Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Professors waliokuwa wanafundisha wakapelekwa serikalini nao warudi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukivut bang usiwe unakuja humu ipo siku utasema nyerere na yeye arudi kwenye ualimuAnatafuta Dr. aliyekimbia hospital kufuata masilah na mazingira bora ya kazi,anayetoa maagizo yeye pia alikimbia ualimu na kwenda kuwa mkemia kwa kufuata masilah Mazur, licha ya kusomeshwa na serikali buree bila hata kurejesha sh. huku hata nauli na MIKATE wakipewa buree.Mtoa maagizo hajaridhika hapo akaacha ukemia akaingia kwenye siasa kula kwa mrija Sasa, amesahau alipotoka. HAPO NANI NI MZALENDO?
We jamaa bhanaAmekuwa mwenda wazimu kwa kutaka tu kanuni zifuatwe? Nimeeleza kanuni husika katika Uzi Na. 25. Mimi mwenyewe nilisomeshwa na serikali mpaka shahada ya kwanza na kwa masomo ya juu zaidi nilisomeshwa na Umoja wa Mataifa. Mfadhiri wangu huyo alisisitiza nitie sahihi mkataba kwamba baada ya kuhitimu nirudi nchini kwangu na kufanya kazi nitakapopangiwa na serikali kwa kipindi kisichopungua miaka mitano. Vivyo hivyo na wenzangu waliofadhiriwa na mashirika ya kimataifa yasiyo ya kiserikali. Sasa yote hayo tuyaseme kuwa ni wenda wazimu?
Kazi kutetea ujinga!!Umeshawahi kusikia kitu kinaitwa ‘restrictive covenant’ kwenye mkataba wa ajira?
Sijui kama madokta Tanzania wana hiyo clause kwenye mkataba wao wa ajira but that is normal practice kwenye taasisi nyingi duniani hata huko ulaya depending umeajiriwa katika nafasi gani.
Kuna sehemu ukitaka kuacha kazi inabidi uwalipe fidia kubwa au mkataba uliokuwa nao una kuzuia kufanya kazi kwenye hiyo field bila ya ridhaa ya mwajiri.
Hakuna cha ajabu alichoongea Magufuli, that is normal.
Hizo kazi zenyewe mwaka wa tano plus!! sijaona ila kwa agenda maalum.Tunakoelekea mikopo itawekwa masharti ya "lazima kufanya kazi serikali"
Mawazo mgando.Lazima mnyooke mmezoea vya kunyonga, ateme hela za serikali yaani anakimbia watu wanaometegemea wakati kafika hapo kwa jitihada za serikali.
Kwani na wewe ukimchagua? Wewe rais wako si kakimbilia kwa Amsterdam?Nakuunga mkono.
Tuliposema tumepata janga wengine walidhani tunatania, sasa mtashuhudia makubwa zaidi ya huu unyanyasaji.
Kufunga hospitali kisa kuna daktari aliyekuwa ameajiriwa serikalini kahamia huko ni utopolous.Wewe unasemaje?
Kemia dhambi usihukumu, wewe ulihukumiwa na nani?.Ukitenda dhambi kabla hujawa mchungaji, ukiwa mchungaji hutaacha kuikemea hiyo dhambi eti kwa kuwa na wewe uliwahi kuitenda???
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Na wewe ni popoma kama Magufuli, kwani akienda kufanya kazi hospital binafsi hawezi lipa mkopo huo?Ingekua sahihi kama angaelipa kwanza 100% ya mkopo wa Serikali aliokopa na riba yake ndio atoke
Nyani haoni kundule,yeye kamchukua bingwa ya moyo jk anazunguka nae kumtibu yeye peke yake...iko shida kubwa upstairsView attachment 1689777
Rais Magufuli ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa jengo la magonjwa ya dharura Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tabora, akiwa katika eneo hilo ameagiza Madaktari waliohama Hospitali hiyo ya Serikali na kuhamia Hospitali binafsi kwa kigezo cha maslahi wafuatiliwe.
Rais Magufuli amenukuliwa akisema
“Madaktari wanapata mkopo 100% wakiwa Chuoni, halafu tunawapa ajira Serikalini wanakimbia kisa maslahi, si ungekimbia wakati unasoma? Hela yetu umekula halafu unakimbia kwenda Hospitali binafsi kwa kisingizio cha maslahi, ni kukosa uzalendo”
“Mtafuteni huyo Daktari aliyekimbia Hospitali ya Serikali na hiyo Hospitali binafsi aliyokimbilia, ikiwezekana tunamfungia Daktari, tunaifungia na Hospitali aliyoenda, wakati wa kusomesha hawatuchangii, tukishawasomesha wanakwenda kuwaiba, sio sawa”