ITR
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 6,096
- 16,390
Tupe msitari unao taja neno Tz,kenya Ufaransa, ndani ya Bible.Tupe mstari hata mmoja unaotaja neno Palestine ndani ya Qur'an tukufu. Mmoja tu; wala sio miwili.
Ya kwamba siku hizi sheria za kimataifa zinaongozwa kwa mujibu wa vitabu vya dini?