Na KWA dunia ya leo huwezi kumkataza asitafute sehem yenye maslahi mazuri et uzalendo ,so far bado wanaohudumiwa ni watz,
Kama ndo hivyo wabunge wate,mawazari ,wakaludi kwenye kazi zao why pro kabudi,BASHIRU, n.k wameacha kazi zao wameenda kwenye siasa?? Nao sio wazalendo?
Why jpm mwenyewe alikua mwalim,akaenda ubunge,then amekua waziri Mara kadhaa,kabla ya kua rais,KWA nini hakukataa, Kama sio kutafuta nafasi nzuri zaidi so naye sio mzalendo?, Jpm mh Sana hachana na haya Mambo?
Mbona mpaka mda huu wapo waliokua wakuu wa wilaya wanaenda gombea ubunge,na wengine wabunge,watumue Basi wamefata nini huko?maana nao sio wazalendo!