Rais Magufuli aagiza Madaktari waliohama Hospitali ya Rufaa mkoani Tabora kwenda Hospitali binafsi kwa kisingizio cha maslahi wafuatiliwe

Rais Magufuli aagiza Madaktari waliohama Hospitali ya Rufaa mkoani Tabora kwenda Hospitali binafsi kwa kisingizio cha maslahi wafuatiliwe

Professors waliokuwa wanafundisha wakapelekwa serikalini nao warudi
 
Anatafuta Dr. aliyekimbia hospital kufuata masilah na mazingira bora ya kazi,anayetoa maagizo yeye pia alikimbia ualimu na kwenda kuwa mkemia kwa kufuata masilah Mazur, licha ya kusomeshwa na serikali buree bila hata kurejesha sh. huku hata nauli na MIKATE wakipewa buree.Mtoa maagizo hajaridhika hapo akaacha ukemia akaingia kwenye siasa kula kwa mrija Sasa, amesahau alipotoka. HAPO NANI NI MZALENDO?
Ukivut bang usiwe unakuja humu ipo siku utasema nyerere na yeye arudi kwenye ualimu
 
Amekuwa mwenda wazimu kwa kutaka tu kanuni zifuatwe? Nimeeleza kanuni husika katika Uzi Na. 25. Mimi mwenyewe nilisomeshwa na serikali mpaka shahada ya kwanza na kwa masomo ya juu zaidi nilisomeshwa na Umoja wa Mataifa. Mfadhiri wangu huyo alisisitiza nitie sahihi mkataba kwamba baada ya kuhitimu nirudi nchini kwangu na kufanya kazi nitakapopangiwa na serikali kwa kipindi kisichopungua miaka mitano. Vivyo hivyo na wenzangu waliofadhiriwa na mashirika ya kimataifa yasiyo ya kiserikali. Sasa yote hayo tuyaseme kuwa ni wenda wazimu?
We jamaa bhana

Moja una uhakika gani kapewa mkopo ?

Mbili nafahamu swala la grant , una uhakika alikua na grant ?

Ukiwa private hulipi mkopo au Sheria za huko Tanzania zimebadilika

Kama alilipa mkopo wake wote jee

Kwa hiyo anatishia kufunga hospitali ya private for what

Kama huna akili usijibu maswali yangu ignore
 
Tuna shida kubwa na katiba yetu, kwani wasomi wangapi wamekimbia kufanyakazi serikalini mpaka awe mbogo kwa Daktari huyu hii kauli inampa nguvu sana raisi...“Mwaka jana niliajiri madaktari 1000, kumbe daktari huyohuyo alipofika hapa akanusa tu akaondoka pamoja na mshahara wetu kwa nini asishtakiwe kwa wizi”Rais Magufuli.
 
Umeshawahi kusikia kitu kinaitwa ‘restrictive covenant’ kwenye mkataba wa ajira?

Sijui kama madokta Tanzania wana hiyo clause kwenye mkataba wao wa ajira but that is normal practice kwenye taasisi nyingi duniani hata huko ulaya depending umeajiriwa katika nafasi gani.

Kuna sehemu ukitaka kuacha kazi inabidi uwalipe fidia kubwa au mkataba uliokuwa nao una kuzuia kufanya kazi kwenye hiyo field bila ya ridhaa ya mwajiri.

Hakuna cha ajabu alichoongea Magufuli, that is normal.
Kazi kutetea ujinga!!
 
Nakuunga mkono.
Tuliposema tumepata janga wengine walidhani tunatania, sasa mtashuhudia makubwa zaidi ya huu unyanyasaji.
Kwani na wewe ukimchagua? Wewe rais wako si kakimbilia kwa Amsterdam?
 
View attachment 1689777
Rais Magufuli ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa jengo la magonjwa ya dharura Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tabora, akiwa katika eneo hilo ameagiza Madaktari waliohama Hospitali hiyo ya Serikali na kuhamia Hospitali binafsi kwa kigezo cha maslahi wafuatiliwe.

Rais Magufuli amenukuliwa akisema
“Madaktari wanapata mkopo 100% wakiwa Chuoni, halafu tunawapa ajira Serikalini wanakimbia kisa maslahi, si ungekimbia wakati unasoma? Hela yetu umekula halafu unakimbia kwenda Hospitali binafsi kwa kisingizio cha maslahi, ni kukosa uzalendo”

“Mtafuteni huyo Daktari aliyekimbia Hospitali ya Serikali na hiyo Hospitali binafsi aliyokimbilia, ikiwezekana tunamfungia Daktari, tunaifungia na Hospitali aliyoenda, wakati wa kusomesha hawatuchangii, tukishawasomesha wanakwenda kuwaiba, sio sawa”
Nyani haoni kundule,yeye kamchukua bingwa ya moyo jk anazunguka nae kumtibu yeye peke yake...iko shida kubwa upstairs
 
Back
Top Bottom