Rais Magufuli aagiza Madaktari waliohama Hospitali ya Rufaa mkoani Tabora kwenda Hospitali binafsi kwa kisingizio cha maslahi wafuatiliwe

Nanuonea huruma huyu daktari. Imagine kama angekuwa amejwenda nje ya nchi.... Nafikiri ingemlazimu abaki huko huko mpaka Jamaa atoke madarakani.
 
Ye mbona aliacha ualimu si angeendelea kukomaa hapo kwenye ualimu,wenzie kutafta riziki imekuwa shda,nawatuma jamaa zake kamwambieni tumechoka drama zake
Narudia tena nakemea kitendo cha raisi kuingilia maisha binafsi ya watu
 
Sheria zimewekwa ili watakaozivunja washughulikiwe
😂😂😂😂😂😂
 
Not Fair at all, labda kama halipi mkopo wake, so wapo madakitari wengi wanazungusha CV zao maofisini kutafuta kazi wawape hiyo kazi. Kwamba mtu akiajiliwa serikalini kama kasomeshwa na serikali hapashwi kuacha kazi hata kama masilahi kiduchu, mbona watu wanaacha kazi ya uwalimu na kuomba ubunge. Professional wangapi wameacha kazi serikalini na kujiajiri.
 
Mamaee 100 tena mpaka mkome nyie misukule wa lumumba , maana hivyo vichwa ngumu havielewi , mnawekwa wendawazimu kama huyo madarakani halafu mnaoropoka kama nguruwe anajamba
 
Kila mtu anangalia maslahi yake
Mtu kapata connection nzuri unafikiri atabaki hapo anapolipwa laki 3
Mbona wao wanasiasa wanajilipa mihela kibao

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Kuondoka sio shida, shida ni je, alifata taratibu za utumishi na maadili ya kazi yake?
 
Mkuu kumbuka huo mkopo sio kila mdaiwa anarejesha cash yeye binafsi. Sheria inamtaka mwajiri kukata kutoka mshahara wa mtumishi na kuremit serikalini. Hivyo hapa tuna hakika kama huyu dr. alikua na mkopo then alikua anarejesha accordingly.
 
Kwani akiwa huko hospitali binafsi, si anarejesha mkopo!? Ama mimi ndiye nimeingia kwenye uwanja wa mpira na shoka!!!
====
Kuna uwezekano mkubwa Rais amenukuliwa vibaya, ngoja nitafute chanzo halisi.

Yani mzee karopoka mpaka wasifiaji hamuamini kama ni yeye kaongea huo ujinga.

Mmeishia kusema kanukuliwa vibaya Kazi ipo!!
 
Wataishi Kwa lazima. Watake wasitake.
Hapa ndipo tulipofikia.
 
Kwani private watumishi hawalipi mikopo yao kila mwezi?
Wanakatwa ila issue kubwa ni kwamba aliondokaje kazini? Alifuata taratibu ZA utumishi na ZA maadili ya kazi yake? Je huko aliko bodi wanafahamu?
 
Mitano tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…