Rais Magufuli aagiza Madaktari waliohama Hospitali ya Rufaa mkoani Tabora kwenda Hospitali binafsi kwa kisingizio cha maslahi wafuatiliwe

Rais Magufuli aagiza Madaktari waliohama Hospitali ya Rufaa mkoani Tabora kwenda Hospitali binafsi kwa kisingizio cha maslahi wafuatiliwe

Kuna watu/ wafanyakazi wakienda masomoni, wanawekeana bond na mwajiri/ serikali tena kwa viapo mbele ya shahidi mwana sheria kuwa akimaliza masomo lazima arudi hapa kwenye kituo cha kazi afanye kazi miaka mitano ndipo ahame kutafuta marisho ya kijani ama aendelee pale. Na wanafanya hivi kwa sababu mfanyakazi wao huyo anakuwa analipwa mshahara akiwa kwenye likizo ya masomo. Sasa akimaliza masomo na akasema anatafuta marisho ya kijani mbuga nyingine, bond inamlazimisha kulipa gharama/ stahiki zote alizolipwa akiwa masomoni.

Tukirudi kwa ndugu yetu daktari. Je. Alikuwa na bond na serikali !?
Kazi mnayo!!
 
Ni sawa tu, wapo wengi wana private hospitals au hata kufanya kazi part time huko ila hawaachi kazi za serikali, na wapo happy.. huyu lazima kuna zaidi ya hayo ameyafanya.
 
Kwani kuna ubaya gani kwa hiyo kwenda kuajiriwa private? Si kuna gap kutengeneza hapo huyo mzee alizibe? Aache ujinga bwana!
Graduates wapo wanaotafuta ajira unajua kwanini private aijiri hao?

It’s takes time kuaminika miaka ya mwanzo ya internship ni kama anachukua mshahara wa bure wakati anajengewa experience.

Awawataki hao graduates pamoja na kwamba ni qualified Drs. Serikali ishafanya wajibu wake kuwasomeshea kwao hiyo aitoshi inataka na wale inaowajengea experience na ubobezi wa kazi halafu wanapofikia hatua hizo wao ndio waje kuchukua (shamba la bibi).

Do you even know the cost incurred and years it to make a consultant? Watengeneze wao kama rahisi kuna graduates wengi tu mtaani.

Hii mikataba ya ajira inabidi iangaliwe upya n wizara ya afya, watu awawezi kuichukulia serikali poa ivyo.

Ni upuuzi kutetea aina hiyo ya watu, watanzania wenye kipato cha kawaida wana haki pia ya kupewa huduma ya afya iliyo na ubora, kutoka kwa madokta wenye uzoefu.
 
Na KWA dunia ya leo huwezi kumkataza asitafute sehem yenye maslahi mazuri et uzalendo ,so far bado wanaohudumiwa ni watz,
Kama ndo hivyo wabunge wate,mawazari ,wakaludi kwenye kazi zao why pro kabudi,BASHIRU, n.k wameacha kazi zao wameenda kwenye siasa?? Nao sio wazalendo?
Why jpm mwenyewe alikua mwalim,akaenda ubunge,then amekua waziri Mara kadhaa,kabla ya kua rais,KWA nini hakukataa, Kama sio kutafuta nafasi nzuri zaidi so naye sio mzalendo?, Jpm mh Sana hachana na haya Mambo?
Mbona mpaka mda huu wapo waliokua wakuu wa wilaya wanaenda gombea ubunge,na wengine wabunge,watumue Basi wamefata nini huko?maana nao sio wazalendo!


Umenikuna sana hapa Mkuu, nadhani kama kweli Mungu analipa basi kuna watu watalipwa hapahapa na si muda mrefu yatatimia
 
Wataishi Kwa lazima. Watake wasitake.
Hapa ndipo tulipofikia.
Well kuishi sio shida kama utawalazimisha but you need to be worried about their productivity.

Lile eneo sio epicentre ya kuweka hospitali ya kanda kwa sababu nyingi za kimkakati.
 
