratic Progressive Party (DPP); Mwaka jana mwezi wa sita vyama vya upinzani viliungana katika umoja waliouita Tonse Alliance, vikapambana na chama tawala Democratic Progressive Party (DPP) na kufanikiwa kuking'oa madarakani.
Lazarus Chikwira ndo alisimamishwa kwenye umoja huo; Sasa Anakuwaje kama CCM?? Au mie ndo sijakuelewa??
Mdomo uliponza kichwa, tumshauri mgombea wenu apunguze uropokakajiHuyo ndiye alipanga apumzike na Lissu
yaani hapo ni kama CCM imerudi madarakani ndio maana wanakuja kubadilishana mawazoa sasa !Lazarus Chikwera anatoka chama cha Malawi Congress Party, Chama cha kwanza kabisa Malawi ambacho kilianzishwa na Kamuzu Banda na kutawala malawi kwa miaka 34.
Kikaja kuangushwa na Bakili Muluzi, na baada ya hapo vilikuja vyama vingine viwili kabla tena kurudi madarakani.
Kama memory yangu serves me right, kimekuwa nje ya utawala kwa miaka 20 hivi.
Hugo chikwera akiweka jiwe la msingi stend ya mbezi so what? Magu kapanic stend yenyewe bado kabisa anaendaje kuzindua project ambayo haijakamilika, na kipindi hiki wageni wanakuja kama woteSasa kama chikwera ni mponzani so what? Inampunguzia nini JPM! Peleka unyumbu wako ufipa!
Kweli kuwa ccm ni mojawapo ya upungufu wa akili hasa kwa kijana.
Uongozi Mungu ndio hutoa sio kelele za kiingereza za akina LisuIla JPM ni mbwa sijui alifikaje hapo alipo yani anazidiwa ng'eng'e mpaka na marehemu Nkurunzinza
Don't argue with women-in Putin voice!Halafu kuna mijitu inasema eti ushirikiano wetu na nchi jirani umeharibika. So pathetic indeed.
Naona Umepanic ! Siwezi kuendelea kujibishana na wewe! Mimi sio size yako!.Haya nasubiri nione huyo mmeo akikupa nafasi hata ya kubrush viatu vyake isitoshe unaishi kwa shemeji yako, tafakari wenzio waliokutanika taifa maelfu kusaka ujira wa nusu laki ndo utajua mmeo unampigia chapuo bure