Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Kazi mnayo!!Kuna watu/ wafanyakazi wakienda masomoni, wanawekeana bond na mwajiri/ serikali tena kwa viapo mbele ya shahidi mwana sheria kuwa akimaliza masomo lazima arudi hapa kwenye kituo cha kazi afanye kazi miaka mitano ndipo ahame kutafuta marisho ya kijani ama aendelee pale. Na wanafanya hivi kwa sababu mfanyakazi wao huyo anakuwa analipwa mshahara akiwa kwenye likizo ya masomo. Sasa akimaliza masomo na akasema anatafuta marisho ya kijani mbuga nyingine, bond inamlazimisha kulipa gharama/ stahiki zote alizolipwa akiwa masomoni.
Tukirudi kwa ndugu yetu daktari. Je. Alikuwa na bond na serikali !?
Graduates wapo wanaotafuta ajira unajua kwanini private aijiri hao?Kwani kuna ubaya gani kwa hiyo kwenda kuajiriwa private? Si kuna gap kutengeneza hapo huyo mzee alizibe? Aache ujinga bwana!
Na KWA dunia ya leo huwezi kumkataza asitafute sehem yenye maslahi mazuri et uzalendo ,so far bado wanaohudumiwa ni watz,
Kama ndo hivyo wabunge wate,mawazari ,wakaludi kwenye kazi zao why pro kabudi,BASHIRU, n.k wameacha kazi zao wameenda kwenye siasa?? Nao sio wazalendo?
Why jpm mwenyewe alikua mwalim,akaenda ubunge,then amekua waziri Mara kadhaa,kabla ya kua rais,KWA nini hakukataa, Kama sio kutafuta nafasi nzuri zaidi so naye sio mzalendo?, Jpm mh Sana hachana na haya Mambo?
Mbona mpaka mda huu wapo waliokua wakuu wa wilaya wanaenda gombea ubunge,na wengine wabunge,watumue Basi wamefata nini huko?maana nao sio wazalendo!
Well kuishi sio shida kama utawalazimisha but you need to be worried about their productivity.Wataishi Kwa lazima. Watake wasitake.
Hapa ndipo tulipofikia.
Daktari amemkimbia aliyemgharamia elimu, hata kama alipewa mkopo 100% na bodi ya mikopo bado serikali inamchango mkubwa kwenye elimu yake
Halafu huo mkopo usilipwe ufidiwe na huo utumishi watakaofanya kwa huo muda ,uzalendo haulazimishwi na hakuna haki bila wajibu serikali itimize wajibu wakeBasi wawekeane mkataba, wote waliopewa mikopo na serikali wawe wanalazimika kufanya kazi serikalini kwa kipindi fulani kabla kuajiriwa sekta binafsi, yawezekana yuko sawa basi..
Walifuata taratibu kadri ya mkataba wa utumishi na maadili yaoNa walioacha udaktari wakaenda kwenye siasa, kama wabunge, wakuu wa mikoa nk?
Daktari amemkimbia aliyemgharamia elimu, hata kama alipewa mkopo 100% na bodi ya mikopo bado serikali inamchango mkubwa kwenye elimu yake
Angeaga kwa uzuri yote hayo yasingetokea
🤣🤣🤣🤣kwani taratibu za vyama vyao zikojeWale walioondoka kwenye vyama vya upinzani kwenda kwenye ile project ya kuunga juhudi waliaga vizuri? Acha kuendekeza siasa chafu na matumizi mabaya ya madaraka ya urais, kwa mtu asiyejua maana ya madaraka.
Tumia akili kidogo! Sheria inamtaka kila mwajiri kukata kutoka mshahara wa muajiriwa rejesho la hedlb na kuerejesha serikalini.Wanakatwa ila issue kubwa ni kwamba aliondokaje kazini? Alifuata taratibu ZA utumishi na ZA maadili ya kazi yake? Je huko aliko bodi wanafahamu?
Walifuata taratibu kadri ya mkataba wa utumishi na maadili yao
🤣🤣🤣🤣kwani taratibu za vyama vyao zikoje
Yeye alivyoacha ualimu alilipa fidia kiasi gani?Umeshawahi kusikia kitu kinaitwa ‘restrictive covenant’ kwenye mkataba wa ajira?
Sijui kama madokta Tanzania wana hiyo clause kwenye mkataba wao wa ajira but that is normal practice kwenye taasisi nyingi duniani hata huko ulaya depending umeajiriwa katika nafasi gani.
Kuna sehemu ukitaka kuacha kazi inabidi uwalipe fidia kubwa au mkataba uliokuwa nao una kuzuia kufanya kazi kwenye hiyo field bila ya ridhaa ya mwajiri.
Hakuna cha ajabu alichoongea Magufuli, that is normal.
Kuna Siri kubwa Sana hapo mahali.Well kuishi sio shida kama utawalazimisha but you need to be worried about their productivity.
Lile eneo sio epicentre ya kuweka hospitali ya kanda kwa sababu nyingi za kimkakati.
It’s about how easy you can replace one thing from another; that’s how value is attached.Yeye alivyoacha ualimu alilipa fidia kiasi gani?
Put it this way realistically baada ya Magufuli hiyo hospitali aiwezi kuwa ya kanda the area just doesn’t fit the criteria.Kuna Siri kubwa Sana hapo mahali.
Najaribu kufikiri jinsi wahudumu wa kufanya kazi kwenye hiyo hospitali jinsi watakavyopatikana ili nilinganishe na hospitali nyingine zenye ukubwa Sawa na hiyo na ambazo zinateseka Kwa uhaba wa wafanyakazi kiasi cha kutoa huduma kwa shida.