Basi wawekeane mkataba, wote waliopewa mikopo na serikali wawe wanalazimika kufanya kazi serikalini kwa kipindi fulani kabla kuajiriwa sekta binafsi, yawezekana yuko sawa basi..
Halafu huo mkopo usilipwe ufidiwe na huo utumishi watakaofanya kwa huo muda ,uzalendo haulazimishwi na hakuna haki bila wajibu serikali itimize wajibu wake
 
Daktari amemkimbia aliyemgharamia elimu, hata kama alipewa mkopo 100% na bodi ya mikopo bado serikali inamchango mkubwa kwenye elimu yake
Angeaga kwa uzuri yote hayo yasingetokea

Wale walioondoka kwenye vyama vya upinzani kwenda kwenye ile project ya kuunga juhudi waliaga vizuri? Acha kuendekeza siasa chafu na matumizi mabaya ya madaraka ya urais, kwa mtu asiyejua maana ya madaraka.
 
Wale walioondoka kwenye vyama vya upinzani kwenda kwenye ile project ya kuunga juhudi waliaga vizuri? Acha kuendekeza siasa chafu na matumizi mabaya ya madaraka ya urais, kwa mtu asiyejua maana ya madaraka.
🤣🤣🤣🤣kwani taratibu za vyama vyao zikoje
 
Wanakatwa ila issue kubwa ni kwamba aliondokaje kazini? Alifuata taratibu ZA utumishi na ZA maadili ya kazi yake? Je huko aliko bodi wanafahamu?
Tumia akili kidogo! Sheria inamtaka kila mwajiri kukata kutoka mshahara wa muajiriwa rejesho la hedlb na kuerejesha serikalini.
 
Walifuata taratibu kadri ya mkataba wa utumishi na maadili yao

Mbona hawajarudishwa kwenye nafasi zao baada ya kukosa nafasi za kuchaguliwa kama taratibu zinaruhusu?
 
Umeshawahi kusikia kitu kinaitwa ‘restrictive covenant’ kwenye mkataba wa ajira?

Sijui kama madokta Tanzania wana hiyo clause kwenye mkataba wao wa ajira but that is normal practice kwenye taasisi nyingi duniani hata huko ulaya depending umeajiriwa katika nafasi gani.

Kuna sehemu ukitaka kuacha kazi inabidi uwalipe fidia kubwa au mkataba uliokuwa nao una kuzuia kufanya kazi kwenye hiyo field bila ya ridhaa ya mwajiri.

Hakuna cha ajabu alichoongea Magufuli, that is normal.
Yeye alivyoacha ualimu alilipa fidia kiasi gani?
 
Well kuishi sio shida kama utawalazimisha but you need to be worried about their productivity.

Lile eneo sio epicentre ya kuweka hospitali ya kanda kwa sababu nyingi za kimkakati.
Kuna Siri kubwa Sana hapo mahali.
Najaribu kufikiri jinsi wahudumu wa kufanya kazi kwenye hiyo hospitali jinsi watakavyopatikana ili nilinganishe na hospitali nyingine zenye ukubwa Sawa na hiyo na ambazo zinateseka Kwa uhaba wa wafanyakazi kiasi cha kutoa huduma kwa shida.
 
Yeye alivyoacha ualimu alilipa fidia kiasi gani?
It’s about how easy you can replace one thing from another; that’s how value is attached.

Walimu wapo wa kutosha and it doesn’t take much to be trusted.

Isitoshe hata daktari akichoka ku practice yupo entitled kubadilisha profession ni haki yake; lakini sio kuacha kazi ya udaktari sehemu moja kwenda sehemu nyingine. That is cheating the government.
 
Kuna Siri kubwa Sana hapo mahali.
Najaribu kufikiri jinsi wahudumu wa kufanya kazi kwenye hiyo hospitali jinsi watakavyopatikana ili nilinganishe na hospitali nyingine zenye ukubwa Sawa na hiyo na ambazo zinateseka Kwa uhaba wa wafanyakazi kiasi cha kutoa huduma kwa shida.
Put it this way realistically baada ya Magufuli hiyo hospitali aiwezi kuwa ya kanda the area just doesn’t fit the criteria.

Time will tell
 
Back
Top Bottom