Rais Magufuli aagiza Madaktari waliohama Hospitali ya Rufaa mkoani Tabora kwenda Hospitali binafsi kwa kisingizio cha maslahi wafuatiliwe

Umehitimisha vizuri sana mkuu
 
Wakutosha kusambaza kwenye hospitali zote zenye sifa ya kuwa na bingwa, huwezi kupelekwa bingwa mahali pasipo na vifaa tiba muhimu
They also need to work and live in an environment which raises their morale, hilo nalo ni muhimu.
 
Private Sector Acheni Kuajiri Madaktari waliosomeshwa Kwa Mkopo Maana Hamjui wametoka Wapiii hospital Zenu Zisije Zikafungiwaa.
 
Anatafuta Daktari aliyekimbia hospitali kufuata masilah na mazingira bora ya kazi

Anayetoa maagizo yeye pia alikimbia ualimu na kwenda kuwa mkemia kwa kufuata masilah Mazuri, licha ya kusomeshwa na Serikali buree bila hata kurejesha shilingi huku hata nauli na Mikate wakipewa buree.

Mtoa maagizo hajaridhika hapo akaacha ukemia akaingia kwenye siasa kula kwa mrija sasa, amesahau alipotoka. HAPO NANI NI MZALENDO?
 
Hapo mnamlipa 1.4 anakatwa makato mpaka bima take home 500,000 leo hospital binafsi 4m na mkopo analipa sasa shida yake nini
Ingekuwa amesomeshwa bure sawa Mkopo duuu naomba tuwe tunamwandikia JPM hotuba
 

JPM bado ni mtumishi wa umma, amehama idara tuu hajaenda ACT 😂😂😂
Mtumishi namba1 wa serikali
 
Aiseeee. Mbona mkubwa wako anajidai kwa kauli zake za hii nchi ni tajiri! Mkuu wakati wanaomba kuchaguliwa kipindi cha kampeni si husikika wakisema tunaongea yaliyoandikwa kwenye ilani ya chama chao? Kuhusu mapato nakupinga, kwan kila siku yanakusanywa, tena wanakusanya na mapato kwa watu ambao kwa akil ya kawaida hustahili kuwaomba kodi. Alafu hizo hela tunazotoa kwenye kodi zetu ndo hizo mtu anaenda nazo chato, ndo hizo mtu anafanyia miradi ambayo inatuumiza, miradi ambayo watesi wake waliipga posp coz walitambua watu lzm waumie. Ko lengo la jamaa n kutuumiza kwa mgongo wa mkopo kipind tunasoma? Alafu mkopo ile ni biashara ya kinyonyaji, sitaki tuingie huko mana huko ndo wanatunyonya waz waz. Moreover mkopo hatukupewa bureeee. Alafu mkopo unalipwa, so hasara iko wapi?
Hivi zisingekuwepo hizo hospital za private serikali ingeweza kuhudumia watu vzr kweli?
Na mshukuru hizo hospital zinasaidia kupumguza idadi ya unemployed doctors na manesi wengi.

Muwe mnajua na kushukuru nyinyi nyang'au
 
Sipati picha jinsi wananchi walivyokuwa wanashangilia baada ya kusikia hii kauli kiukweli wanasiasa wengi peponi watapita hiviii subirini tu muda utaongea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…