Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Apimwe huyuMagufuli aagiza madaktari waliokimbilia hospitali binafsi kusakwa
Rais wa Tanzania, John Magufuli ameagiza madaktari waliokimbia hospitali ya rufaa ya Kitete kwa madai ya maslahi madogo kufuatiliwa ili kuzilipa fedha za Serikali.www.mwananchi.co.tz
Mkuu hataki kazi wakati anafanya kazi kwa mtu mwingine kisa kulizisha tamaa yake ya mapesaAnamlazimisha mtu ambae hataki kazi?
Mkuu nani apimwe - usifuate ushauri wa kigogoApimwe huyu
Matembezi mema😍View attachment 1690117
Huyo ni government employer kama wizara ya afya kwetu, kwanini unadhani ata huko kwao awachukulii poa watu kuondoka kiholela?
Jioni njema, time for my evening walk.
Naona unabadili magoli! Kuna mtu anayezungumzia suala la kuondoka kiholela hapa?! Kilichoandikwa hapo kinafanyika kwenye ofisi yoyote ili mradi mwajiriwa ana contract!! Ukitaka kumtetea Mheshimiwa Rais kwa kupitia hiyo doc yako, onesha ni wapi wameandika kwamba ni haramu kwa mwajiriwa kuacha kazi na kwenda kufanya kazi hospitali binafsi!! Onesha ni wapi wamesema watu kama hao wanastahili hata kufungiwa kama anavyotaka rais wetu.View attachment 1690117
Huyo ni government employer kama wizara ya afya kwetu, kwanini unadhani ata huko kwao awachukulii poa watu kuondoka kiholela?
Jioni njema, time for my evening walk.
Mikopo imeanza miaka ya 90 yeye kasomeshwa bure kabisaLabda yeye hakusomeshwa kwa mkopo
Je kwenye Loan Agreement Kuna clause yoyote inamtaka afanye kazi serikalini Hadi amalize deni?Mkuu hataki kazi wakati anafanya kazi kwa mtu mwingine kisa kulizisha tamaa yake ya mapesa
Mkuu nani apimwe - usifuate ushauri wa kigogo
Ungekuwa wew ungefanyaje?Mkuu hataki kazi wakati anafanya kazi kwa mtu mwingine kisa kulizisha tamaa yake ya mapesa
Mkuu nani apimwe - usifuate ushauri wa kigogo
Hata kuandika huwezi mkopo unaujulia wapi wewe!!? Basi jifunze kudadisi mambo hata uelewe?? Uwe na hojaMkuu hataki kazi wakati anafanya kazi kwa mtu mwingine kisa kulizisha tamaa yake ya mapesa
Mkuu nani apimwe - usifuate ushauri wa kigogo
Magufuli mwenyewe kasomeshwa Bure bila mkopo na alitoka. Iweje waliosomeshwa kwa mkopo!?Taarifa imeshatolewa katika ziara ya Mh.Rais leo Tabora .haiwezekani serikali ikukopeshe Ada halafu ukishapata ajira unahamia kwenye maslahi zaidi. Hii haikubaliki .kwahiyo mlioko serikalini na mtakaoapata Ajira mpya za serikali mkae mkilitambua hilo.
Ukiingia umeingia Hakuna kutoka
Nawasilisha.
Kwa Sasa Mimi Imani yangu imebaki walau kwa jeshi la wananchi wa Tanzania, ndo walau wanaonekana hawapo ki CCM kivileKuna watu watamlaumu huyu mtu wa Mungu, mimi nailaumu SYSTEM! Huyu Mkuu hajawahi kubadilika wala kuficha 'recklessness' yake ktk maamuzi na matamshi.
Dear System, how the fvck did you see him fit for the highest, most powerful office in the land? So you were not keeping tabs on him when he was an MP and minister for 20yrs?
Lakin pia what the fvck happened in October 2020? Was it a must to make it 84% for presidential votes and 99% MPs? If you have to steal, at least do it INTELLIGENTLY, we deserve that at the very least.
All these blunders point to you!
Kifunguia hospital ni uonevu ulikubuhu.Private Sector Acheni Kuajiri Madaktari waliosomeshwa Kwa Mkopo Maana Hamjui wametoka Wapiii hospital Zenu Zisije Zikafungiwaa.
Miaka mitano iliyopita alilalamikiwa sana kwa kugandamiza na kuua sekta binafsi. Malalamiko haya akayajibu katika hotuba yake ya kufungua bunge baada ya ushindi wake wa kishindo mwaka jana kuwa serikali yake itasaidia kukuza sekta binafsi.
Lakini leo Mungu ajuaye ya moyoni mwa mtu amemuweka wazi jinsi alivyo na chuki kwa sekta binafsi. Yaani mtu kwenda kutafuta ugali wake na watoto tena wa halali anawindwa kama mwizi!!!!. Kwa kweli leo ile chuki imejidhihirisha waziwazi
Mimi Imani yangu imebaki walau kwa jeshi la kujenga Taifa.
Katika uchumi wa dunia ya kileo sekta binafsi ndo injini ya Maendeleo na utoaji huduma..ndivyo dunia ilivyo leo. Huku kwingine ni mtu anajihangaisha kwa kutokujua lip Ni lipi....Kweli kabisa mkuu.
Nyuma ya haya yote ni chuki iliyokubuhu dhidi private sector na tamanio la kuiangamiza ila hilo halitawezekena.
Vi paste hivyo vifungu hapa.
Kwakuwa tunapenda kuiga mabeberu nimeweka standard framework ya mkataba wa ajira NHS uchukue mfanyakazi wao bila ya ruhusa yao au kuwalipa compensation halafu uone watakachokufanya.
Kwa haraka wale wabishi wapitie page 6 or 8 waone madhara ya kuongea na mtaalamu wao bila ya ruhusa yao au kuchukua mfanyakazi mwenye mkataba nae bila ya idhini yao au kuwalipa fidia.
It costs lots of money to train medical professionals and giving them experience; that’s why they are valuable to any employer.
Sisi watanzania tunatabia ya kuchukulia vitu rahisi sana, serikali yetu imekuwa ya kibepari zaidi kuliko wananchi wanaopiga kelele kudai free market.
Unaelewa nini maana ya jamii?Mtu anatakiwa akaitumikie jamii ambayo inamuhitaji kama sababu za kusomeshwa kwake na kupewa experience.
Magufuli hayuko sahihi, na hawezi kuwa sahihi na hatokuwa sahihi. Kiufupi, kapuyanga. Mkopo unalipwa kwa staili yoyote ile.Magufuli yupo right hapa huyo daktari ateme hela ya serikali tena anaondoka bila ya kujali kama kuna mtu wa-ku replace nafasi; halafu mnataka achekewe.